Sauti ya Mtu aliae nyikani imenijia na kunijulisha kuwa 2025 ni samu ya YEYE
Sauti hii inataka kufanana na voice from within ya
Pascal Mayalla alisema mapema kuwa 2025 ni zamu ya YEYE, mtu...
Hili ni pigo kwa January na Genge lake, juhudi za kufifisha mradi wa Bwawa la Nyerere zilifeli
Hii ndo faida ya makamba kuondolewa Tanesco bila hivyo hilo bwawa lisingekamilika,katoka tu bwawa...
Hatua hiyo imefanywa na Kitengo Maalum cha Kimataifa cha Udhibiti wa Fedha Haramu (FATF) kwa kuziweka Nchi 4 za Afrika Mashariki (Tanzania, Uganda, Sudan Kusini na DR-Congo) ambazo zimeahidi...
Hakika wakati umefika wa kuambiana ukweli Hayati BABA wa TAIFA Mwl. Nyerere ameifanyia Makubwa Nchi hii kiasi cha LEGACY yake kuendelea kusimama kileleni.
Mwl. Nyerere ameipigania Nchi hii mpaka...
Heading ya Uzi huu ni majibu ya Waziri Nape akimjibu mjumbe wa kamati kuu ya Chadema Bilionea Sugu aliyemlaumu kwa kutosikiliza ushauri wake
Nape amesema Siasa ni Mchezo wa Akili kubwa na tayari...
Wazee wa Mila Wilayani Butiama Mkoani Mara wameiomba Serikali iweze kuwachukulia hatua Wanasiasa ambao wamekuwa wakileta ukabila, ukanda na udini kwenye mambo ya maendeleo hali inayoweza kuleta...
Baada ya CCM kuendelea kushikilia msimamo wao wa kuteua wasimamizi wa uchaguzi nchini; Chadema kipo mbioni kujitoa kwenye uchaguzi hadi pale tutakapokubali kuwa na tume huru.
Kwa muundo wa vyama...
Najiuliza tuu, huu ni utaratibu!? Je na vyama vingine vina ruksa ya kufanya haya?
Hamuoni mtalela siasa kwenye utendaji? Mimi na chama changu Cha PPT maendeleo tutaruhusiwa?
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Alikuwa akizungumza kwenye mahafari ya Chuo Kikuu SAUT.
Hongera sana Dr.Biteko Kwa Kauli hii ya kishujaa na ya kuwafunda wahitimu.
---...
Rais Samia wanasiasa wabaya wamekuwekea mtego mwingine hatari sana, wameleta kampuni toka Kenya yenye masilahi na wao inayomilikiwa na Mkenya Andrew Chege kwa kushirikiana na baadhi ya wanasiasa...
Lakini pamoja na majibu haya, Biteko atoke.
Biteko hafai.
Biteko ni tatizo.
===
FACTS: Rais Samia amezungumza suala la kuwa ukilaumiwa jua unafanya vizuri Desemba 16, 2023, hata hivyo kauli hiyo...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na Mkutano wa Kwanza wa Kitaifa wa Dira ya Taifa ya...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema utamaduni wa kuiombea nchi na Viongozi ni wa kuendelezwa na kudumishwa hakuna jambo jema zaidi ya kumuomba...
Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na...
Ukitafakari kwa umakini unashindwa kwa kabisa kuelewa Serikali yetu wakati wote imekuwa inaundwa na watu wa namna gani. Maana karibia kila kitu inachofanya, huwa hakina matokeo ya mafanikio...
Nipo Pemba for the 1st time, nimezunguka hiki kisiwa chote. Naomba nikiri kwamba hali ya kiuchumi huku ni mbaya kuliko unavyoweza kudhania. Hakuna usafiri wakueleweka kama Unguja,. Lakini pia...
Toka Rais Samia ameshika usukani Mwaka 2021, mara nyingi sana kwenye hotuba zake amekuwa akitamka neno Haki. Ni nadra sana akamliza hotuba bila kugusia mambo ya kutenda Haki.
Kwa Afrika hii ni...
Naamini sana maombi ya Mwamposa , lakini nakataa Mtume huyu kujaribiwa kama vile Yesu alivyojaribiwa na Shetani .
Makonda si msemaji wa Ikulu , hawezi kuleta uongo kwamba kabeba salamu za Rais...
Matatizo ndani TANESCO hayajabadilika tangu aondoke January Makamba!
Nadhani Kuna matatizo makubwa yako nje ya Uongozi wa TANESCO na Wizara husika!
Kikubwa tu hatusikii zile Slogan za "Kipara...
Tanzania inatafakari Mpango B kwa ajili ya mradi wake wa SGR huku kampuni ya Uturuki ikiachwa. Mawaziri wa fedha kutoka Tanzania na Zanzibar wameanza kuchangisha fedha kwa ajili ya mradi wa reli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.