Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jamani hii hali mpaka lini? Mbona kama vile Biteko ni zaidi ya Makamba? Na je Rais anafahamu kweli au hao machawa waliomzunguka wanamwambia hali ya umeme ni shwari tu? Maana kanyamaza kimya...
31 Reactions
132 Replies
6K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI HALI YA UBORA WA MRADI WA JNHPP NA UHIFADHI WA WANYAMA PORI Jumapili, 10 Septemba 2023. Kuna taarifa zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mradi wetu wa...
4 Reactions
148 Replies
12K Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimefurahishwa na Habari niliyoisoma katika Gazeti la Mwananchi,likielezea utaratibu ambao mkuu wa mkoa wa Mwanza mh Amos Makalla amekuja nao na kuuzindua katika...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Nimemsikiliza waziri Nape na mbunge wa Mtama sikumuelewa. Anasema eti wanao mpinga na kumkosoa mama Samia ni watu wa mitandaoni na ni 16% tu ya wapiga kura tu. Na kati ya 16% ya hao watu wa...
12 Reactions
76 Replies
6K Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro Septemba 20, 2023 Jijini Dar es Salaam amekutana na viongozi wa timu ya Simba ambapo wamejadili masuala mbalimbali yakiwemo maendeleo...
0 Reactions
1 Replies
343 Views
Kuchelewa kufunguliwa mradi wa bwawa la Nyerere kwa hali yoyote ni njama ya wale ambao mradi kama huo ungewaingizia binafsi mabilioni kwa upigaji au wataathirika upigaji wao kwa mradi mkubwa wa...
6 Reactions
48 Replies
3K Views
Amesema kiongozi wa awamu ya tano (jiwe) alikuwa mtu katili sana kiasi cha kumfanya apate taabu sana. Amewasihi watanzania kuishi kwa kutenda mema maana duniani tunapita. Jiwe alilewa madaraka...
57 Reactions
443 Replies
47K Views
Pamoja na ufuatiliaji wangu wote wa mambo ya Serikali, ziara ya Rais Samia Mikoa ya Kusini ndio imefanya nimejua kwamba kumbe Mama amejenga bonge la hospital Mpya ya Mkoa wa Lindi. Nafahamu Kuna...
5 Reactions
71 Replies
6K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa pamoja na Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi Ujenzi wa Ofisi za...
11 Reactions
112 Replies
8K Views
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini, akisalimiana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita ACP Safia Jongo, wakati alipotembelea na kukagua Kituo kidogo cha Polisi Bwanga Wilayani...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa RIPOTI ya CAG ya mwaka 2020/2021, ni kwamba, MAGEREZA yote Tanzania, YAKIJAA, yanauwezo wa KUBEBA watu 35,000 tu. Uwanja wa MKAPA-DSM, UKIJAA, unaweza KUBEBA watu 60,000. Tanzania...
27 Reactions
100 Replies
7K Views
Kilio ni kikubwa maeneo mengi ya nchi huyo waziri kiujumla mimi tangu amepewa Wizara ya Nishati sijaona amefanikiwa kwenye chochote zaidi ya kutuacha kwenye giza totoro Hata huko alipopelekwa...
12 Reactions
61 Replies
4K Views
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimechoka kuliko uchovu wenyewe. Ikifika mahali chama kikishindwa hata kwenye mambo mepesi kabisa! Basi tambua chama kimezeeka kuliko umri wake na kimechoka kuliko...
42 Reactions
93 Replies
6K Views
Imagine hawa ndio walikua wazalendo no moja tz kwa mujibu wa wao wenyew, mi natoa RAI kwa CCM. Jaribuni kwenda na wakat dunia ishabadilika watanzania wameamka na wana uelewa mpana san!👇👇👇👇
1 Reactions
1 Replies
807 Views
“Watanzania wanaopiga kelele mitandaoni wako asilimia 16 tu na kati ya hao, asilimia 40 wako nje, na wala hawana mpango wa kurudi nchini”. Baada ya mfalme Solomon kufariki na Rehoboam kumrithi...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua kiwanda cha uzalishaji vioo vya ujenzi cha Saphire Float Glass - Mkuranga Mkoa wa Pwani leo tarehe 20 Septemba, 2023...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninachofahamu ni kwamba kupitia Mitandao ya Kijamii ndio Wagombea Ubunge walipata hofu na kucheza michezo waliyocheza Ili Wapite bila kupigiwa kura 2025 hiyo mbereko haipo tena Niishie hapo!
4 Reactions
11 Replies
840 Views
Katika hali ya kushangaza, Waziri wa zamani wa Utalii Hamis Kigwangwala amejitokeza hadharani kutaka jamii iwapime viongozi kwa utendaji badala ya Uchawa . Tunampongeza sana Mh huyu kwa kuliona...
9 Reactions
51 Replies
4K Views
Rais samia akiwasalimia Wananchi wa Somanga akiwa njiani kuelekea Jijini Dar es Salaam https://www.youtube.com/watch?v=3F82U8xtIb4 MBUNGE: UMEME UMEKATIKA MARA 21 NDANI YA SIKU MBILI Mbunge wa...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Kama kusema uwongo lingekuwa ni kosa, na kosa hilo adhabu yake ingekuwa ni kufungwa jela, basi ingelazimu kuwa na jela maalum kwaajili ya viongozi wa Serikali. "Wakati wa awamu iliyopita, mitambo...
1 Reactions
1 Replies
465 Views
Back
Top Bottom