MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,496
- 8,734
Ukiachana na ile mikataba iliosainiwa kule kwa wajomba ya kuuza bandari kwa upande wa Marekani wazungu walikabidhiwa Mapori ya akiba na Mbuga za wanyama.
Wakati wa uzinduzi wa royal tour Marekani kuna mikataba ya kufa mtu Mama aliingia na mingi ni ya kuwapa Wazungu Mapori ya akiba wafanye utalii wa Uwindaji na picha.
Ni swala la muda kabla hamjasikia Wamasai wa Longido,Simanjiro na baadhi ya sehemu za monduli wakihamishwa.
Kuna mtonyaji kanitonya kwamba mmoja ya wafadhili wa Royal Tour alipewa Pori lote la Wilaya ya Longido, na kuna alie pewa pori la Simanjiro na pia.
Ni swala la muda kabla hamjasikia wamasai wakihamishwa. Haya mambo yanafanywa siri sana ila itabainika tu.
Pia mmoja wa wafadhili wa Royal tour Mzungu mmiliki wa Singita Grumet kule Serengeti ameongezewa maeneo kinyemela na ameisha anza kuweka mipaka, huyu tiyari ana hekari laki 1 plu.
Wakati wa uzinduzi wa royal tour Marekani kuna mikataba ya kufa mtu Mama aliingia na mingi ni ya kuwapa Wazungu Mapori ya akiba wafanye utalii wa Uwindaji na picha.
Ni swala la muda kabla hamjasikia Wamasai wa Longido,Simanjiro na baadhi ya sehemu za monduli wakihamishwa.
Kuna mtonyaji kanitonya kwamba mmoja ya wafadhili wa Royal Tour alipewa Pori lote la Wilaya ya Longido, na kuna alie pewa pori la Simanjiro na pia.
Ni swala la muda kabla hamjasikia wamasai wakihamishwa. Haya mambo yanafanywa siri sana ila itabainika tu.
Pia mmoja wa wafadhili wa Royal tour Mzungu mmiliki wa Singita Grumet kule Serengeti ameongezewa maeneo kinyemela na ameisha anza kuweka mipaka, huyu tiyari ana hekari laki 1 plu.