Marekani inalisha sehemu kubwa ya dunia, tusijione wanyonge peke yetu.

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,663
46,352
Marekani inatoa msaada wa chakula wa zaidi ya dola bilioni 1 kwa mwaka kwa nchi za Horn of Africa (Djibouti, Eritrea, Ethiopia na Somalia)

Sudan,
Marekani inatoa msaada wa chakula kwa watu milioni 10 wa Sudan na ndiye mtoaji misaada mkubwa zaidi wa taifa hilo kwa miaka 25.

Kenya
Mwaka jana Kenya imepewa msaada wa Chakula wa dola million 126

Marekani pia ndio mfadhili mkubwa wa Shirika la Chakula duniani(WFP), kwa mwaka serikali peke yake ya Marekani inaweka hadi dola bilioni 7 katika shirika hilo, hapo bado hatujazungumzia matajiri na Makampuni binafsi ya Marekani.

Hapa ni Africa tu bado hatujaongelea kwingine duniani. Msaada wa mchele kidogo tu usitufanye masikini jeuri wa kupiga kelele hivyo na kusababisha watoto kushinda njaa shuleni.
 
Marekani inatoa msaada wa chakula wa zaidi ya dola bilioni 1 kwa mwaka kwa nchi za Horn of Africa (Djibouti, Eritrea, Ethiopia na Somalia)

Sudan,
Marekani inatoa msaada wa chakula kwa watu milioni 10 wa Sudan na ndiye mtoaji misaada mkubwa zaidi wa taifa hilo kwa miaka 25.

Kenya
Mwaka jana Kenya imepewa msaada wa Chakula wa dola million 126

Marekani pia ndio mfadhili mkubwa wa Shirika la Chakula duniani(WFP), kwa mwaka serikali peke yake ya Marekani inaweka hadi dola bilioni 7 katika shirika hilo, hapo bado hatujazungumzia matajiri na Makampuni binafsi ya Marekani.

Hapa ni Africa tu bado hatujaongelea kwingine duniani. Msaada wa mchele kidogo tu usitufanye masikini jeuri wa kupiga kelele hivyo na kusababisha watoto kushinda njaa shuleni.
Wewe huna akili ndio maana umeweka picha ya Einstein iboost akili yako lakini bado.
Baba yako angetumia kondom
 
Marekani inatoa msaada wa chakula wa zaidi ya dola bilioni 1 kwa mwaka kwa nchi za Horn of Africa (Djibouti, Eritrea, Ethiopia na Somalia)

Sudan,
Marekani inatoa msaada wa chakula kwa watu milioni 10 wa Sudan na ndiye mtoaji misaada mkubwa zaidi wa taifa hilo kwa miaka 25.

Kenya
Mwaka jana Kenya imepewa msaada wa Chakula wa dola million 126

Marekani pia ndio mfadhili mkubwa wa Shirika la Chakula duniani(WFP), kwa mwaka serikali peke yake ya Marekani inaweka hadi dola bilioni 7 katika shirika hilo, hapo bado hatujazungumzia matajiri na Makampuni binafsi ya Marekani.

Hapa ni Africa tu bado hatujaongelea kwingine duniani. Msaada wa mchele kidogo tu usitufanye masikini jeuri wa kupiga kelele hivyo na kusababisha watoto kushinda njaa shuleni.
Kupewa ama kuomba msaada wakati wa shida siyo tatizo. Tatizo ni kupewa msaada wa chakula wakati chakula kimejaa nchini.
Waliotoa kibali na hiyo NGO wote watazamwe kwa jicho la 3
 
Back
Top Bottom