Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

UWT TAIFA WAFANYA MKUTANO WA MAJUMUISHO YA ZIARA MKOA WA GEITA CHATANDA : VIONGOZI WA UWT MIKOANI TOKENI MKAFANYE ZIARA KWENYE MAENEO YENU, MKASIKILIZE NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI Mwenyekiti wa...
0 Reactions
0 Replies
610 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ni moto ,ni moto ,Ni moto Unakwenda kuwaka mkoani Mbeya ,Ni moto utakao litikisa jiji la Mbeya,Ni moto utakao lisimamamisha jiji na mkoa wa Mbeya. Ni matumbo joto ,Ni Roho...
5 Reactions
127 Replies
10K Views
Magari ya zimamoto kwa maisha ya mtanzania ni muhimu kuliko dege ambalo raia wa kawaida hawawezi kumudu hata tikiti ya laki tatu na ushee. Hii midege ina return gani ya kiuchumi kwq wananchi wa...
4 Reactions
13 Replies
950 Views
Jemedali Mwabukusi amevunja ukimya. Yapo mengi yenye kutukwaza kwenye nchi na vyama hivi tulivyomo. Kulikoni katiba mpya kutokuwa kipaumbele? Kulikoni vyama kupewa ruzuku? Kulikoni malipo ya...
8 Reactions
52 Replies
4K Views
Wengi wamempinga Wakili msomi Mwabukusi kwa kauli yake ya Ukweli kabisa kwamba vyama vya Upinzani haviwezi kuleta Katiba mpya. Mfano Mzuri ni Kinara wa Katiba Mpya upande wa CHADEMA Tundu Lissu...
1 Reactions
9 Replies
795 Views
Huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono. CCM imefunga watu wengi kisa kukoslewa. Anza na yule dawa wa chato, Ney wa mtegp, Sifa na sasa huyu hapa mwamba... Je naye watamfunga?. Mabadiliko yanakuja COM...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Ikiwa leo ni siku ya Wazee ya Kidunia ,, Kitaifa jambo hilo linawakilishwa na Wazee wa Chadema (BAZECHA) , hii ni baada ya Wazee wa vyama vingine kugeuka Chawa wa Watawala , na linafanyika...
5 Reactions
41 Replies
5K Views
Nawapa pole nyingi sana kwa Watanzania wote walioathirika na moto mkubwa uliozuka Kariakoo alfajiri tarehe ya leo. Bado Tanzania ina tatizo kubwa kwenye sekta ya uokozi wa majanga. Ketengo hiki...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Imebaki Mungu wa mbinguni tu atuhurumie ili Bei ya Mafuta isiendelee kupandisha gharama za Maisha Nawatakia Dominica Njema 😀😂
1 Reactions
9 Replies
937 Views
Mkuu wa mkoa wa DSM mh Chalamila amefika Kariakoo na kulipongeza Jeshi la Zimamoto kwa Kazi nzuri waliyofanya Chalamila amesema kuna wanaodai Zimamoto walichelewa na amewaambia Watu hao kuuzima...
0 Reactions
1 Replies
628 Views
KIJIJI CHA KWIKEREGE CHAAMUA KUJENGA ZAHANATI YAKE Kijiji cha Kwikerege ni moja ya vijiji vitatu (3) vya Kata ya Musanja. Kijiji hiki hakina zahanati, kwa hiyo wakazi wake wanapohitaji Huduma za...
0 Reactions
0 Replies
649 Views
Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika amemtakia Matashi Mema Mwadhama Protace Kardinali Rugambwa baada ya Consistory jana iliyofanywa na Pontifex Mwenyezi Mungu aendelee kumwangazia Mwanga wa...
3 Reactions
3 Replies
841 Views
Twaha Kiduku is the most decorated fighter for now here in Tanzania kupoteza pambano kwa Msouth African kijana mdogo Asemahle Wellem"predator"kunatupatia picha ya kwamba boxing ya Tanzania bado ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Toka aingie madarakani ameidhinisha pesa nyingi mno katika miradi na masuala mbalimbali ya kijamii.. Utasikia Serikali ya mama imetoa bilioni kadhaa kwa ajili ya mradi fulani, mara kwa ajili ya...
12 Reactions
48 Replies
4K Views
Mwabukusi amesema mwizi ni mwizi hakuna lugha ya kiungana ya kumuita mwizi, akisema kama mtu anataka heshima ya kinafiki atoke kwenye ofisi za umma akakae nyumbani kwake ambako atasifiwa wakati...
5 Reactions
7 Replies
1K Views
Hii ni kauli ya mh Rungwe, ngoja njaa iwatafune watanzania, wala wasimlilie mtu, wajililie wao na watoto wao, wamekuwa wakidanganywa miaka nenda rudi, hawajielewi, wakishakosea, wanakimbilia...
23 Reactions
123 Replies
18K Views
Kila awamu ilijitahidi kukabiana na Tatizo la Upungufu wa Umeme lakini bado hatujapata suluhisho Mungu wa mbinguni mbariki Dr Biteko Naibu Waziri mkuu na Waziri wa Nishati aweze kutuvusha...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Ni mtu mjinga tu atakayeendelea kuamini Wanasiasa wa Tanzania watatuletea Katiba Mpya Katiba Mpya ya Wanasiasa ni tofauti kabisa na Katiba ya Wananchi Bado nawatafakari Shehe Ponda, Dr Slaa na...
1 Reactions
2 Replies
368 Views
Chadema ndio chama kikuu cha upinzani,but they are abdicating their responsibility. Ni kazi yao kuwakaribisha watu wote wanaoipinga serikali. Sasa inawakuwaje Sauti ya Watanganyika inawataka...
1 Reactions
5 Replies
786 Views
Back
Top Bottom