Majibu kwa Lord Denning kuhusu tamko la TEC juu ya mkataba wa Uwekezaji kati ya Tanzania na Dubai

Mama Amon

JF-Expert Member
Mar 30, 2018
2,021
2,478

View: https://youtu.be/R1zyTINo6kQ

Rafiki yetu Lord Denning ameuliza maswali kadhaa kuhusu tamko la TEC kwenye uzi unaopatikana HAPA. Nasi kwa hapa chini tumeamua kumjibu point counter point.

1. Lord Denning ameuliza: Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo. Je, ni jambo lipi nchi hii limewahi kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono? Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi hicho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanataka Serikali ifute maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wote wakiwemo vichaa) ni sauti ya Mungu." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

2. Lord Denning ameuliza: Kwenye tamko lao TEC wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari. Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, hasa ibara ya 107A, inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama halafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

Jawabu: Walichosema TEC ni kwamba Bunge na Mahakama ni mihimili inayofanya kazi chini ya shinikizo la Ikulu. Rais amekuwa mfalme anayedhalilisha Bunge na Mahakama. Uhuni uliofanywa na Bunge wakati wa kuidhinisha mkataba wa bandari ni uthibitisho. Hukummu ya Kesi ya Mahakama Kuu Mbeya ni ushahidi tosha. "Ukipinga mkataba wa bandari unampinga Mama," ndio kaulibiu iliyo ushahidi tosha.

3. Lord Denning ameuliza: Wao TEC ya Wakristo wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari; kesho BAKWATA ya Waislamu wanaweza kutoa tamko; na Kesho kutwa Mabuda wanaweza kutoa tamko. Je, wanataka Serikali imsikilize nani katika suala la mkataba wa Bandari?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu wote)." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu ambao ni Wakristo)." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

4. Lord Denning ameuliza: Kwa hali hii tukiaamini kwamba ilikuwa sawa kwa mapadre wa kanisa katoliki waliohamasisha mauaji ya kimbari Rwanda kushitakiwa tutakuwa tuekosea?

Jawabu: Ni kichaa pekee anayeweza kuamini na kukubali hoja ya Lord Denning ifuatayo: Baadhi ya mapadre katoliki walihamasisha mauaji huko Rwanda. MMapadre Katoliki ni Wakristo. Kwa hiyo, Wakristo wote sio waadilifu.

Kwa ufupi, TEC wamekataa Watanzania kuendelea kusokomezwa chini ya utumwa wa wawekezaji wa kigeni, na hasa Waarabu wa Dubai ambao ni makuwadi wa ukoloni wa kilowezi!

Dawati la Mama Amon,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.

1692370841446.png
 

Attachments

  • TEC TAMKO PDF.pdf
    2.2 MB · Views: 3

View: https://youtu.be/R1zyTINo6kQ

Rafiki yetu Lord Denning ameuliza maswali kadhaa kuhusu tamko la TEC kwenye uzi unaopatikana HAPA. Nasi kwa hapa chini tumeamua kumjibu point counter point.

1. Lord Denning ameuliza: Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo. Je, ni jambo lipi nchi hii limewahi kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono? Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi hicho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanataka Serikali ifute maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wote wakiwemo vichaa) ni sauti ya Mungu." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

2. Lord Denning ameuliza: Kwenye tamko lao TEC wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari. Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, hasa ibara ya 107A, inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama halafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

Jawabu: Walichosema TEC ni kwamba Bunge na Mahakama ni mihimili inayofanya kazi chini ya shinikizo la Ikulu. Rais amekuwa mfalme anayedhalilisha Bunge na Mahakama. Uhuni uliofanywa na Bunge wakati wa kuidhinisha mkataba wa bandari ni uthibitisho. Hukummu ya Kesi ya Mahakama Kuu Mbeya ni ushahidi tosha. "Ukipinga mkataba wa bandari unampinga Mama," ndio kaulibiu iliyo ushahidi tosha.

3. Lord Denning ameuliza: Wao TEC ya Wakristo wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari; kesho BAKWATA ya Waislamu wanaweza kutoa tamko; na Kesho kutwa Mabuda wanaweza kutoa tamko. Je, wanataka Serikali imsikilize nani katika suala la mkataba wa Bandari?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu wote)." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu ambao ni Wakristo)." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

4. Lord Denning ameuliza: Kwa hali hii tukiaamini kwamba ilikuwa sawa kwa mapadre wa kanisa katoliki waliohamasisha mauaji ya kimbari Rwanda kushitakiwa tutakuwa tuekosea?

