Ukitukana utatukanwa, ukidharau utadharauriwa, ukipiga vijembe utapigwa vijembe

Burkinabe

JF-Expert Member
Feb 12, 2023
1,896
3,206
Hi JF Members,

Rejea mada tajwa hapo juu, yahusika.
Kusudi la kuandika article hii, ni kuwaelimisha wanasiasa na jamii kwa ujumla kutokuwafanyia wengine vile ambavyo wao wenyewe hawapendi kufanyiwa.

Sheria za asili zinasema yafuatayo:
1. Chochote unachofanya lazima kitakurudia (What goes around, comes around)
2. To every reaction, there is equal and opposite reaction
3. Utavuna ulichopanda n.k

Hivyo ukiona unatukanwa, basi ujue kuna mtu au watu uliwahi kuwatukana.

Ukiona unapigwa vijembe au watu wanakunanga au kukusimanga na wewe ujue kuna mtu au watu huwa unawafanyia au uliwahi kuwafanyia hivyo.

Ukiona unadharauliwa mpaka na mbwa wako, ujue na wewe una dharau!

Ujumbe wa kuondoka nao hapa ni kwamba, tuwatendee binadamu wenzetu vile ambavyo sisi tunapenda kufanyiwa na yale tusiyopenda kufanyiwa basi tusiwafanyie na wengine.

Tujifunze kuvaa viatu vya watu wengine.

Huu ndio ukweli na ukweli ni ukweli na utabakia kuwa ukweli haijalishi huo ukweli umesemwa na nani.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu tubariki Watanzania.

Ahsanteni sana.
 
Hi JF Members,

Rejea mada tajwa hapo juu, yahusika.
Kusudi la kuandika article hii, ni kuwaelimisha wanasiasa na jamii kwa ujumla kutokuwafanyia wengine vile ambavyo wao wenyewe hawapendi kufanyiwa.

Sheria za asili zinasema yafuatayo:
1. Chochote unachofanya lazima kitakurudia (What goes around, comes around)
2. To every reaction, there is equal and opposite reaction
3. Utavuna ulichopanda n.k

Hivyo ukiona unatukanwa, basi ujue kuna mtu au watu uliwahi kuwatukana.

Ukiona unapigwa vijembe au watu wanakunanga au kukusimanga na wewe ujue kuna mtu au watu huwa unawafanyia au uliwahi kuwafanyia hivyo.

Ukiona unadharauliwa mpaka na mbwa wako, ujue na wewe una dharau!

Ujumbe wa kuondoka nao hapa ni kwamba, tuwatendee binadamu wenzetu vile ambavyo sisi tunapenda kufanyiwa na yale tusiyopenda kufanyiwa basi tusiwafanyie na wengine.

Tujifunze kuvaa viatu vya watu wengine.

Huu ndio ukweli na ukweli ni ukweli na utabakia kuwa ukweli haijalishi huo ukweli umesemwa na nani.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu tubariki Watanzania.

Ahsanteni sana.
Uongozi wenye mfumo wa vyama vingi unahitaji ukomavu wa kisiasa , Yani chama tawala kinataka vyama vya upinzani vifulahi mda wote kuhusu serikali,Hilo halipo,haliwezekuepo,halitakuepo ,na halitatokea .

Mpinzani siku zote ni mpinzani kikubwa viongozi wa kisiasa kueni wakomavu kisiasa
 
Hi JF Members,

Rejea mada tajwa hapo juu, yahusika.
Kusudi la kuandika article hii, ni kuwaelimisha wanasiasa na jamii kwa ujumla kutokuwafanyia wengine vile ambavyo wao wenyewe hawapendi kufanyiwa.

Sheria za asili zinasema yafuatayo:
1. Chochote unachofanya lazima kitakurudia (What goes around, comes around)
2. To every reaction, there is equal and opposite reaction
3. Utavuna ulichopanda n.k

Hivyo ukiona unatukanwa, basi ujue kuna mtu au watu uliwahi kuwatukana.

Ukiona unapigwa vijembe au watu wanakunanga au kukusimanga na wewe ujue kuna mtu au watu huwa unawafanyia au uliwahi kuwafanyia hivyo.

Ukiona unadharauliwa mpaka na mbwa wako, ujue na wewe una dharau!

Ujumbe wa kuondoka nao hapa ni kwamba, tuwatendee binadamu wenzetu vile ambavyo sisi tunapenda kufanyiwa na yale tusiyopenda kufanyiwa basi tusiwafanyie na wengine.

Tujifunze kuvaa viatu vya watu wengine.

Huu ndio ukweli na ukweli ni ukweli na utabakia kuwa ukweli haijalishi huo ukweli umesemwa na nani.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu tubariki Watanzania.

Ahsanteni sana.
Ni kweli kabisa,
Watu wanamchukulia Rais Samia kirahisi sana kwa namna ya haiba yake ya upole na kutofoka. Lakini nawahakikishia kuwa Samia ni longtimer kwenye gemu za siasa na yuko matured.

Hiyo hotuba ya juzi ndiyo mwafaka sana kwa hawa waropokaji wa majukwaani. Unawakabili vile walivyokuja.

Hapa hakuna kumpiga mtu risasi 16 wala kumyang'anya fedha zake kama alivyokuwa anafanya Magufuli. Ukija kiungwana utajibiwa kiungwana. Ukija na kejeli unapigwa vijembe vile vile.
 
Hi JF Members,

Rejea mada tajwa hapo juu, yahusika.
Kusudi la kuandika article hii, ni kuwaelimisha wanasiasa na jamii kwa ujumla kutokuwafanyia wengine vile ambavyo wao wenyewe hawapendi kufanyiwa.

Sheria za asili zinasema yafuatayo:
1. Chochote unachofanya lazima kitakurudia (What goes around, comes around)
2. To every reaction, there is equal and opposite reaction
3. Utavuna ulichopanda n.k

Hivyo ukiona unatukanwa, basi ujue kuna mtu au watu uliwahi kuwatukana.

Ukiona unapigwa vijembe au watu wanakunanga au kukusimanga na wewe ujue kuna mtu au watu huwa unawafanyia au uliwahi kuwafanyia hivyo.

Ukiona unadharauliwa mpaka na mbwa wako, ujue na wewe una dharau!

Ujumbe wa kuondoka nao hapa ni kwamba, tuwatendee binadamu wenzetu vile ambavyo sisi tunapenda kufanyiwa na yale tusiyopenda kufanyiwa basi tusiwafanyie na wengine.

Tujifunze kuvaa viatu vya watu wengine.

Huu ndio ukweli na ukweli ni ukweli na utabakia kuwa ukweli haijalishi huo ukweli umesemwa na nani.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu tubariki Watanzania.

Ahsanteni sana.
Ukifanyiwa unyama aliofanyiwa Ulimboka au Roma Mkatoliki utafanya nini?.

Uhuru unaofaidika nao una mipaka yake, ndio maana pana ya demokrasia.
 
Back
Top Bottom