UWT TAIFA WAFANYA MKUTANO WA MAJUMUISHO YA ZIARA MKOA WA GEITA
CHATANDA : VIONGOZI WA UWT MIKOANI TOKENI MKAFANYE ZIARA KWENYE MAENEO YENU, MKASIKILIZE NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI
Mwenyekiti wa...
Magari ya zimamoto kwa maisha ya mtanzania ni muhimu kuliko dege ambalo raia wa kawaida hawawezi kumudu hata tikiti ya laki tatu na ushee.
Hii midege ina return gani ya kiuchumi kwq wananchi wa...
Jemedali Mwabukusi amevunja ukimya. Yapo mengi yenye kutukwaza kwenye nchi na vyama hivi tulivyomo.
Kulikoni katiba mpya kutokuwa kipaumbele?
Kulikoni vyama kupewa ruzuku?
Kulikoni malipo ya...
Wengi wamempinga Wakili msomi Mwabukusi kwa kauli yake ya Ukweli kabisa kwamba vyama vya Upinzani haviwezi kuleta Katiba mpya.
Mfano Mzuri ni Kinara wa Katiba Mpya upande wa CHADEMA Tundu Lissu...
Huwezi kuzuia mafuriko kwa mkono. CCM imefunga watu wengi kisa kukoslewa.
Anza na yule dawa wa chato, Ney wa mtegp, Sifa na sasa huyu hapa mwamba...
Je naye watamfunga?. Mabadiliko yanakuja COM...
Ikiwa leo ni siku ya Wazee ya Kidunia ,, Kitaifa jambo hilo linawakilishwa na Wazee wa Chadema (BAZECHA) , hii ni baada ya Wazee wa vyama vingine kugeuka Chawa wa Watawala , na linafanyika...
Nawapa pole nyingi sana kwa Watanzania wote walioathirika na moto mkubwa uliozuka Kariakoo alfajiri tarehe ya leo.
Bado Tanzania ina tatizo kubwa kwenye sekta ya uokozi wa majanga. Ketengo hiki...
Mkuu wa mkoa wa DSM mh Chalamila amefika Kariakoo na kulipongeza Jeshi la Zimamoto kwa Kazi nzuri waliyofanya
Chalamila amesema kuna wanaodai Zimamoto walichelewa na amewaambia Watu hao kuuzima...
KIJIJI CHA KWIKEREGE CHAAMUA KUJENGA ZAHANATI YAKE
Kijiji cha Kwikerege ni moja ya vijiji vitatu (3) vya Kata ya Musanja.
Kijiji hiki hakina zahanati, kwa hiyo wakazi wake wanapohitaji Huduma za...
Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika amemtakia Matashi Mema Mwadhama Protace Kardinali Rugambwa baada ya Consistory jana iliyofanywa na Pontifex
Mwenyezi Mungu aendelee kumwangazia Mwanga wa...
Twaha Kiduku is the most decorated fighter for now here in Tanzania kupoteza pambano kwa Msouth African kijana mdogo Asemahle Wellem"predator"kunatupatia picha ya kwamba boxing ya Tanzania bado ni...
Toka aingie madarakani ameidhinisha pesa nyingi mno katika miradi na masuala mbalimbali ya kijamii..
Utasikia Serikali ya mama imetoa bilioni kadhaa kwa ajili ya mradi fulani, mara kwa ajili ya...
Mwabukusi amesema mwizi ni mwizi hakuna lugha ya kiungana ya kumuita mwizi, akisema kama mtu anataka heshima ya kinafiki atoke kwenye ofisi za umma akakae nyumbani kwake ambako atasifiwa wakati...
Hii ni kauli ya mh Rungwe, ngoja njaa iwatafune watanzania, wala wasimlilie mtu, wajililie wao na watoto wao, wamekuwa wakidanganywa miaka nenda rudi, hawajielewi, wakishakosea, wanakimbilia...
Kila awamu ilijitahidi kukabiana na Tatizo la Upungufu wa Umeme lakini bado hatujapata suluhisho
Mungu wa mbinguni mbariki Dr Biteko Naibu Waziri mkuu na Waziri wa Nishati aweze kutuvusha...
Ni mtu mjinga tu atakayeendelea kuamini Wanasiasa wa Tanzania watatuletea Katiba Mpya
Katiba Mpya ya Wanasiasa ni tofauti kabisa na Katiba ya Wananchi
Bado nawatafakari Shehe Ponda, Dr Slaa na...
Chadema ndio chama kikuu cha upinzani,but they are abdicating their responsibility. Ni kazi yao kuwakaribisha watu wote wanaoipinga serikali. Sasa inawakuwaje Sauti ya Watanganyika inawataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.