Katika utafiti wangu usio rasmi, nimegundua hiki kizazi cha hawa Baby Boomers (watu waliozaliwa mwishoni mwa miaka ya 1940 na mwanzoni mwa miaka ya 1960 i.e 1946-1964), ni kizazi cha watu...
Asalaam Aleykum.
Inasikitisha sana kuzaliwa kwenye nchi ambayo watu wake wamejaa ubinafsi na kila mtu yuko tu kuangalia maslahi yake na ya familia yake!
Yaani nyinyi ma "Baby Boomers" ndo wa...
wasalaam, inashangaza mpaka sasa serikali ccm na tume ya uchaguzi ya ccm hawana mpango wa kuandikisha wapiga kura wapya ktk daftari la kudumu la mpiga kura. ukiangalia kule upande wa pili visiwani...
Maamuzi ya Mahakama , kwa kifupi yanakubali hawa walifukuzwa na CHADEMA , kwamba sasa si wabunge ila wasikilizwe rufaa ya kupingwa kufukuzwa.
Maskini wa Tanganyika aliyebebeshwa mzigo wa Tozo za...
Mbunge wa Jimbo la Momba lililopo mkoani Songwe, Condester Michael Sichalwe amesema muunganiko wa mabunge ya Afrika Mashariki ni jambo linalolochochea shughuli za kiuchumi, kijamii, kisiasa pamoja...
Baada ya ziara ndefu ya kanda ya Ziwa CCM imejiridhisha bado inakubalika sana hivyo inawaandalia Wanachama wake na Wananchi wote kwa Ujumla program ya Ushindi wa sunami
Kule ziwani ndio Kwenye...
KINANA:VIONGOZI SERIKALINI FUATENI NYAYO ZA RAIS SAMIA KUESHIMU SHERIA, KANUNI MNAPOCHUKUA HATUA DHIDI YA WATENDAJI
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania...
Jana kumefanyika mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Katika mojawapo ya Wizara iliyoguswa ni Ardhi ambayo Jerry Silaa ameteuliwa.
Nipende kusema kwa ushahidi pale tumepigwa. Namfahamu vizuri...
1 kwanza kabisa nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano Wa Tanzania.Nipo na Christopher Kweka tunawasalimu.
2 Imekuwa ni siku Nyingi sana Tangu kuonana na nyinyi ukoo wangu nikaona si vyema...
Lisu ana matatizo sana jamani, msikie anavyopingwa na wakenya kwa ushahidi. Anaitangazia ubaya Tanzania huko nje ya mipaka, ni hatari sana huyu mtu. Hataki wawekezaji waje hata kidogo. ni...
TUMOKINOI MOLLEL SAMAITO (Francis Samaiko - PICHANI) aliwekwa mahabusu kwa kosa la uvunjifu wa amani kwa mujibu wa sheria mnamo tarehe 30/11/2023.
madini ya rubi
Hakuna mgogoro wowote kati ya...
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesema yeye kama mume wa Mama Salma Kikwete mbunge wa sasa wa Jamhuri, ni zamu yake sasa kumuunga mkono mkewe katika ubunge huo.
Mama Salma ambaye alikuwa mstari wa...
Kwa wataalamu wa diplomasia na kwa kuzingatia mada yangu ya pasipoti za Tanzania kushikiliwa na waajiri. Watu wengi wanaona siyo jukumu la Afisa Ubalozi kumlinda kwa hali zote raia wa Tanzania...
Waziri wa TAMISEMI bwana Mohammed Mchengerwa yeye kutwa kucha Kuzunguka Mikoani eti anakabidhi magari na Pikipiki alivyonunua Rais,Je hii ndio kazi ya Waziri?
Just imagine Tamisemi ilivyojaa...
Hongera Serikali Kwa kupunguza mzigo wa misumari Kwa walipakodi.
Hata hivyo Bado Kuna Utitiri wa mashirika, taasisi na wakala ambazo hazina maana zaidi ya kuleta usumbufu.
Mfano sijasikia...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Tanzania Bw. Shigeki Komatsubara...
Wayahudi walimpeleka Yesu mbele ya Pontio Pilato shtaka kuu likiwa "alijifanya ni Mfalme wa Wayahudi".
Pontio Pilato alitumia mbinu nyingi kutaka kumnusuru Yesu lakini ilishindikana baada ya...
Tunaandika haya kwa uchungu, na masononeko baada ya kufanyiwa ukatili wa kutudhulumu stahiki zetu za posho kwa maafisa tarafa na watendaji wa kata.
Mh. Waziri Manispaa ya Lindi inaundwa na...
Mie kila pakikucha huwa ninakumbuka ile aliyosema ananunua treni. Bahati mbaya siku hiyo nikiwa ninasubiria kwenye foleni pale alipokuwa akihubiria nikasikia ahadi hiyo. Seriously ilinibidi nipaki...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaweka miundombinu bora kwa michezo yote Zanzibar.
Rais Dk. Mwinyi amesema hayo katika hafla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.