Rais tuoneshe cheti ulichokipata baada ya kuhitimu Elimu ya Katiba Zanzibar, mpaka wakaandika katiba yao mpya

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
Tunaendelea kuchambua kauli za Rais za siku za hivi KARIBUNI akiwa mbele ya wadau wa Demokrasia.

Mh. Rais ulisema juzi yakuwa sisi watanganyika na watanzania ya kuwa hatujui katiba mpya mpaka tupewe elimu,

Nauliza swali dogo, wazanzibari waliandika katiba yao hivi majuzi. Je, kama mlitangulia kupewa elimu je wewe kama mzanzibari una cheti cha kuhitimu mafunzo?

Je, ulisomea wapi?
Mwalimu wako alikuwa Nani?
Je, ulipata maksi ngapi?

Je, wajua Katiba ya Jamhuri ya Muungano inasema Zanzibari sio nchi lakini katiba mpya ya sasa ya Zanzbari inaitambua Zanzibari yakuwa ni nchi?

Je, wajua katiba ya Zanzbari imevunja mamlaka ya Mahakama ya Rufaa?

Mh. Rais Sisi tusiojua katiba ndio tuliovumilia wewe uwe Rais kupitia katiba hiyo hiyo tusiyoijua.

Mh. Rais Wazanzibari hawakupewa elimu walipewa Katiba

Tanganyika hutaki kutupa katiba eti kisa hatuna elimu?
 
Moderator

Acheni kufuta nyuzi zangu jaman mnananichosha mwenzangu

Tunaendelea kuchambua kauli za MH raisi za siku za hivi KARIBUNI akiwa mbele ya Wadah WA demokrasia.

MH Rais ulisema juzi yakuwa Sisi watanganyika na watanzania yakuwa hatujui katiba mpya mpaka tupewe elimu,
Nauliza swali dogo, wazanzibari waliandika katiba Yao hivi majuzi je kama mlitanguli kupewa elimu je wewe kama mzinzibari Una Cheti cha kuhitimu mafunzo?

Je ulisomea wapi?
Mwalimu wako alikuwa Nani?
Je ulipata maksi ngapi?

Je wajua katiba za jamhuri ya Muungano inasema zanzibari sio nchi lakini katiba mpya ya sasa ya zanzbari inaitambua zanzibari yakuwa ni nchi?

Je wajua katiba ya zanzbari imevunja mamlaka ya mahakama ya rufaa?

MH Rais Sisi mataila tusio jua katiba ndio tulio vumilia wewe uwe Rais kupitia katiba hiyo hiyo tusiyoijua.

MH Rais wanzanzibari hawakupewa elimu walipewa katiba

Tanganyika hutaki kutupa katiba eti kisa hatuna elimu?
Cheti cha kidato cha nne alifeli (0) na alikiri kuwa alifeli! Sasa ndio Rais! Huu umakamu wa Rais uchunguzwe! Awe ni mtu mwenye vigezo kama Rais! Ona sasa tunaongozwa na akili iliyopata 0 kidato cha nne
 
Viongozi wengi elimu zao ni tia maji tia maji tu mkuu.Mtu ukisoma background ya elimu ya CEO wa kampuni fulani ya Afrika Mashariki ni bla bla za short courses tu,mara diploma, degree Leo ni PhD.
Na wewe ni mbulula kupitia Diploma ndio bla bla mimi nilipata div one form four but nilichaguliwa technical college kusoma Diploma
 
Jamani tuache kumtukana Mheshimiwa Rais. :) :):)
Dawa ni ndogo tu atafute wawekezaji kwenye bandari zoteee za Zanzibar kwa masharti Yale yale yaliyopo kwenye mkataba wa DP WORLD na TPA. Tuanzie hapo kwanza katiba itafata....nakuhakikishia hutasikia anatukanwa...hata kama akimteuwa Mchengelwa kuwa mgombewa wake mwenza uchaguzi wa 2025 halafu akishinda amteuwe mke wa Mchengelwa kuwa Waziri mkuu.
 
Huyu mama nilichogundua ni very slow learner..ni mtu anayejifunza mpaka apate madhara.

Amekaa kwenye serikali mbili, ya JK na JPM. Huku kote alikuwa na nafasi kubwa mno ya kujifunza ila nadhani sababu alikuwa anabebwa bebwa akawa pengine hana time ya kujifunza au kama tunavyosema ni slow learner.

JK alifeli kwenye mambo mengi ikiwemo aina ya watu aliochagua kufanya nao kazi..ila yeye alivyoingia akawachukua na kuendesha nchi kwa maono ya JK.( matokeo yanaonekana sasa).

Lakini anajua jinsi JPM alivyoshughulika na jamii pamoja na kutatua changamoto mbalimbali. Alikuwa muwazi na ukweli japo ukweli mwingine uliumiza lakini ilimpa nafasi ya kuendelea na mambo mengine ama kudeliver KPIs alizojiwekea na alifanikiwa.

Mama akaingia kwa staili ya ahadi na kutaka kumfurahisha kila mja. Akataka kuonekana bora kuliko aliyemtangulia..alishindwa kujifunza na kuchukua mazuri..akapangua pangua serikali kama mwenye nyumba anavyobadilisha mpangilio wa nyumba. Hakutaka kujipa muda wa kujifanyia tathmini.( sasa serikali ipo hoi). Watu wanapokumbushia ahadi alizoahidi anasema anatukanwa. Hata mtoto mdogo ukimuahidi hukumbusha..lakini ukimuambia sina wala hatakukumbusha..tena atasahau.

Huyu hajifunzi mpaka yamkute. Anaendesha nchi kwa matukio. Naweka tozo, wakipiga kelele natoa..mwendo wa bandika bandua..no vision.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Tunaendelea kuchambua kauli za Rais za siku za hivi KARIBUNI akiwa mbele ya wadau wa Demokrasia.

Mh. Rais ulisema juzi yakuwa sisi watanganyika na watanzania ya kuwa hatujui katiba mpya mpaka tupewe elimu,

Nauliza swali dogo, wazanzibari waliandika katiba yao hivi majuzi. Je, kama mlitangulia kupewa elimu je wewe kama mzanzibari una cheti cha kuhitimu mafunzo?

Je, ulisomea wapi?
Mwalimu wako alikuwa Nani?
Je, ulipata maksi ngapi?

Je, wajua Katiba za Jamhuri ya Muungano inasema Zanzibari sio nchi lakini katiba mpya ya sasa ya Zanzbari inaitambua Zanzibari yakuwa ni nchi?

Je, wajua katiba ya Zanzbari imevunja mamlaka ya Mahakama ya Rufaa?

Mh. Rais Sisi tusiojua katiba ndio tuliovumilia wewe uwe Rais kupitia katiba hiyo hiyo tusiyoijua.

Mh. Rais Wazanzibari hawakupewa elimu walipewa Katiba

Tanganyika hutaki kutupa katiba eti kisa hatuna elimu?

Watanzania siyo watu

denooJ umepita huku?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom