Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 949
- 2,865
Serikali yote ni ya CCM, walisema wapinzani wanawachelewesha lakini tunajionea wenyewe miaka mitatu ya Rais Samia vitu vyote vimepanda bei mara mbili toka utawala wa Hayati Rais Magufuli, petroli imepanda bei, sukari imepanda bei, unga umepanda bei, Mchele umepanda bei, maharage yamepanda bei, nyama imepanda bei n.k
Tatizo ni nini!?
Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa kama alivyotaka yaani bila wapinzani Maendeleo tungeyaona, ila amefariki na project yake hakuna wa kuiendeleza, aliyekuja Mama Samia yeye anaamini uwepo wa Wapinzani wampigie kelele ndio afanye lakini pia yeye ni Mama wakitaka kumpigia kelele anawapa tabasamu na asali wanakaa kimya, hili ndio tatizo letu, tumekwama.
Tatizo ni nini!?
Magufuli angekuwepo mambo yangekuwa kama alivyotaka yaani bila wapinzani Maendeleo tungeyaona, ila amefariki na project yake hakuna wa kuiendeleza, aliyekuja Mama Samia yeye anaamini uwepo wa Wapinzani wampigie kelele ndio afanye lakini pia yeye ni Mama wakitaka kumpigia kelele anawapa tabasamu na asali wanakaa kimya, hili ndio tatizo letu, tumekwama.