Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Dar es Salaam. Mbunge wa Nanyumbu (CCM), Yahya Mhata amemweleza Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme katika wilaya ya Nanyumbu pamoja na gharama kubwa ya kuunganisha...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Sehemu mbalimbali nimeshuhudia Watu wakimsifu Naibu Waziri mkuu Dkt. Biteko kwamba ni kiongozi aliyeandaliwa vizuri Wengi wameonesha matumaini makubwa kwa mteule huyu na hata kumtabiria kwamba...
3 Reactions
101 Replies
8K Views
Mwenyekiti wa TCD Prof Lipumba amesema kutokana na muda kuwa mchache Kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu Wamekubaliana na Serikali waweke Mazingira ya kuwa na Tume Huru ya...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Unajua Kwanini tumejitokeza kwa wingi kumpokea Rais Samia. Na mimi nimefika hapa na Mwanangu? Kazi ya Rais Samia na historia yake imenipa msukumo huu kuja hapa leo kaka angu (kwa lafudhi ya watu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huyu mama alianza kazi akiwa na lugha flani hivi tamu mpaka wakati mwingine akawa anamponda aliyekua boss wake (Magufuli ila sasa hivi kaacha) kwa vijembe.baadhi ya watu wakiongozwa na chadema...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Wanafunzi Kijiji cha Kirumi Kata ya Bukabwa katika Wilaya ya Butiama Mkoani Mara wamepunguziwa mwendo baada ukamilishaji wa Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kirumi iliyoanza kujengwa tangu mwaka...
0 Reactions
0 Replies
514 Views
Chama cha demokrasia na Maendeleo CHADEMA wanakusudia kuanzisha umoja utakao unganisha vyama vya siasa vya upinzani na jumuiya mbali mbali za kidini kudai katiba mpya sasa. ACT wametengwa kwa...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Serikali imesema itaanza awamu ya pili ya ujenzi wa Vituo vya Afya 214 kwenye Kata zote za Kimkakati Nchini. Kwa miaka 4 ya mama atakuwa kajenga jumla ya Vituo vya Afya 450 plus vifaa tiba na...
1 Reactions
38 Replies
2K Views
Mahindira Tech walikula Bil 71 za bure kwa madai eti ufanisi wa Tanesco utaongezwa . Leo hii January yupo tu kama mteule wa rais. Hatuoni ufanisi wa Tanesco zaidi ya Mgao wa umeme kuzidi...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Kuna hatua zozote anafanya huyu waziri kukabiliana na tatizo la mgao au anapanga tu ratiba ya mgao na kusubiria maji? Maana hii ni dharura. Umeme siku moja upo ya pili haupo. Kazi ya siku 10...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Katika Taifa kuna sera au ksulimbiu au harakati zinazowaunganisha wananchi na kuwa Tsifa moja. Michezo nchini imekuwa mbadala wa siasa kwa sasa hivi. Katika miaka ya karibuni, mpira(football) ni...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Marehemu mwendazake aliwai kuwa mwanafunzi wa sekondari ya Mkwawa akafanya kioja akafukuzwa shule baadae Ccm ikampitisha kugombea urais na akawa rais wa miaka 6 Mkuu wa mkoa wa Dsm amesikika...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
==== Tangu tupate Uhuru, Tanzania haijawahi kupata :- 1. Rais Mnyenyekevu kama huyu, 2. Rais Mpole kama huyu, 3. Rais Msikivu kama huyu, 3. Rais Mtulivu kama huyu 4. Rais Mwenye hofu...
45 Reactions
313 Replies
21K Views
Katika hali ya kipekee leo Rais katika zuara yake Masasi Mkoani Mtwara amepokea kero mbalimbali lakini kero hii ya mahusiano amewataka viongozi wakae. Ni kweli zipo kero nyingi lakini kero...
0 Reactions
0 Replies
455 Views
NA HAJI NASSOR, PEMBA MKURUGENZI wa Idara ya Katiba na Msaada wa Kisheria Zanzibar Hanifa Ramadhan Said, amesema msako mkali unakuja kuwabaini watu na taasisi, zinazofanyakazi za kutoa elimu...
0 Reactions
1 Replies
758 Views
Tambueni kwamba wananchi ndio wenye nchi, kwahiyo wanachokitaka ndio kinachopaswa kuwa kipaumbele, dharau, kiburi, jeuri havijawahi kuacha salama serikali yoyote ile. Na wala hakuna serikali...
9 Reactions
47 Replies
2K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua kwenye kaburi la aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu Hayati Benjamin William Mkapa, Kata ya Lupaso, Masasi Mkoani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesimama njiani kuzungumza na Wananchi wa Nanyumbu Mkoani Mtwara waliosimamisha msafara wake Barabarani kwa ajili ya kutaka...
-1 Reactions
10 Replies
898 Views
Ili kuepuka kuwa na Rais ambae hakutokana na kuchaguliwa na wananchi ilipaswa kupewa nafasi yule aliye shika nafasi ya pili. Alafu Rais Samia angetumika kuongoza nchi kwa kipindi kifupi hadi pale...
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Ni matumaini yangu nyote mko salama. Nimeona nilisemee hili maana limeenda! Hivi kiongozi unatoa wapi ujasiri wa kukataa kuwasikiliza waliokuweka madarakani? Hivi unavaaga viatu vya wale unaokataa...
3 Reactions
14 Replies
901 Views
Back
Top Bottom