Kimuundo Ofisi ya Waziri Mkuu imesheheni Mawaziri wa kutosha yupo PM mwenyewe, Ndalichako na Mhagama wakisaidiwa na Mawaziri wadogo akina Katambi.
Sasa sijaielewa kama Nishati itakuwa chini ya PM...
Akiwa kwenye ziara ya Rais Samia leo Septemba 16, 2023 waziri Bashe ameongelea suala la korosho alipotakwa na Rais Samia aelezee bei ya msimu huu.
Bashe amesema bei ya mbaazi na ufuta ilikuwa...
Mkurugenzi wa TAKUKURU na wafanyakazi walio chini yake wanalipwa fedha nyingi kutoka kwenye kodi za wananchi.
Pamoja na malipo mazuri hakuna kazi yoyote ya msaada wanayotoa kwa serikali na jamii...
Dkt. Baruani Mshale mtaalamu bingwa anajikita kuuliza zile R4 kwa mtanzania ambaye siye mwanasiasa zina maanisha nini
https://m.youtube.com/watch?v=C9abritQeXE
Mada hiyo tunduizi ya Dr. Baruani...
Kwanza nianze kwa kuwapongeza wananchi wa Nkasi kwa uzalendo wao hakika majina yao yaandikwe kwa wino wa dhhabu na kujengewa mnara ikibidi na sanamu ktk kitabu cha historia ya taifa.
Nakumbuka...
Nimesikia fununu mahala fulani nami nikaunga mkono kwa 100%.
Watanzania wanataka Chama chenye kuamsha mioyo yao kama ilivyokuwa NCCR Mageuzi ya Mrema na DP ya Rev Mtikila 1995.
Kamati Kuu ya...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) naomba upokee ushauri huu.
Mimi Sifi Leo nimetembea nchi hii sijawai kutana na mtu anaitwa AGUSTINO LYATONGA MREMA kisa mtoto huyo...
Sisi wana Mbeya ni wahanga wa matukio ya kibabe ya kidhalimu yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa na chama hiki mumiani. Miongoni mwa udhalimu huo ni kuporwa kwa uwanja wa wananchi, uwanja wa...
Unaweza kukuta Wananchi na mgombea Ubunge Malengo yao huwa tofauti Kabisa
Kwenye Katiba mpya tufanye kama ndugu zetu wa Kenya Waziiri asiwe mbunge
Watanzania mpo milioni 64 kushika Vyeo viwili...
Inawezekanaje Wananchi wanaoshindwa kununua chumvi na Sukari waweze kutengeneza Mabango ya Mapokezi yenye picha ya Rais kwa wingi namna hii?
Hebu Jionee hawa wa Mtwara , halafu toa maoni yako.
Hakuna kitu bora kwa kiongozi kama kutumia hekima katika kutekeleza majukumu yako. Ndio maana ulimwengu mzima hadithi za Mfalme Suleiman kwa karne kadhaa zimetumika kama mfano bora wa uongozi...
nyingi Mh. Rais nikiona dereva amechelewa, naenda kwanza kwenye Instagram ya Ikulu, nikiona PDF ya Zuhura haipo basi nakuwa na confidence, namuita dereva.
Lakini siku hiyo nikajisahu, nikawa...
Gharama na viwango vya maisha vinafanya msiba wa JPM uanze upya kila siku mioyoni mwa wahanga ambao ndiyo wengi.
JPM kafia nchi kavu kafufukia visiwani. Wenzetu wa Zenjbar hakuna kupandisha bei...
Jifunzeni hayo mambo na tofauti ya sifa za hao agents.
Kuwasaidia
Surveillance entails techniques to gather information (know how skills, are involved).
Intelligence entails being able to...
Kwa miaka ya sasa ni rahisi sana kuona mwalimu ana Masters/PhD lakini yupo tu anafundisha huko shuleni, ila mabosi wake wote wana Shahada. Huyu mwalimu mwenye Masters/PhD anaambulia kuhujumiwa tu...
Mbunge wa Mtwara Vijijini kupitia tiketi ya CUF, Shamsia Mtamba amepata nafasi ya kutoa neno wakati msatara wa Rais Samia Suluhu Hassan uliposimama barabarani kwenye ziara ya kikazi jimboni humo...
Haya ni maoni yangu binafsi:
Katika baraza la Idi rais Magufuli ameguswa na mambo kadhaa yaliyojiri katika sherehe.
Kuna kijana alighani vizuri amemuahidi milioni 2, na kuna kikundi pia...
Waziri wa mambo ya ndani, Hamadi Masauni amesema kabla ya kufikia mwezi wa tatu mwaka 2023 wananchi wote watakuwa wamepata kadi zao za NIDA na haitazidi hapo, Masauni kasema inaweza kuwa hata...
Nimefuatilia kupitia YouTube yanayoendelea huko Tanzania, hasa kwenye ziara za mkuu wa nchi,
Napenda jinsi anavyoonekana kuguswa na matatizo ya watanzania hasa wanaomlilia,
Kuna kina mama wengi...
Kama mbwahi wacha iwe mbwahi tu.
Clip inajionyesha kutoka kwenye iliyokuwa ni ngome kubwa ya CCM mikoa ya Kusini.
Wananchi tena kina mama wanarudisha kadi za CCM baada ya kuchoshwa na ahadi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.