Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,999
Na. M. M. Mwanakijiji...
Alipozungumza Jana Rais Samia kuhusu kukosa usingizi kunakomkuta kama Rais unaweza kudhani roho ya Magufuli ilimuingia ghafla. Yaani, maneno yake ukiyaweka kwa sauti na ukali wa Magufuli...unaweza Kwanzaa kuwaonea huruma Hawa wakuu wa mikoa.
Nasubiri kuona Nani atakuwa wa kwanza kuanza vikao kuwashtukiza maDC na kukutana na wananchi kutatua kero kabla Makonda hajaenda.
Kuna meseji katuma Rais Samia Jana sijui kama kaeleweka...na si mara ya Kwanzaa namsikia akiwasihi wateule wake waende kutatua matatizo ya wananchi. Ni kama anawabembeleza wasilale..sijui na yeye kaanza kulala na mafaili.
Ila siku akikasirika akawaita tena "pumbavu".. miye nipo. Landa kuna siku itabidi aufanye Umagufuli ili baadhi ya watu wajue kuwa hawakupakwa mafuta watawale tu...nasubiri nione kama atalazimisha wamwelewe...au ataendelea kubembelezana nao maana watu wameanza kumng'ong'a yeye...
Ataeleweka kabla ya 2025?
Alipozungumza Jana Rais Samia kuhusu kukosa usingizi kunakomkuta kama Rais unaweza kudhani roho ya Magufuli ilimuingia ghafla. Yaani, maneno yake ukiyaweka kwa sauti na ukali wa Magufuli...unaweza Kwanzaa kuwaonea huruma Hawa wakuu wa mikoa.
Nasubiri kuona Nani atakuwa wa kwanza kuanza vikao kuwashtukiza maDC na kukutana na wananchi kutatua kero kabla Makonda hajaenda.
Kuna meseji katuma Rais Samia Jana sijui kama kaeleweka...na si mara ya Kwanzaa namsikia akiwasihi wateule wake waende kutatua matatizo ya wananchi. Ni kama anawabembeleza wasilale..sijui na yeye kaanza kulala na mafaili.
Ila siku akikasirika akawaita tena "pumbavu".. miye nipo. Landa kuna siku itabidi aufanye Umagufuli ili baadhi ya watu wajue kuwa hawakupakwa mafuta watawale tu...nasubiri nione kama atalazimisha wamwelewe...au ataendelea kubembelezana nao maana watu wameanza kumng'ong'a yeye...
Ataeleweka kabla ya 2025?