Jawabu: Ni kichaa pekee anayeweza kuamini na kukubali hoja ya Lord Denning ifuatayo: Baadhi ya mapadre katoliki walihamasisha mauaji huko Rwanda. MMapadre Katoliki ni Wakristo. Kwa hiyo, Wakristo wote sio waadilifu.

Kwa ufupi, TEC wamekataa Watanzania kuendelea kusokomezwa chini ya utumwa wa wawekezaji wa kigeni, na hasa Waarabu wa Dubai ambao ni makuwadi wa ukoloni wa kilowezi!

Dawati la Mama Amon,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.

View attachment 2720874

Naomba kuulizia hivi hili kanisa ndiyo lile linaopokea takribani 600B kwa mwaka toka serikalini na bado shule na hospital zao gharama zipo juu hawaoni Kama IGA yao ndiyo mbaya zaidi kuliko hata ya Dp World? Na Kama nia yao ni Njema kweli kwa Taifa kwanini kwanza wasikatae hii dhulma Kubwa kwa Nchi yetu?

Lengo hapa siyo kubishana Ila kuwekana sawa tu
 

View: https://youtu.be/R1zyTINo6kQ

Rafiki yetu Lord Denning ameuliza maswali kadhaa kuhusu tamko la TEC kwenye uzi unaopatikana HAPA. Nasi kwa hapa chini tumeamua kumjibu point counter point.

1. Lord Denning ameuliza: Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo. Je, ni jambo lipi nchi hii limewahi kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono? Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi hicho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanataka Serikali ifute maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wote wakiwemo vichaa) ni sauti ya Mungu." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

2. Lord Denning ameuliza: Kwenye tamko lao TEC wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari. Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, hasa ibara ya 107A, inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama halafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

Jawabu: Walichosema TEC ni kwamba Bunge na Mahakama ni mihimili inayofanya kazi chini ya shinikizo la Ikulu. Rais amekuwa mfalme anayedhalilisha Bunge na Mahakama. Uhuni uliofanywa na Bunge wakati wa kuidhinisha mkataba wa bandari ni uthibitisho. Hukummu ya Kesi ya Mahakama Kuu Mbeya ni ushahidi tosha. "Ukipinga mkataba wa bandari unampinga Mama," ndio kaulibiu iliyo ushahidi tosha.

3. Lord Denning ameuliza: Wao TEC ya Wakristo wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari; kesho BAKWATA ya Waislamu wanaweza kutoa tamko; na Kesho kutwa Mabuda wanaweza kutoa tamko. Je, wanataka Serikali imsikilize nani katika suala la mkataba wa Bandari?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu wote)." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu ambao ni Wakristo)." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

4. Lord Denning ameuliza: Kwa hali hii tukiaamini kwamba ilikuwa sawa kwa mapadre wa kanisa katoliki waliohamasisha mauaji ya kimbari Rwanda kushitakiwa tutakuwa tuekosea?

Jawabu: Ni kichaa pekee anayeweza kuamini na kukubali hoja ya Lord Denning ifuatayo: Baadhi ya mapadre katoliki walihamasisha mauaji huko Rwanda. MMapadre Katoliki ni Wakristo. Kwa hiyo, Wakristo wote sio waadilifu.

Kwa ufupi, TEC wamekataa Watanzania kuendelea kusokomezwa chini ya utumwa wa wawekezaji wa kigeni, na hasa Waarabu wa Dubai ambao ni makuwadi wa ukoloni wa kilowezi!

Dawati la Mama Amon,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.

View attachment 2720874

Mbona una haraka ya kupost taarifa, hebu rekebisha kichwa cha habari ya taarifa yako!!!!
 
Naomba kuulizia hivi hili kanisa ndiyo lile linaopokea takribani 600B kwa mwaka toka serikalini na bado shule na hospital zao gharama zipo juu hawaoni Kama IGA yao ndiyo mbaya zaidi kuliko hata ya Dp World? Na Kama nia yao ni Njema kweli kwa Taifa kwanini kwanza wasikatae hii dhulma Kubwa kwa Nchi yetu?

