The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,581
- 3,487
Wakuu mambo ni vipi?
Leo nilikuwa naomba kuuliza hivi ni lazima kumshukuru mtu ambaye umemuajiri?
Wakati anafanya kazi na unamlipa pesa yake?
Sikatai mtu kupongezwa Lakini inapozidi inashusha ufanisi wa kazi kwa mtu huyo,
Kuna ulazima gani wa kusema tunamshukuru rais Samia? Kwanini isiwe tunashukuru Serikali yetu?
Jenerali ulimwengu anasema “mtu aliyeomba kazi mwenyewe asipofanya wajibu wake lazima tumseme na akifanya tutakaa kimya sababu huo ni wajibu wake”
Embu wataalamu mseme hapa Mbona Kama kipindi cha hayati mzee Mkapa haya mambo hayakuwepo? Kwanini Hivi vitu vimeshamiri kuanzia kwa hayati Magufuli?
Leo nilikuwa naomba kuuliza hivi ni lazima kumshukuru mtu ambaye umemuajiri?
Wakati anafanya kazi na unamlipa pesa yake?
Sikatai mtu kupongezwa Lakini inapozidi inashusha ufanisi wa kazi kwa mtu huyo,
Kuna ulazima gani wa kusema tunamshukuru rais Samia? Kwanini isiwe tunashukuru Serikali yetu?
Jenerali ulimwengu anasema “mtu aliyeomba kazi mwenyewe asipofanya wajibu wake lazima tumseme na akifanya tutakaa kimya sababu huo ni wajibu wake”
Embu wataalamu mseme hapa Mbona Kama kipindi cha hayati mzee Mkapa haya mambo hayakuwepo? Kwanini Hivi vitu vimeshamiri kuanzia kwa hayati Magufuli?