ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,821
JF hakuna jibu linakosekana humu ndani watalaam wa mifumo yote ya Serikali wanaijua sasa mimi napenda kusimuliwa juu ya mchakato wa kuzipatia pesa za matumizi ofisi za umma kwa ajili ya activities mbalimbali hasa ofisi ambazo hazipo chini ya Tamisemi nazisemea hizi za Serikali kuu.
Point yangu nirahisishe ili nieleweke kwa mfano mwaka mpya wa fedha si taasisi zinaletewa mafungu, sasa je hizo fedha kipaumbele hasa ni huwa nini kinachotofautisha taasisi fulani iletewe haraka na nyingine ichelewe au mafungu yakitoka yanatoka yote kwa ujumla, ipoje hii?
Point yangu nirahisishe ili nieleweke kwa mfano mwaka mpya wa fedha si taasisi zinaletewa mafungu, sasa je hizo fedha kipaumbele hasa ni huwa nini kinachotofautisha taasisi fulani iletewe haraka na nyingine ichelewe au mafungu yakitoka yanatoka yote kwa ujumla, ipoje hii?