Lengo hapa siyo kubishana Ila kuwekana sawa tu
Hospitali za masista mikoani zinaheshimika sana kwahuduma za uhakika. Labda tuulize gharama za kwa masista na za hospital binafsi zingine zisizo za RC. Shule za RC na binafsi nyingine
 

View: https://youtu.be/R1zyTINo6kQ

Rafiki yetu Lord Denning ameuliza maswali kadhaa kuhusu tamko la TEC kwenye uzi unaopatikana HAPA. Nasi kwa hapa chini tumeamua kumjibu point counter point.

1. Lord Denning ameuliza: Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo. Je, ni jambo lipi nchi hii limewahi kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono? Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi hicho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanataka Serikali ifute maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wote wakiwemo vichaa) ni sauti ya Mungu." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

2. Lord Denning ameuliza: Kwenye tamko lao TEC wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari. Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, hasa ibara ya 107A, inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama halafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

Jawabu: Walichosema TEC ni kwamba Bunge na Mahakama ni mihimili inayofanya kazi chini ya shinikizo la Ikulu. Rais amekuwa mfalme anayedhalilisha Bunge na Mahakama. Uhuni uliofanywa na Bunge wakati wa kuidhinisha mkataba wa bandari ni uthibitisho. Hukummu ya Kesi ya Mahakama Kuu Mbeya ni ushahidi tosha. "Ukipinga mkataba wa bandari unampinga Mama," ndio kaulibiu iliyo ushahidi tosha.

3. Lord Denning ameuliza: Wao TEC ya Wakristo wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari; kesho BAKWATA ya Waislamu wanaweza kutoa tamko; na Kesho kutwa Mabuda wanaweza kutoa tamko. Je, wanataka Serikali imsikilize nani katika suala la mkataba wa Bandari?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu wote)." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu ambao ni Wakristo)." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

4. Lord Denning ameuliza: Kwa hali hii tukiaamini kwamba ilikuwa sawa kwa mapadre wa kanisa katoliki waliohamasisha mauaji ya kimbari Rwanda kushitakiwa tutakuwa tuekosea?

Jawabu: Ni kichaa pekee anayeweza kuamini na kukubali hoja ya Lord Denning ifuatayo: Baadhi ya mapadre katoliki walihamasisha mauaji huko Rwanda. MMapadre Katoliki ni Wakristo. Kwa hiyo, Wakristo wote sio waadilifu.

Kwa ufupi, TEC wamekataa Watanzania kuendelea kusokomezwa chini ya utumwa wa wawekezaji wa kigeni, na hasa Waarabu wa Dubai ambao ni makuwadi wa ukoloni wa kilowezi!

Dawati la Mama Amon,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.

View attachment 2720874

Hadi hapo umeshakosea!

Kwenye tamko lao hawajasema sauti ya watu wengi wenye akili. Wamesema sauti ya watu ni sauti ya Mungu!

Hivyo ni sawa tukirudi kwenye mfumo wa Chama kimoja kwa kuwa mwaka 1992 watu wengi walitaka tubaki na chama kimoja na Maaskofu wamesema Sauti ya Watu ni Sauti ya Mungu.


Pia how comes hawakutoa tamko mwaka 1992 wakati Serikali imefanya uamuzi against matakwa ya watu wengi waliotaka tubaki kwenye mfumo wa chama kimoja? Tena kwa takwimu kabisa?
 
Naomba kuulizia hivi hili kanisa ndiyo lile linaopokea takribani 600B kwa mwaka toka serikalini na bado shule na hospital zao gharama zipo juu hawaoni Kama IGA yao ndiyo mbaya zaidi kuliko hata ya Dp World? Na Kama nia yao ni Njema kweli kwa Taifa kwanini kwanza wasikatae hii dhulma Kubwa kwa Nchi yetu?

Lengo hapa siyo kubishana Ila kuwekana sawa tu
Kosa halihalalishi lingine.
Kila tatizo litatuliwe kwa wakati wake na kwa namna yake.
 

View: https://youtu.be/R1zyTINo6kQ

Rafiki yetu Lord Denning ameuliza maswali kadhaa kuhusu tamko la TEC kwenye uzi unaopatikana HAPA. Nasi kwa hapa chini tumeamua kumjibu point counter point.

