Mitungi ya gesi 71,000 yenye thamani ya Sh3 bilioni inatarajiwa kusambazwa na kugawiwa bure katika mikoa 26 ya Tanzania Bara, lengo likiwa ni kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia...
Msemaji mkuu wa Serikal Gerson Msigwa amesema Wananchi wajenge tabia ya kupata huduma kwenye Vituo vya Afya badala ya kukimbilia kwa wataalam wa Tiba Asilia ambako wanapoteza muda mwingi na...
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amewataka wataalamu wa afya nchini kupunguza semina ili kuwa na muda zaidi wa kutoa huduma bora za matibabu kwa wananchi.
Waziri Ummy Mwalimu ameyasema hayo leo Julai...
MKUU wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya, anachunguzwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kutokana na malalamiko yaliyotolewa, kwamba analazimisha wafanyabiashara kumpa...
Kuna rafiki yangu mmoja tulipokuwa kwenye mazungumzo fulani ya kimaendeleo aliniambia kauli kuwa Siasa na Sheria na kitu kimoja kwa kuwa vyote vimejikita kwa kucheza na maneno tu.
wakati watanzania wakifurumushwa ngorongoro kwenye ardhi yao huku raisi wa tanzania akigawa mamilioni ya fedha za walipa kodi bure kwa timu za mpira badala ya kutumia fedha kutatua matatizo ya...
Ili tujiridhishe kama bado wananchi wana Imani na chaguzi za nchi hii, walioko mbarali watupie picha ya misururu ya wapiga kura kwenye vituo vya kupigia kura.
Hiyo pia itatupa picha ya hamasa ya...
Naona sasa ni muda muafaka Serkali itunge sheria kudhibiti Haya matumizi mabaya ya Ofisi maana...
Leo hii nimeona video moja ikimuonyesha Naibu waziri Mkuu Mh Dotto Bitteko akiwa kajimilikisha...
Kauli za ney wa mitego ni ngumu kuliko za sifa. Sifa boniventure anaonewa. Aachiwe haraka.
Hivi hiki kiwimbo Cha sifa kina maneno mazito Kama nyimbo ya amkeni ya ney? Kama sio why ney yupo nje...
Kama tulivyoahidi hapo awali, kwamba pamoja na kuwaletea taarifa za mikutano ya hadhara ya Chadema huko Kanda ya Nyasa, lakini yapo matukio Muhimu sana na Tuvituvitu fulani kwenye ziara hii ambato...
Tukionee huruma hiki chama cha harakati
Kwa sasa dawa ya kuwamaliza imepatikana
Uhuru walipewa wanadhihirisha mbele ya watanzania kuwa wao ni wahuni na watapuuzwa wakijiangamiza wenyewe.
Kati ya vitu sielewi ni kwanini hakuna utambulisho rasmi wa Tanganyika kwenye muungano wetu. Wakati Zanzibar bado iko vilevile Tanganyika ndo imekuwa Tanzania.
Kwanini Tanganyika haitambulishwi...
Hayo yamejiri baada baada ya mamlaka ya kusimamia nishati ya Zambia ERB kukutana na EWURA mamlaka ya Tanzania.
Bomba la TAZAMA lina urefu wa kilometa 1710 na lilikamilika ujenzi wake zaidi ya...
Kuna mjadala nimeukuta mahali watu wanahoji kwanini Mfanyabiashara Maarufu Mohamed Dewji maarufu MO na Mfanyabashiara Maarufu Gharib Mohamed Maarufu GSM ambao ndiyo wadau wakubwa wa bandari...
Kigosi National Park ni Hifadhi ya Taifa iliyokuwa ikimilikiwa na TANAPA.
Hifadhi hii imenyofolewa chini ya usimamizi wa TANAPA baada ya kugundulika ina hifadhi kubwa ya dhahabu.
Hifadhi...
Nkasi ndio jimbo pekee linalowakilishwa bungeni na Chadema
Sasa wapiga kura Wao wamemcharaza mikwaju Afisa wa Jeshi la Polisi
Je, Chadema itatoa Waraka wa kukemea kitendo hicho?
Ngoja tuone...
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu ametoa wito kwa makampuni mbalimbali ndani na nje ya Tanzania kujitokeza kudhadhili vilabu vya soka na michezo mbalimbali nchini...
Serikali inapaswa kuanzisha matumizi ya vyanzo mbadala vya nishati, kama vile gesi asilia. Kuanzia kwenye magari yote ya serikali, kutekeleza matumizi ya Gesi ya Asilia Iliyosindikwa (CNG)...
Ni jambo la kusikitisha tangu SGR ianze kujengwa raisi wetu mpendwa hajawahi kuja kuikagua na timu ya wataaalamu wake.
Wanakuja TRL magari yao na hawafungui vioo wanaondoka bila kukagua wengine...
Nafikiri huu ndio ufisadi mkubwa zaidi kuliko hata skendo ya DP World. Inasikitisha nchi inatafunwa na genge liitwalo ccm hadi huruma.
Kwamjibu wa Jarida la The Global Mail linasema kuwa kikosi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.