Wakifanya kosa hilo basi sisi watu wa jambiani hatuna chetuNi muda muafaka sasa umefika CCM iruhusu ushindani kwa wagombea Urais ndani ya Chama.
Vile vile, kofia ya Urais na ya MwenyeKiti wa CCM Taifa itanganishwe ili iwe rahisi kwa Chama kuisimamia Serikali.
Nawasilisha.
Ukichukua basi wewe ni mpeperusha bendera wa ccmWana hofu Ngongo atachukua fomu.
Wanaunganaga sana maana wanajua msiba utaingia mjengoni na wote ni wahanga. Ila theres no way lazma jambo hilo lifikie mwisho.Hawajiamini Kamwe hawazezi fanya hivyo ..then Hawa miamba kwenye ishu nlinaitwa madaraka Huwa wanakuwa wamoja balaa achana nao kabisa .
Wakiruhusu hilo naona kabisa sukuma gang watakuwa wamepata nafasi ya kusawazisha goli dakika za nyongezaHawajiamini Kamwe hawazezi fanya hivyo ..then Hawa miamba kwenye ishu nlinaitwa madaraka Huwa wanakuwa wamoja balaa achana nao kabisa .
kuna chama mtu alipoteza maisha kwasabb ya kumezea mate nafasi ya mwenyekiti wa Chama .....unafaa nchezo nini?Ni muda muafaka sasa umefika CCM iruhusu ushindani kwa wagombea Urais ndani ya Chama.
Vile vile, kofia ya Urais na ya MwenyeKiti wa CCM Taifa itanganishwe ili iwe rahisi kwa Chama kuisimamia Serikali.
Nawasilisha.
Sisi wa jambiani hatuna imaniKama mgombea ni tuna’s mdhania itakua shida sana kuuza sera kwa wananchi.
Kwani lini ulikatazwa?Ni muda muafaka sasa umefika CCM iruhusu ushindani kwa wagombea Urais ndani ya Chama.
Vile vile, kofia ya Urais na ya MwenyeKiti wa CCM Taifa itanganishwe ili iwe rahisi kwa Chama kuisimamia Serikali.
Nawasilisha.
Mkojani naona wanamuondoa silentlyKwani lini ulikatazwa?
😂😂😂😂😂😂😂Sisi wa jambiani hatuna imani