Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 950
- 2,866
Mama kaenda Marekani kaja na wali wenye virutubisho, Tanzania yenye ardhi yenye rutuba asilimia 80 mvua inayonyesha na maji yanayotiririka masaa 24, Tanzania yenye amani isiyo na vita, Tanzania ilitolelewa kijamaa iliyolima mashamba ya Ujamaa kuvuna mavuno ya kutosheleza, leo tumefanywa kama Sudani na Somalia yenye vita kila siku,tumeletewa mahindi na maharage ya msaada tunaambiwa yameongezwa virutubisho (GMO).
Zipi athari zake?
Je, ni kubadili DNA na mwanaume kuwa na tabia za kike yaani kutengeneza mashoga?
Nauliza nipeni jibu!?
Zipi athari zake?
Je, ni kubadili DNA na mwanaume kuwa na tabia za kike yaani kutengeneza mashoga?
Nauliza nipeni jibu!?