Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,813
- 11,991
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Viongozi Wateule Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 14 Septemba, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pongezi kwa wateule walioapishwa leo na amewakaribisha katika kuwatumikia wananchi na watanzania kwa ujumla.
Suala la kutoa haki ni la Mungu peke yake, kama Mungu amekujalia umeteuliwa kusimamia haki za wanadamu wenzio, unafanya kazi inayofanana na hiyo. Nendeni kasimamieni haki, amesema Rais Samia.
Amewaasa majaji hao kufuata falsafa ya R4 ambayo amezichagua kama falsafa inayoongoza utendaji wa Serikali yake.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pongezi kwa wateule walioapishwa leo na amewakaribisha katika kuwatumikia wananchi na watanzania kwa ujumla.
Suala la kutoa haki ni la Mungu peke yake, kama Mungu amekujalia umeteuliwa kusimamia haki za wanadamu wenzio, unafanya kazi inayofanana na hiyo. Nendeni kasimamieni haki, amesema Rais Samia.
Amewaasa majaji hao kufuata falsafa ya R4 ambayo amezichagua kama falsafa inayoongoza utendaji wa Serikali yake.