1. Lord Denning ameuliza: Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo. Je, ni jambo lipi nchi hii limewahi kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono? Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi hicho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanataka Serikali ifute maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wote wakiwemo vichaa) ni sauti ya Mungu." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

2. Lord Denning ameuliza: Kwenye tamko lao TEC wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari. Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, hasa ibara ya 107A, inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama halafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

Jawabu: Walichosema TEC ni kwamba Bunge na Mahakama ni mihimili inayofanya kazi chini ya shinikizo la Ikulu. Rais amekuwa mfalme anayedhalilisha Bunge na Mahakama. Uhuni uliofanywa na Bunge wakati wa kuidhinisha mkataba wa bandari ni uthibitisho. Hukummu ya Kesi ya Mahakama Kuu Mbeya ni ushahidi tosha. "Ukipinga mkataba wa bandari unampinga Mama," ndio kaulibiu iliyo ushahidi tosha.

3. Lord Denning ameuliza: Wao TEC ya Wakristo wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari; kesho BAKWATA ya Waislamu wanaweza kutoa tamko; na Kesho kutwa Mabuda wanaweza kutoa tamko. Je, wanataka Serikali imsikilize nani katika suala la mkataba wa Bandari?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu wote)." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu ambao ni Wakristo)." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

4. Lord Denning ameuliza: Kwa hali hii tukiaamini kwamba ilikuwa sawa kwa mapadre wa kanisa katoliki waliohamasisha mauaji ya kimbari Rwanda kushitakiwa tutakuwa tuekosea?

Jawabu: Ni kichaa pekee anayeweza kuamini na kukubali hoja ya Lord Denning ifuatayo: Baadhi ya mapadre katoliki walihamasisha mauaji huko Rwanda. MMapadre Katoliki ni Wakristo. Kwa hiyo, Wakristo wote sio waadilifu.

Kwa ufupi, TEC wamekataa Watanzania kuendelea kusokomezwa chini ya utumwa wa wawekezaji wa kigeni, na hasa Waarabu wa Dubai ambao ni makuwadi wa ukoloni wa kilowezi!

Dawati la Mama Amon,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.

View attachment 2720874

Kwa hoja hizi haufai kuwa Mama Amon bali mama Tanganyika.


Wasalimie wajukuu zangu wa hapo Kantalamba, Kizwite na Chanji.
 
Hadi hapo umeshakosea!

Kwenye tamko lao hawajasema sauti ya watu wengi wenye akili. Wamesema sauti ya watu ni sauti ya Mungu!

Hivyo ni sawa tukirudi kwenye mfumo wa Chama kimoja kwa kuwa mwaka 1992 watu wengi walitaka tubaki na chama kimoja na Maaskofu wamesema Sauti ya Watu ni Sauti ya Mungu.


Pia how comes hawakutoa tamko mwaka 1992 wakati Serikali imefanya uamuzi against matakwa ya watu wengi waliotaka tubaki kwenye mfumo wa chama kimoja? Tena kwa takwimu kabisa?
sasakama sio wengi wenye akili wangepinfa mkataba kama hujui makuwadi yanayounga mkono dpwrld ni malofa(yasiyo na akili) yaliyohongwa ili kutweza uhuru wetu.
 
Naomba kuulizia hivi hili kanisa ndiyo lile linaopokea takribani 600B kwa mwaka toka serikalini na bado shule na hospital zao gharama zipo juu hawaoni Kama IGA yao ndiyo mbaya zaidi kuliko hata ya Dp World? Na Kama nia yao ni Njema kweli kwa Taifa kwanini kwanza wasikatae hii dhulma Kubwa kwa Nchi yetu?

Lengo hapa siyo kubishana Ila kuwekana sawa tu
Kazi kweli kweli !! Ngoja tuone 😱🙏
 
Kanisa leo latetewa kwa hoja zao😅jamani wasomi wakitoa azimio sio rahisi kurise hoja ila bandiko la hao jamaa zako kila mtu anakuja na maswali ,kwamba ni dhaifu sana kama ni elimu hamna kitu.!
 
Naomba kuulizia hivi hili kanisa ndiyo lile linaopokea takribani 600B kwa mwaka toka serikalini na bado shule na hospital zao gharama zipo juu hawaoni Kama IGA yao ndiyo mbaya zaidi kuliko hata ya Dp World? Na Kama nia yao ni Njema kweli kwa Taifa kwanini kwanza wasikatae hii dhulma Kubwa kwa Nchi yetu?

