Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed O. Mchengerwa (Mb) amewaelekeza Wakurugenzi wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha wanalipa fedha za...
Ukiachana na ile mikataba iliosainiwa kule kwa wajomba ya kuuza bandari kwa upande wa Marekani wazungu walikabidhiwa Mapori ya akiba na Mbuga za wanyama.
Wakati wa uzinduzi wa royal tour Marekani...
Ndugu zangu Watanzania,
Katibu mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo Ametua kwa kishindo na Kuutetemesha mkoa wa katavi kwa maagizo yake mazito kwa Naibu waziri Mkuu na waziri wa Nishati Mh Dotto...
Taarifa ikufikie Popote ulipo Kwamba , Makamu Mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu , amefika nyumbani kwa Mzee James Lembeli , ambapo lengo la ziara hiyo ya ghafla bado halijajulikana
Na wala...
Kati ya Waziri Mkuu na Mkurugenzi wa Halmashauri nani mkubwa?
Kweli Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza anadiriki kusema kuwa hatambui maagizo ya Mhe. Waziri Mkuu kuwa yeye anatambua maagizo ya Mkuu wa...
Kiukweli hii nchi tumetoka mbali
Siyo kwamba hakuwa na gari hapana ilikuwepo Land rover 109 ya DC na nyumbani mzee Siyovelwa alikuwa na gari kadhaa
Alichodai ni kwamba Ukuu wa Wilaya ni shughuli...
Mwakani tutakuwa na chaguzi za mitaa na 2025 uchaguzi mkuu. Asilimia zaidi ya 80%ya viongozi wa kisiasa waliopo sasa madarakani walipita bila kupigiwa kura na wananchi. Lakini pia regime...
Zaman tuliaminishwa kwamba Prof ni mtu msomi na mwenye uwezo mkubwa wa kutambua mema na mabaya.
Leo hii profesa akiwa ndani ya taasisi ya dini ambapo tunaamini analelewa kiroho anapotuhumiwa...
Salaam wana jukwaa, nimekutana na interview ya Wakili Mwabukusi na Maria Sarungi probably kutoka Maria spaces/clubhouse. Cha kushangaza Wakili msomi alikua busy kushambulia wapinzani kuwa ni...
Upo Msemo wa kiswahili unasema hivi, Nanukuu " kizuri kula na nduguzo" mwisho wa kunukuu.
Ukisikiliza Hotuba ya Freeman Mbowe , aliyoitoa kwenye ile siku ya Wazee ya kidunia iliyofanyika...
Ndivyo alivyosema RC Chalamila. Alikuwa amewapeleka watendaji wake soko la Ndizi la Mabibo halafu wakafukuzwa. Kwa hiyo RC akasema mkome kuwatimua watendaji wangu.
Sasa yale maneno yameibua...
Nimekuwa nikifuatilia hotuba, maamuzi, ushauri, ufuatiliaji wa shughuli za Serikali na kufanya kazi kama timu moja napendekeza Mhe. Waziri Mkuu apeperushe bendera ya CCM mwaka 2025 kwa nafasi ya...
Je, sheria ya ardhi kuna Sehemu inamtaka mkuu wa Mkoa au Wilaya na kamati zao za ulinzi na usalama wana mamlaka yakumilikisha watu ardhi?
Je, kuna mjumbe wa kamati hizi ambaye ni mtaalam wa...
Mbunge wa Viti Maalum (Anayewakilisha Wafanyakazi Nchini) kutoka Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Janejelly James Ntate leo tarehe 04 Oktoba, 2023 ameshiriki katika Mapokezi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa...
MKUU wa Wilaya ya Chato, Deusdedith Katwale amesema wanatarajia kufanya tamasha la utalii kwa lengo la kutangaza vivutio na fursa mbalimbali za utalii zilizoko katika ukanda huo.
Akizungumza na...
Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru amekataa kuongea na mwandishi wa ITV ndugu Msilo kwa madai kuwa Leo Serikali haifanyi kazi kwa sababu ni Sikukuu
Msilo alikuwa ametoka kusikiliza...
https://www.youtube.com/watch?v=UkcBZGyKIrw&t=69s
Tamko la baraza la maaskofu wa Kanisa Katoliki kupinga uwekezaji wa bandari na kusoma kwake katika makanisa yote ya kanisa katoliki
Katiba yetu...
In chess, you never expose your King to an attack. Matter of fact, the King is never used in the battle until the very last stages of the game when almost all the pieces are eliminated.
Moral of...
https://youtu.be/R1zyTINo6kQ
Rafiki yetu Lord Denning ameuliza maswali kadhaa kuhusu tamko la TEC kwenye uzi unaopatikana HAPA. Nasi kwa hapa chini tumeamua kumjibu point counter point.
1. Lord...
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema kitendo cha maofisa wa Mamlaka ya Mapato (TRA), kuwafungia maduka wafanyabishara wadogo ni changamoto inayochochea kuwepo kwa uingizwaji holela wa bidhaa...