Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Rehema Sombi amepokea vifaa mbalimbali vya kiofisi vilivyotolewa na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) kuunga mkono juhudi za serikali ya...
0 Reactions
1 Replies
471 Views
JF hakuna jibu linakosekana humu ndani watalaam wa mifumo yote ya Serikali wanaijua sasa mimi napenda kusimuliwa juu ya mchakato wa kuzipatia pesa za matumizi ofisi za umma kwa ajili ya activities...
2 Reactions
5 Replies
795 Views
Ni muda muafaka sasa umefika CCM iruhusu ushindani kwa wagombea Urais ndani ya Chama. Vile vile, kofia ya Urais na ya MwenyeKiti wa CCM Taifa itanganishwe ili iwe rahisi kwa Chama kuisimamia...
7 Reactions
35 Replies
2K Views
DC LUDEWA AZINDUA KITUO CHA AFYA NA ZAHANATI Na. Damian Kunambi, Njombe. Mkuu wa wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva amezindua kituo cha afya Mundindi kilichogharimu kiasi cha zaidi ya sh. Mil...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
MBUNGE AGENS MARWA ACHANGIA UJENZI NYUMBA YA KATIBU UWT MKOA WA MARA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mhe. Agnes Marwa amekabidhi mifuko 10 ya Saruji katika ujenzi wa nyumba ya Katibu wa UWT...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naona tutarudi kule kipindi cha 1995, Waziri mkuu akiwa Msuya lakini watu walimtambua zaidi Mrema aliekuwa Naibu waziri mkuu. Kwa ninachokiona kwa hali ya sasa, Dotto Biteko anaonekana ndie...
13 Reactions
67 Replies
8K Views
Taasisi ya kusajili makampuni ya BRELA inafanya kazi bila weledi. Rushwa, uzembe na dharau kwa wateja vimetawala. Tafadhali mheshimiwa rais shughulika na watendaji wabovu BRELA.
1 Reactions
5 Replies
833 Views
Hi JF Members, Rejea mada tajwa hapo juu, yahusika. Kusudi la kuandika article hii, ni kuwaelimisha wanasiasa na jamii kwa ujumla kutokuwafanyia wengine vile ambavyo wao wenyewe hawapendi...
12 Reactions
59 Replies
4K Views
Nishati ndiyo roho ya taifa lo lote. Uchumi na ustawi wa nchi hutegemea upatikanaji wa kutosha na wa bei nafuu wa nishati. Uharibifu wa tabia nchi unatokana kwa kiasi kikubwa na ukataji miti kwa...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Ni rahisi sana kujitamkia maneno hasa unapokua na mamlaka ya kuitisha vyombo vyote vya habari virushe habari zako hata kama hazina mashiko. Ndio, ni rahisi kutamka lolote hasa kama mtu anaamini...
10 Reactions
23 Replies
1K Views
Watanzania hawajui mana ya economic diplomacy. Wala hawajui uwekezaji maana yake nini umaskini wao wanaufurahia sana hata kama wanakufa poa tu. Wanaamini sana Rais anayefoka foka ili wapate kwa...
15 Reactions
74 Replies
5K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Viongozi Wateule Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 14 Septemba, 2023...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Serikali imebaini baadhi ya watumishi wa umma wanatumia njia za udanganyifu na nyaraka za kughushi mtandaoni, ili kufanikisha uhamisho wa vituo vya kazi pasipo kuridhiwa na mamlaka husika. Waziri...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Siasa na Propaganda zimekuwa zikifanyika tangia enzi...; ila imefika wakati watu kujaribu kukwambia kwamba nyeusi ni nyekundu yaani wanadhani wakitamka mara nyingi zaidi hata wao wenyewe mdomo wao...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Mara ya kwanza kabisa kuitafakari nguvu ya Mahakama ya Tanzania dhidi ya Tawi la Utawala, ilikuwa kwenye kesi ya Hayati Christopher Mtikila dhidi ya Jamhuri kwenye kesi ya Mgombea Binafsi. Kwenye...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Watu mlio karibu na rais Samia msijisahau sana na wala msione mmepata na hivyo kuamua kupuuza uundwaji wa katiba mpya. Tunataka katiba itakayompunguzia rais mamlaka na itakayoweka mipaka ya...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Kiongozi ni zao la familia, familia iliyobora is likely kutoa watu Bora na hivyo jamii kupata viongozi Bora. Watanzania kiujumla kama kuna reform muhimu inatakiwa ni Ile reform ya ngazi ya...
1 Reactions
2 Replies
883 Views
Tunaendelea kuchambua kauli za Rais za siku za hivi KARIBUNI akiwa mbele ya wadau wa Demokrasia. Mh. Rais ulisema juzi yakuwa sisi watanganyika na watanzania ya kuwa hatujui katiba mpya mpaka...
35 Reactions
67 Replies
4K Views
Ujamaa ulijikita katika serikali kukumbatia kila kitu. Bado tuna mawazo hayo na sijui lini yataondoka. Wapo wanaojitutumua kuwa na mawazo tofauti na ya Kijamaa, lakini ukweli ni kwamba bado ni...
0 Reactions
3 Replies
673 Views
Uteuzi wa Rais Samia uliwasilishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Kituo cha Dunia cha Uhimilivu wa Mabadiliko ya TabiaNchi (GCA) Ban Ki-moon wakati walipokutana Kenya kwenye Mkutano wa Wakuu...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom