Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua hiki kizazi cha hawa Baby Boomers (watu waliozaliwa mwishoni mwa miaka ya 1940 na mwanzoni mwa miaka ya 1960 i.e 1946-1964), ni kizazi cha watu...
3 Reactions
2 Replies
561 Views
Asalaam Aleykum. Inasikitisha sana kuzaliwa kwenye nchi ambayo watu wake wamejaa ubinafsi na kila mtu yuko tu kuangalia maslahi yake na ya familia yake! Yaani nyinyi ma "Baby Boomers" ndo wa...
2 Reactions
2 Replies
463 Views
wasalaam, inashangaza mpaka sasa serikali ccm na tume ya uchaguzi ya ccm hawana mpango wa kuandikisha wapiga kura wapya ktk daftari la kudumu la mpiga kura. ukiangalia kule upande wa pili visiwani...
2 Reactions
2 Replies
933 Views
Maamuzi ya Mahakama , kwa kifupi yanakubali hawa walifukuzwa na CHADEMA , kwamba sasa si wabunge ila wasikilizwe rufaa ya kupingwa kufukuzwa. Maskini wa Tanganyika aliyebebeshwa mzigo wa Tozo za...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Momba lililopo mkoani Songwe, Condester Michael Sichalwe amesema muunganiko wa mabunge ya Afrika Mashariki ni jambo linalolochochea shughuli za kiuchumi, kijamii, kisiasa pamoja...
1 Reactions
1 Replies
358 Views
Baada ya ziara ndefu ya kanda ya Ziwa CCM imejiridhisha bado inakubalika sana hivyo inawaandalia Wanachama wake na Wananchi wote kwa Ujumla program ya Ushindi wa sunami Kule ziwani ndio Kwenye...
1 Reactions
4 Replies
524 Views
KINANA:VIONGOZI SERIKALINI FUATENI NYAYO ZA RAIS SAMIA KUESHIMU SHERIA, KANUNI MNAPOCHUKUA HATUA DHIDI YA WATENDAJI Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania...
2 Reactions
52 Replies
3K Views
Jana kumefanyika mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Katika mojawapo ya Wizara iliyoguswa ni Ardhi ambayo Jerry Silaa ameteuliwa. Nipende kusema kwa ushahidi pale tumepigwa. Namfahamu vizuri...
21 Reactions
75 Replies
9K Views
1 kwanza kabisa nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano Wa Tanzania.Nipo na Christopher Kweka tunawasalimu. 2 Imekuwa ni siku Nyingi sana Tangu kuonana na nyinyi ukoo wangu nikaona si vyema...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Lisu ana matatizo sana jamani, msikie anavyopingwa na wakenya kwa ushahidi. Anaitangazia ubaya Tanzania huko nje ya mipaka, ni hatari sana huyu mtu. Hataki wawekezaji waje hata kidogo. ni...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
TUMOKINOI MOLLEL SAMAITO (Francis Samaiko - PICHANI) aliwekwa mahabusu kwa kosa la uvunjifu wa amani kwa mujibu wa sheria mnamo tarehe 30/11/2023. madini ya rubi Hakuna mgogoro wowote kati ya...
0 Reactions
1 Replies
954 Views
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesema yeye kama mume wa Mama Salma Kikwete mbunge wa sasa wa Jamhuri, ni zamu yake sasa kumuunga mkono mkewe katika ubunge huo. Mama Salma ambaye alikuwa mstari wa...
20 Reactions
119 Replies
18K Views
Kwa wataalamu wa diplomasia na kwa kuzingatia mada yangu ya pasipoti za Tanzania kushikiliwa na waajiri. Watu wengi wanaona siyo jukumu la Afisa Ubalozi kumlinda kwa hali zote raia wa Tanzania...
0 Reactions
3 Replies
445 Views
Waziri wa TAMISEMI bwana Mohammed Mchengerwa yeye kutwa kucha Kuzunguka Mikoani eti anakabidhi magari na Pikipiki alivyonunua Rais,Je hii ndio kazi ya Waziri? Just imagine Tamisemi ilivyojaa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hongera Serikali Kwa kupunguza mzigo wa misumari Kwa walipakodi. Hata hivyo Bado Kuna Utitiri wa mashirika, taasisi na wakala ambazo hazina maana zaidi ya kuleta usumbufu. Mfano sijasikia...
4 Reactions
25 Replies
6K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Tanzania Bw. Shigeki Komatsubara...
0 Reactions
0 Replies
271 Views
Wayahudi walimpeleka Yesu mbele ya Pontio Pilato shtaka kuu likiwa "alijifanya ni Mfalme wa Wayahudi". Pontio Pilato alitumia mbinu nyingi kutaka kumnusuru Yesu lakini ilishindikana baada ya...
1 Reactions
4 Replies
876 Views
Tunaandika haya kwa uchungu, na masononeko baada ya kufanyiwa ukatili wa kutudhulumu stahiki zetu za posho kwa maafisa tarafa na watendaji wa kata. Mh. Waziri Manispaa ya Lindi inaundwa na...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Mie kila pakikucha huwa ninakumbuka ile aliyosema ananunua treni. Bahati mbaya siku hiyo nikiwa ninasubiria kwenye foleni pale alipokuwa akihubiria nikasikia ahadi hiyo. Seriously ilinibidi nipaki...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaweka miundombinu bora kwa michezo yote Zanzibar. Rais Dk. Mwinyi amesema hayo katika hafla...
0 Reactions
2 Replies
482 Views
Back
Top Bottom