johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,982
- 141,997
Mbunge wa Viti Maalum Chadema mh Halima Mdee atatoa Ushuhuda namna Shujaa Maguful na Chadema walivyoshirikiana kuleta maendeleo ya Jimbo la Kawe tangu Shujaa akiwa Waziri wa Ujenzi, Waziri wa Ardhi na Waziri wa Uvuvi
Kaa mkao wa kushuhudiwa
Ramadan Kareem 😄
Kaa mkao wa kushuhudiwa
Ramadan Kareem 😄