Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni ukweli usiopingika jina la MWANA FA ni kubwa sana kutokana na kupata mafanikio katika tasnia ya Muziki na kuwa miongoni mwa Magwiji wa Bongo Flavour. Pamoja na umaarufu wake lakini ni Kijana...
44 Reactions
59 Replies
6K Views
Hiki Chama kinajua kula na kipofu na sasa wanakata mbuga na wananchi walio wengi wameanza kukielewa kwa kasi. Ijulikane tu wametia mguu ndani ya serikali ya Zanzibar na sasa ni zaidi ya mwendo...
0 Reactions
5 Replies
849 Views
Mkuu mi Sina mashaka na utendaji wako kabla ya kuwa Waziri tangu ulipokuwa Ofisi ya mwana Sheria Mkuu wa serikali baadaye ukawa Waziri wa Utumishi kwakweli uliwafuta Watumishi machozi kwa wale...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
iyeteuliwa ni George Nathaniel Mandepo akichukua nafasi ya Griffin Venance Mwakapeje aliyeteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu Pia, Rais amemteua Dkt. Saudin Jacob Mwakaje kuwa Mwenyekiti wa Baraza...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Nimetafakari kuhusu mamlaka ya huyu msemaji wa serikali. Anapata wapi cha kusema? Anatafuta mwenyewe au Rais anasema sema hili na hili na hivi na hivi?
1 Reactions
10 Replies
950 Views
Tumeona teuzi za jana na leo zimefanyika kutokea Doha Qatar. Je ni jambo sahihi viongozi wa Afrika kwenda kufanyauteuzi nje ya mataifa yao ikiwa hali ya usalama na kisiasa ni tulivu? Historia...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
#Ntwara kuchweree, Haya ndio matokea ya ziara ya Mhe Rais Dkt SAMIA Suluhu Hassan huko Kusini na neno langu kwa wateule wote ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji. Taarifa toka kwa Msemaji...
24 Reactions
125 Replies
11K Views
Ndugu zangu Watanzania, Nilishasema humu Mara nyingi sana kuwa watanzania wanajielewa sana,wanajitambua na wanaithamini na kuiheshimu sana amani na utulivu tulio nao hapa nchini, kwa kuwa kila...
11 Reactions
183 Replies
10K Views
Kitongoji cha Gomora ni moja ya vitongoji vitatu (3) vya Kijiji cha Musanja, Kata ya Musanja Vitongoji hivi vitatu (3) vinayo Shule ya Msingi moja iliyojengwa Mwaka 1959 na Kanisa la Mennonite...
1 Reactions
6 Replies
637 Views
Ni mategemeo ya Wengi kuwa sasa UWT itakuwa ya kisasa zaidi kama walivyo BAWACHA Kiukweli hii UWT ya Chatanda haina tofauti na ile ya mama Sophia Kawawa rip yaani iko kizamani sana na ni Imani...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Wana jukwaa nawasalimu. Mimi nimoja kati ya wengi walio shtushwa na tukio la kuteuliwa kwa naibu waziri mkuu mheshimiwa Dr. Dotto Biteko, bila shaka panapofuka moshi hapakosi moto. Kuna jambo...
1 Reactions
5 Replies
879 Views
Sasa hivi ni very late kuzungumza kuhusu maswala haya. Ukiandika saa hizi zinatokea spelling errors nyingi. We will discuss it the morning. Lakini wale wanasema watafanya mkutano bila ruhusa ya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Viongozi wa Dart wanadai kuondolewa kwa mfumo wa kadi za malipo vituo vya mwendokasi yalikuwa maazimio ya chama na serikali na kwamba mifumo hiyo iliondolewa kwa lengo la kuwanufaisha watu fulani...
2 Reactions
2 Replies
572 Views
CHADEMA wametoka kanda ya ziwa kukinukisha hadi CCM wakalazimika kuteua naibu waziri Mkuu. CHADEMA wamekwenda Zanzibar kwenye baraza la wazee mara paap ACT wamecharuka kwa hasira utadhani wao...
2 Reactions
1 Replies
485 Views
Kuna video inasambaa ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam akijinasibu kuwa na uwezo wa kujitwalia sheria mkononi na hakuna wa kumfanya lolote. Hii ni mara nyingine tena Chalamila akijinasibu...
10 Reactions
106 Replies
9K Views
"Vyama vyetu vya siasa nadhani aidha vimechoka sana vyote vinahitaji kupumzika au viongozi wake wamechoka sana wanahitaji kupumzika, na ndio maana wanapoteza ile hamu ya kulikomboa na kulisimamia...
61 Reactions
220 Replies
11K Views
CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI JIMBO LA LUPEMBE KWA UJUMLA (KERO) 1. ZAO LA CHAI KUKOSA SOKO LAUHAKIKA Wakulima wa chai Lupembe wamekosa soko la uhakika la kuuzia majani mabichi ya chai. Viwanda vya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mbowe amesema rais huyu mwenye asili ya Unguja anauza ardhi ya Tanganyika nyingi kuliko marais ambao asili yao ni Tanganyika. Sasa amekosea nini? Siyo hivyo tu, rais huyu ambaye hakuchaguliwa na...
2 Reactions
1 Replies
447 Views
Hakupendwa sana lakini hata maadui zake waliamini wakati wote Magufuli alisimamia alichokiamini hata kama hakikuwa Sahihi kwa mtazamo wa wengine Hata Wabunge wa Chadema hawakukosa kuhudhurua...
26 Reactions
113 Replies
6K Views
Back
Top Bottom