Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amesema tukiruhusu gharama za Uchaguzi zibebwe na mgombea peke yake basi Matajiri wenye fedha watanunua uongozi. Tena Watu Wenye Fedha na Marafiki zao ndio...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
ACT Wazalendo tumeguswa na taharuki za wananchi kutokana na taarifa za utata juu ya upatikanaji wa huduma za afya kupitia Mfuko wa Taifa wa bima ya afya (NHIF). Wiki ya kwanza ya mwezi Machi, 2024...
0 Reactions
0 Replies
905 Views
TAFAKURI KWA WANAWAKE WOTE JESHI LA DR SAMIA 📌 Dar es salaam, 📝 29/01/2024 Wanawake wa mkoa wa Dar es salaam na Tanzania nzima kwa ujumla tunajivunia Rais wetu Dr Samia Suluhu Hassan, Mwanamama...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Na Saidina Msangi na Joseph Mahumi, WF, Dodoma Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amesema kuwa Tanzania ni nchi ya mfano Afrika kwa kutimiza viashiria vya Malengo ya Milenia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mbunge wa Jimbo la Nkenge, Mheshimiwa Florent Kyombo, akabidhi kompyuta Mbili shule ya Sekondari Bwabuki Ya Kata Kitobo na Shule ya Msingi Lukurungo Kata Bugandika Ofisi ya Mbunge wakikabidhi...
0 Reactions
4 Replies
681 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nilishawaambieni sana humu jukwaani na hata mitaani kuwa Rais Samia anafuatilia sana kila kinachokuwa kinaendelea katika ziara za Mheshimiwa Makonda kijana jasiri kusini...
10 Reactions
85 Replies
5K Views
Mheshimiwa Rais, nimekusikia ukisema unaweka pembeni wazembe na wale wasiowatumikia wananchi ipasavyo, hadi pale watakapojirekebisha ndio unawarudisha! Sasa mzembe asipochukuliwa hatua za...
5 Reactions
11 Replies
660 Views
Wote tunakumbuka Daniel Yona alifungwa Jela kwa Ufisadi aliofanya akiwa Waziri Basil Mramba alifungwa Jela kwa Ufisadi aliofanya akiwa Waziri Rajab Marandu alifungwa Jela kwa Ufisadi wa EPA Hii...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Awamu ya pili ilileta fujo za daladala kwa mara ya kwanza Tanzania, iliruhusu fujo, iliondoa usafiri wa kimpangilio uliokuwepo wa UDA na kuruhusu fujo za daladala. Awamu ya 4 iliruhusu bodaboda...
0 Reactions
1 Replies
384 Views
Ukweli mchungu kwa ma CCM na vibaraka wao: “Mkitaka kufika mbali lazima muwe na sauti ya pamoja hata kama munatofautiana kwa itikadi ya vyama vyenu lakini linapokuja suala la kutetea maslahi ya...
7 Reactions
51 Replies
3K Views
Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amezungumzia kupanda kwa bei ya mafuta ya petrol, dezeli na mafuta ya taa huku akisema hali hiyo haikwepeki Tanzania. Nyalandu amesema...
9 Reactions
17 Replies
2K Views
Pangekuwepo Serikali 3 hii mjadala ya leo isingekuwepo kwa Maamuzi haya haya ya Bandari Ni Maalim Seif na Mchungaji Mtikila tu ndio walielewa maana halisi ya Serikali 3!
1 Reactions
5 Replies
751 Views
Mchengerwa anaongelea kushughulikia kerozipi kubwa wakati Mwenezi Makonda anakutana na watu kadha wa kadha wakiwa na kero lukuki mpaka zinaanzishwa kliniki za kusikiliza kero hizo? Sekta zote...
0 Reactions
6 Replies
735 Views
Rushwa katika Vyama vya Siasa ni tatizo katika Nchi nyingi Duniani na inaathiri Demokrasia kwa kudhoofisha Uwajibikaji, Usawa, na Uaminifu katika Mifumo ya Kisiasa Katika baadhi ya maeneo, Watu...
0 Reactions
1 Replies
674 Views
Nadhani wananchi wenyewe mngewapa mbinu, maoni viongozi wenu kupitia platform mbalimbali ili wajue mnahitaji nini kulikoni kukaa na kuwa dislike, ninachojua mpaka sasa na ninaamini hilo ya kuwa...
0 Reactions
1 Replies
243 Views
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye...
11 Reactions
124 Replies
8K Views
Taasisi ya Chawa wa Mama imesema Chawa kupigwa Marufuku ni Vita ya Kisiasa na Wivu Ndani ya CCM lakini Wao hawahusiki kwa Sababu wamesajiliwa Kisheria. Mwenyekiti Komredi Maimatha amesema kupitia...
8 Reactions
60 Replies
5K Views
Maofisa watendaji wakuu wa taasisi yoyote ile ni maofisa waaandamizi kabisa wa kampuni au taasisi yoyote ya umma. Kwa miaka mingi kumekuwepo na teuzi na tenguatengua za watendaji wa makampuni na...
3 Reactions
7 Replies
966 Views
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amebwagwa kortini na waandishi wa habari 10, wanaomdai mtoto wake katika kesi aliyofungua kutaka wamlipe gharama kwa kukamata nyumba yake. Uamuzi huo...
4 Reactions
63 Replies
5K Views
Tulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa. Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia. Hili liwe ni fundisho...
26 Reactions
217 Replies
17K Views
Back
Top Bottom