Ujamaa ulijikita katika serikali kukumbatia kila kitu. Bado tuna mawazo hayo na sijui lini yataondoka. Wapo wanaojitutumua kuwa na mawazo tofauti na ya Kijamaa, lakini ukweli ni kwamba bado ni wajamaa.
Prof Shivji ni mjamaa. Namheshimu sana, ila bado yupo nyuma ya wakati. Bado anawaza kijamaa.
Watanzania wengi bado tunawaza kijamaa na ndio maana hata mfumo wa vyama vingi tuliupokea kinyonge na hata sasa bado tunaona kama vyama pinzani ni uadui. Kila mtu tunataka awe CCM.
Issue ya DP World bado ni mawazo yale yale ya kijamaa. Kwa nini Bandari apewe mwekezaji? Kama tulivyohoji miaka ya 1997, kwa nini NBC apewe mwekezaji?
Sasa matunda ya uwekezaji tunayaona. Tusubiri matunda ya DPW
Prof Shivji ni mjamaa. Namheshimu sana, ila bado yupo nyuma ya wakati. Bado anawaza kijamaa.
Watanzania wengi bado tunawaza kijamaa na ndio maana hata mfumo wa vyama vingi tuliupokea kinyonge na hata sasa bado tunaona kama vyama pinzani ni uadui. Kila mtu tunataka awe CCM.
Issue ya DP World bado ni mawazo yale yale ya kijamaa. Kwa nini Bandari apewe mwekezaji? Kama tulivyohoji miaka ya 1997, kwa nini NBC apewe mwekezaji?
Sasa matunda ya uwekezaji tunayaona. Tusubiri matunda ya DPW