Mahakama Tanzania ni kivuli cha tawi la Utawala

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
18,307
33,925
Mara ya kwanza kabisa kuitafakari nguvu ya Mahakama ya Tanzania dhidi ya Tawi la Utawala, ilikuwa kwenye kesi ya Hayati Christopher Mtikila dhidi ya Jamhuri kwenye kesi ya Mgombea Binafsi.

Kwenye kesi Ile baada ya Blah blah nyingi, hatimaye mahakama ikasema kuwa suala la Mgombea binafsi ni suala la kisiasa.

Siku za hivi karibuni kuna ile kesi ya kina mdee dhidi ya CHADEMA, kesi inaburuta Miguu mwaka Wa tatu sasa.

Kinachoonekana Sasa ni kuwa mahakama ni kama inasubiri maelekezo toka tawi la Utawala iamue nini kwenye kesi hiyo ambayo hata mtu wa mtaani asiyejua kabisa Sheria angeweza kuwa tayari ameshafanya uamuzi.

CC:
Rostam Aziz.
 
Ni ngumu kukuta mahakama ina meno kwenye nchi ambayo viongozi wako madarakani kwa ghiliba, na mabavu bila ridhaa ya umma. Kwa vyovyote mahakama hizo utakuta ni taasisi ya kuwezesha utawala wa wizi kukaa madarakani. Niliwaelewa sana CDM walipogoma kwenda kwenye hizi mahakama kibogoyo baada ya Magufuli kupora chaguzi zetu.
 
Mara ya kwanza kabisa kuitafakari nguvu ya Mahakama ya Tanzania dhidi ya Tawi la Utawala, ilikuwa kwenye kesi ya Hayati Christopher Mtikila dhidi ya Jamhuri kwenye kesi ya Mgombea Binafsi.

Kwenye kesi Ile baada ya Blah blah nyingi, hatimaye mahakama ikasema kuwa suala la Mgombea binafsi ni suala la kisiasa.

Siku za hivi karibuni kuna ile kesi ya kina mdee dhidi ya CHADEMA, kesi inaburuta Miguu mwaka Wa tatu sasa.

Kinachoonekana Sasa ni kuwa mahakama ni kama inasubiri maelekezo toka tawi la Utawala iamue nini kwenye kesi hiyo ambayo hata mtu wa mtaani asiyejua kabisa Sheria angeweza kuwa tayari ameshafanya uamuzi.

CC:
Rostam Aziz.
NImependa hapo kwenye CC. Simu moja tu
 
Tanzania mahakama hazipo huru,waheshimiwa Hawa huamua baada ya kushauriana na serikali.
Mfano wakurugenzi kusimamia uchaguzi mkuu.
 
Mahakama na bunge hakuna weledi..
Wanaenenda kwa maelekezo ya muhimili uliojichimbia chini zaidi
 
Mahakama na bunge hakuna weledi..
Wanaenenda kwa maelekezo ya muhimili uliojichimbia chini zaidi
Wanavovaa yale majoho yao na zile kofia kama mafundi mchundo huwa wanatembea Kwa matao na mbwembwe nyingiii, lakini hukumu zao kushindwa kuonesha weledi huwa nawashangaa sana.
 
Mara ya kwanza kabisa kuitafakari nguvu ya Mahakama ya Tanzania dhidi ya Tawi la Utawala, ilikuwa kwenye kesi ya Hayati Christopher Mtikila dhidi ya Jamhuri kwenye kesi ya Mgombea Binafsi.

Kwenye kesi Ile baada ya Blah blah nyingi, hatimaye mahakama ikasema kuwa suala la Mgombea binafsi ni suala la kisiasa.

Siku za hivi karibuni kuna ile kesi ya kina mdee dhidi ya CHADEMA, kesi inaburuta Miguu mwaka Wa tatu sasa.

Kinachoonekana Sasa ni kuwa mahakama ni kama inasubiri maelekezo toka tawi la Utawala iamue nini kwenye kesi hiyo ambayo hata mtu wa mtaani asiyejua kabisa Sheria angeweza kuwa tayari ameshafanya uamuzi.

CC:
Rostam Aziz.
Hilo ni jibu...Pigia mstari ✔️
 
Mara ya kwanza kabisa kuitafakari nguvu ya Mahakama ya Tanzania dhidi ya Tawi la Utawala, ilikuwa kwenye kesi ya Hayati Christopher Mtikila dhidi ya Jamhuri kwenye kesi ya Mgombea Binafsi.

Kwenye kesi Ile baada ya Blah blah nyingi, hatimaye mahakama ikasema kuwa suala la Mgombea binafsi ni suala la kisiasa.

Siku za hivi karibuni kuna ile kesi ya kina mdee dhidi ya CHADEMA, kesi inaburuta Miguu mwaka Wa tatu sasa.

Kinachoonekana Sasa ni kuwa mahakama ni kama inasubiri maelekezo toka tawi la Utawala iamue nini kwenye kesi hiyo ambayo hata mtu wa mtaani asiyejua kabisa Sheria angeweza kuwa tayari ameshafanya uamuzi.

CC:
Rostam Aziz.
Hii ni dharau ya hali ya kwa Mahakama za Nchi yetu.
 
Hii ni dharau ya hali ya kwa Mahakama za Nchi yetu.
Kwa nini ni dharau??

Au unataka kuitakatifusha mahakama?? Mifano ipo kuonesha kuwa mahakama ni dhaifu dhidi ya tawi la Utawala.

Miezi kadhaa iliyopita mmoja wa majaji wastaafu wa Mahakama Kuu alipoulizwa jambo gani liliwahi kumhuzunisha wakati akiwa Jaji jibu lake lilinishangaza sana.

Jaji yule alisema kwamba aliwahi kufanya uamuzi ambao haukumpendeza aliyekuwa waziri Mkuu.

Nalala ya hukumu hiyo ilipomfikia waziri Mkuu huyo mstaafu aliichana na kusema ni upuuzi mtupu.

Swali la kujiuliza jee Jaji yule mstaafu alitoa karipio lolote Kwa Waziri Mkuu yulestaafu??

Mahakama haina ubavu mbele ya tawi la Utawala.
 
Back
Top Bottom