Mkurugenzi wa Jiji Dodoma Joseph Mafuru amekataa kuzungumzia Ubomoaji akidai Leo ni Sikukuu Serikali haiko Kazini!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,137
Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru amekataa kuongea na mwandishi wa ITV ndugu Msilo kwa madai kuwa Leo Serikali haifanyi kazi kwa sababu ni Sikukuu

Msilo alikuwa ametoka kusikiliza malalamiko ya Wananchi ambao nyumba zao zimebomolewa isivyo halali ndipo akampigia Mkurugenzi kumueleza mateso na malalamiko ya Wananchi hao

Alipopokea simu na mwandishi kujitambulisha ndipo akamwambia Serikali haipo Kazini hadi Jumanne

Source ITV habari
 
Daah hii nchi kuna mambo yanaumiza sana. Akiendelea kubaki kwenye kiti hicho basi ni matusi na fedheha kwa watanzania.
 
We naye Zee zima ila unaleta habari kimbea mbea kama kidada
 
Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru amekataa kuongea na mwandishi wa ITV ndugu Msilo kwa madai kuwa Leo Serikali haifanyi kazi kwa sababu ni Sikukuu

Msilo alikuwa ametoka kusikiliza malalamiko ya Wananchi ambao nyumba zao zimebomolewa isivyo halali ndipo akampigia Mkurugenzi kumueleza mateso na malalamiko ya Wananchi hao

Alipopokea simu na mwandishi kujitambulisha ndipo akamwambia Serikali haipo Kazini hadi Jumanne

Source ITV habari
Kipindi cha JPM..hakuna Mkurugenzi ambae angethubutu kujibu kidwanzi namna hii..duh
Ila kila chenye mwanzo kina mwisho.
Pumzika kwa amani JPM
 
Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru amekataa kuongea na mwandishi wa ITV ndugu Msilo kwa madai kuwa Leo Serikali haifanyi kazi kwa sababu ni Sikukuu

Msilo alikuwa ametoka kusikiliza malalamiko ya Wananchi ambao nyumba zao zimebomolewa isivyo halali ndipo akampigia Mkurugenzi kumueleza mateso na malalamiko ya Wananchi hao

Alipopokea simu na mwandishi kujitambulisha ndipo akamwambia Serikali haipo Kazini hadi Jumanne

Source ITV habari
Safi sana, mkurugenzi nae ni binadamu anastahili kupumzika.
 
Hivi unataka kusema kuna mjinga aliamka kwenda..KUBOMOA NYUMBA ambazo:
1. Zimejengwa eneo sahihi?
2. Hawajapewa notice?

Tuache kulalamika ujinga hata Zitto au Mbowe watabomoa tu ikiwa wako madarakani
Yaani wewe Unategemea wanasiasa Tanzania haitapita vyama vinapita watu wawe wazalendo Kwa nchi sio vyama
 
Kipindi cha JPM..hakuna Mkurugenzi ambae angethubutu kujibu kidwanzi namna hii..duh
Ila kila chenye mwanzo kina mwisho.
Pumzika kwa amani JPM
Acheni kufuru nyie Kima umesahau yule mkurugenzi aliyemjibu mwandishi yeye siye hadhi yake?
 
Yaani wewe Unategemea wanasiasa Tanzania haitapita vyama vinapita watu wawe wazalendo Kwa nchi sio vyama
Sikiliza man, hakuna kiongozi juha ataenda kubomoa nyumba za wananchi bila kuwa zimejengwa sehemu ya hifadhi, au walilipwa wakagoma kuhama au vinginevyo
 
Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru amekataa kuongea na mwandishi wa ITV ndugu Msilo kwa madai kuwa Leo Serikali haifanyi kazi kwa sababu ni Sikukuu

Msilo alikuwa ametoka kusikiliza malalamiko ya Wananchi ambao nyumba zao zimebomolewa isivyo halali ndipo akampigia Mkurugenzi kumueleza mateso na malalamiko ya Wananchi hao

Alipopokea simu na mwandishi kujitambulisha ndipo akamwambia Serikali haipo Kazini hadi Jumanne

Source ITV habari
Ni kweli aamekataa hata mimi japo sihusiki na hiyo issue lakini nimejisikia vibaya,watu wamebomolewa mijengo yao wanalalamika jamaa linasema subilia siku ya kazi mama kazi anayo aisee...
 
Kwahiyo wewe hili la serikali kuwa likizo huku wananchi wakiteseka unaliona ni swala dogo
Ukiona nyumba inavyunjwa jua hajaonewa, hata sisi kuna mpumbavu atalia kama hao na mtaiona youtube, hukumu itatoka jioni atajua atapolala
 
CCM hawajali wananchi wake !!umesahau ndege ilivutwa na kamba ya katani
Sio kila jambo ni kusingizia CCM hata chadema mkipewa nchi hamuwezi kusolve kila kitu, kuna mambo ni uovu wa mtu binafsi na si chama, kuna mambo ni uzembe wa watumishi wa serikali ambao hata hawahusiki na hizo siasa zenu za kijinga , tujitahidi muda mwingine kuacha chuki za kitoto
 
Hivi unataka kusema kuna mjinga aliamka kwenda..KUBOMOA NYUMBA ambazo:
1. Zimejengwa eneo sahihi?
2. Hawajapewa notice?

Tuache kulalamika ujinga hata Zitto au Mbowe watabomoa tu ikiwa wako madarakani
Haya majamaa huwa hayaeleweki yamelishwa sumu gan, kila jambo yenyewe ni kusingizia ccm, hawa watu ni hovyo sana
 
Hivi unataka kusema kuna mjinga aliamka kwenda..KUBOMOA NYUMBA ambazo:
1. Zimejengwa eneo sahihi?
2. Hawajapewa notice?

Tuache kulalamika ujinga hata Zitto au Mbowe watabomoa tu ikiwa wako madarakani
Hakuna mtu anaweza amka na kwenda kuvunja nyumba ya mtu, unakuta mahakama ishaamua kesi, afu wanashindwa elewana mtu anaamua kutekeleza
 
Binadamu hawatabiriki mkuu, sasa soma habari ya PM leo kuhusu huyu Mkurugenzi amesimamishwa pamoja na wenzake kama 6 na wana tuhuma za kujibu

 
Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru amekataa kuongea na mwandishi wa ITV ndugu Msilo kwa madai kuwa Leo Serikali haifanyi kazi kwa sababu ni Sikukuu

Msilo alikuwa ametoka kusikiliza malalamiko ya Wananchi ambao nyumba zao zimebomolewa isivyo halali ndipo akampigia Mkurugenzi kumueleza mateso na malalamiko ya Wananchi hao

Alipopokea simu na mwandishi kujitambulisha ndipo akamwambia Serikali haipo Kazini hadi Jumanne

Source ITV habari
Huyo si kishapigwa chini na majaliwa?
 
Back
Top Bottom