Rais Samia wanasiasa wabaya wamekuwekea mtego mwingine hatari sana, wameleta kampuni toka Kenya yenye masilahi na wao inayomilikiwa na Mkenya Andrew Chege kwa kushirikiana na baadhi ya wanasiasa...
Lakini pamoja na majibu haya, Biteko atoke.
Biteko hafai.
Biteko ni tatizo.
===
FACTS: Rais Samia amezungumza suala la kuwa ukilaumiwa jua unafanya vizuri Desemba 16, 2023, hata hivyo kauli hiyo...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na Mkutano wa Kwanza wa Kitaifa wa Dira ya Taifa ya...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema utamaduni wa kuiombea nchi na Viongozi ni wa kuendelezwa na kudumishwa hakuna jambo jema zaidi ya kumuomba...
Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na...
Ukitafakari kwa umakini unashindwa kwa kabisa kuelewa Serikali yetu wakati wote imekuwa inaundwa na watu wa namna gani. Maana karibia kila kitu inachofanya, huwa hakina matokeo ya mafanikio...
Nipo Pemba for the 1st time, nimezunguka hiki kisiwa chote. Naomba nikiri kwamba hali ya kiuchumi huku ni mbaya kuliko unavyoweza kudhania. Hakuna usafiri wakueleweka kama Unguja,. Lakini pia...
Toka Rais Samia ameshika usukani Mwaka 2021, mara nyingi sana kwenye hotuba zake amekuwa akitamka neno Haki. Ni nadra sana akamliza hotuba bila kugusia mambo ya kutenda Haki.
Kwa Afrika hii ni...
Naamini sana maombi ya Mwamposa , lakini nakataa Mtume huyu kujaribiwa kama vile Yesu alivyojaribiwa na Shetani .
Makonda si msemaji wa Ikulu , hawezi kuleta uongo kwamba kabeba salamu za Rais...
Matatizo ndani TANESCO hayajabadilika tangu aondoke January Makamba!
Nadhani Kuna matatizo makubwa yako nje ya Uongozi wa TANESCO na Wizara husika!
Kikubwa tu hatusikii zile Slogan za "Kipara...
Tanzania inatafakari Mpango B kwa ajili ya mradi wake wa SGR huku kampuni ya Uturuki ikiachwa. Mawaziri wa fedha kutoka Tanzania na Zanzibar wameanza kuchangisha fedha kwa ajili ya mradi wa reli...
Jokate ambaye hivi karibuni akiwa amekaribia kufika miaka 40 amebahatika kupata mtoto bila ndoa rasmi, akiwa na mtoto ambaye haonekani kuwa na baba , na ambaye alikuwa msanii wa Muziki na movie...
Mengi hapa yalidhaniwa taboo:
1. Wapalestina kuteka na kushikilia maeneo ndani ya Israeli.
2. Israel na Marekani kufanya mazungumzo na hata kukubaliana na HAMAS.
3. Israel kuwa tayari kufanya...
Jaji mkeha amesema Uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema kuwavua Uanachama Halima Mdee na wenzake ulikuwa sahihi
Maana yake Halima Mdee na wenzake kwa sasa Siyo wanachama wa Chadema
Hivyo Halima Mdee...
Ni rasmi sasa wenye nchi wamemtuliza na kumziba kinywa Mwenezi aliyekuja kasi kama moto wa kifuu baada ya kuteuliwa, na zaidi ya hapo mwenezi kapewa karipio na ONYO kali, na ndiyo sababu ya kimya...
Mdudu chawa hupatikana kwa watu wachafu, hakika kwa sasa hali sio shwari kwani chawa watu wamevamia kila sehemu. Chawa watu hawana umri ni yeyote tu anaweza kuwa chawa mtu ili mradi apate...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Bw. Sekiete Yahaya Selemani, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuanzia tarehe 16 Aprili, 2023...
Sekta binafsi ni muhimu sana kwa uchumi wa nchi. Pale st John university kikuyu wana eneo kubwa sana ambalo limekaa kikmkakati. Ukitoka kwenye jengo lao jipya la utawala, wana eneo kubwa ambalo...
15 December 2023
Mbeya, Tanzania
WIMBO MNATUONA MANYANI
Hii ni baada ya jamhuri kuamua kutoendelea na kesi hii iliyovuta umma mpana kuijadili huku ikiituhumu serikali kubana uhuru wa kujieleza...
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Ridhiwani Kikwete amesema serikali imeamua kujenga Mfumo wa Kitaifa wa Kielektroniki wa Ununuzi Tanzania (NeST)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.