Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Taarifa zinaonyesha kwamba Nchini Tanzania leo zinafanyika Chaguzi kadhaa, za marudio, kutokana na nafasi kadhaa kuwa wazi, kwa sababu ya vifo pamoja na mambo mengine yaliyowatokea waliokuwepo...
13 Reactions
29 Replies
1K Views
Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA ITACHUKUA muda kuelewa nini hasa kilichokikumba Chama Kikuu cha Upinzani nchini (CHADEMA) hadi kikashindwa kutatua mgogoro wa uongozi na hatimaye kuingiza...
52 Reactions
520 Replies
44K Views
Msingi mkuu alioujenga Maguful ni kuteua Makada wa CCM kuwa Wakurugenzi wa Halmashauri Wakurugenzi ndio Wasimamizi wa Uchaguzi Wapinzani walilala usingizi wakati Shujaa anaujenga huu Msingi na...
1 Reactions
21 Replies
873 Views
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI- Mohamed Mchengerwa amesema Serikali inatambua changamoto za mradi huu. Ameahidi mpaka ifikapo Mwezi September-Oktoba 2024 matatizo yote yatakuwa yamekwisha...
2 Reactions
36 Replies
2K Views
Mara kwa mara mzee Kikwete amekuwa akisema vyama vya Upinzani Siyo tishio kwa CCM na havina ubavu wa kuishinda kwenye uchaguzi mkuu Kwenye kumuaga Hayati Mwinyi pale Uwanja wa Uhuru Mzee Kikwete...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Viongozi ngazi za Kata na Vijiji wametakiwa kuwa mstari wa mbele kutetea na kuwalinda Wananchi dhidi ya vitendo vya uonevu vinavyofanywa na baadhi ya Watumishi wa serikali ikiwemo askari kukamata...
0 Reactions
2 Replies
455 Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali inapenda kuzialika kampuni zote za utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi kushiriki katika Duru...
0 Reactions
5 Replies
698 Views
Demokrasia ni utawala wa walio wengi .Sensa ya watu Tanzania inaonyesha Tanzania wengi vijana inakuwaje viongozi wa vyama vya siasa na serikalini na bunge vikongwe? Vyama vyote kuanzia CCM...
1 Reactions
18 Replies
808 Views
Wamekufa viongozi wengi wa nchi hii, lakini wakati wote Magufuli anaonekana kuongelewa kila mara na kila sehemu. Wengine wanasema angekuwepo tungekuwa nchi ya ahadi kwa sasa, wengine wanasema...
51 Reactions
321 Replies
11K Views
Mjumbe hauwawi,someni wenyewe hapa 👇 --- Askofu wa Dayosisi ya Karagwe KKKT Dkt. Benson Bagonza ameeleza hayo kupitia waraka alioutoa kufuatia yale aliyoeleza CDF mstaafu Jenerali Venance Mabeyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
CDF MABEYO AMEPASUA MASIKIO YETU Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Venance Mabeyo, amesema maneno yanayopasua ngoma za masikio yetu. Amefanya mahojiano na “kutoa siri” za kilichotokea miaka 3...
21 Reactions
25 Replies
4K Views
Salaam,Shalom!! Zamani, mwalimu wa Shule ya msingi, alikuwa na uwezo wa kuchukua fomu na kugombea ubunge na akashinda, sasa hivi akijaribu, atakutana na kikumbo Cha tajiri au .toto wa kiongozi...
15 Reactions
104 Replies
5K Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Wakuu wa...
1 Reactions
10 Replies
905 Views
1. Ujenzi na uboreshaji wa Miundombinu ya kutolea huduma za Afya katika maeneo mbalimbali nchini yamewezesha Vituo vya kutolea huduma za Afya kuongezeka kutoka vituo 8,549 Mwaka 2021 hadi vituo...
1 Reactions
0 Replies
476 Views
Mchezo wa kukataa mchele kutoka Marekani ni zaidi ya mchezo maarufu wa kombolela unaochezwa na watoto. Mchezo wa kitoto haukeshi. Sote tunafahamu kuwa msaada ni kitu kinachotolewa kwa hisani...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu twendeni pamoja Na Sam Ruhuza 19/03/2021 aliapishwa Rais mpya kuwa Rais kufuatia kifo cha Rais aliyekuwapo, kwahiyo amepata nafasi hiyo kutokana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania...
2 Reactions
9 Replies
767 Views
Kuna Stendi ya mwendokasi pale (Jangwani), mwendokasi ile imejengwa kwenye mkondo wa maji halafu maji yakijaa pale wanaanza kulia kwamba maji yameingia kwenye magari sio kweli bali magari...
11 Reactions
55 Replies
5K Views
Kwenye fomu ya CCM ya kuomba kugombea ubunge kuna kipengele kinachotamka kuwa umekifanyia nini chama.Jibu la hapo ni lazima uwe umefanya kitu kama mwana CCM kimojawapo ni kusaidia kutatua kero ya...
0 Reactions
8 Replies
469 Views
Nawashukuru nyote kwa salamu za kheri na upendo katika kumbukizi ya miaka mitatu toka nilipoapa kuitumikia nchi yetu katika nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mwenyezi Mungu...
4 Reactions
58 Replies
3K Views
Mimi nafikiri matatizo ya nchi yetu ni makubwa kuliko tunavyofikiria. Yapo kila kona, si tu katika siasa. Kama daktari anaweza akamfanyia mtu upasuaji wa kichwa badala ya mguu, hivi jamani utasema...
-2 Reactions
100 Replies
17K Views
Back
Top Bottom