Lengo hapa siyo kubishana Ila kuwekana sawa tu
Hao ni watu wanapitisha mizigo bandari na kufanya biashara kwa mgongo wa dini ,hawatokubali ng'o .

Ila Rais aangalie mbele sio kusikiliza vikundi hata WCB wanayo maoni so kila mtu ana lake ,hatuwezi kusikiliza vikundi vya watu wachache.
 
Hao ni watu wanapitisha mizigo bandari na kufanya biashara kwa mgongo wa dini ,hawatokubali ng'o .

Ila Rais aangalie mbele sio kusikiliza vikundi hata WCB wanayo maoni so kila mtu ana lake ,hatuwezi kusikiliza vikundi vya watu wachache.
Case closed ! Serikali isiingiliwe !!
 
Unajua maana ya IGA nianzie hapo kwanza??? Huenda unaweza ukawa unabishana hata IGA na HIGA pia hujui na Huo mkataba pia huenda hujasoma??
Naomba kuulizia hivi hili kanisa ndiyo lile linaopokea takribani 600B kwa mwaka toka serikalini na bado shule na hospital zao gharama zipo juu hawaoni Kama IGA yao ndiyo mbaya zaidi kuliko hata ya Dp World? Na Kama nia yao ni Njema kweli kwa Taifa kwanini kwanza wasikatae hii dhulma Kubwa kwa Nchi yetu?

Lengo hapa siyo kubishana Ila kuwekana sawa tu
 

View: https://youtu.be/R1zyTINo6kQ

Rafiki yetu Lord Denning ameuliza maswali kadhaa kuhusu tamko la TEC kwenye uzi unaopatikana HAPA. Nasi kwa hapa chini tumeamua kumjibu point counter point.

1. Lord Denning ameuliza: Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo. Je, ni jambo lipi nchi hii limewahi kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono? Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi hicho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanataka Serikali ifute maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wote wakiwemo vichaa) ni sauti ya Mungu." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

2. Lord Denning ameuliza: Kwenye tamko lao TEC wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari. Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, hasa ibara ya 107A, inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama halafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

Jawabu: Walichosema TEC ni kwamba Bunge na Mahakama ni mihimili inayofanya kazi chini ya shinikizo la Ikulu. Rais amekuwa mfalme anayedhalilisha Bunge na Mahakama. Uhuni uliofanywa na Bunge wakati wa kuidhinisha mkataba wa bandari ni uthibitisho. Hukummu ya Kesi ya Mahakama Kuu Mbeya ni ushahidi tosha. "Ukipinga mkataba wa bandari unampinga Mama," ndio kaulibiu iliyo ushahidi tosha.

3. Lord Denning ameuliza: Wao TEC ya Wakristo wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari; kesho BAKWATA ya Waislamu wanaweza kutoa tamko; na Kesho kutwa Mabuda wanaweza kutoa tamko. Je, wanataka Serikali imsikilize nani katika suala la mkataba wa Bandari?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu wote)." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu ambao ni Wakristo)." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

4. Lord Denning ameuliza: Kwa hali hii tukiaamini kwamba ilikuwa sawa kwa mapadre wa kanisa katoliki waliohamasisha mauaji ya kimbari Rwanda kushitakiwa tutakuwa tuekosea?

Jawabu: Ni kichaa pekee anayeweza kuamini na kukubali hoja ya Lord Denning ifuatayo: Baadhi ya mapadre katoliki walihamasisha mauaji huko Rwanda. MMapadre Katoliki ni Wakristo. Kwa hiyo, Wakristo wote sio waadilifu.

Kwa ufupi, TEC wamekataa Watanzania kuendelea kusokomezwa chini ya utumwa wa wawekezaji wa kigeni, na hasa Waarabu wa Dubai ambao ni makuwadi wa ukoloni wa kilowezi!

Dawati la Mama Amon,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.

View attachment 2720874

Mzee wa DP world Lord denning anakuja chaap haiwezekan maslahi yake yaguswe then akae kimya!!
 
Hadi hapo umeshakosea!

Kwenye tamko lao hawajasema sauti ya watu wengi wenye akili. Wamesema sauti ya watu ni sauti ya Mungu!

Hivyo ni sawa tukirudi kwenye mfumo wa Chama kimoja kwa kuwa mwaka 1992 watu wengi walitaka tubaki na chama kimoja na Maaskofu wamesema Sauti ya Watu ni Sauti ya Mungu.


Pia how comes hawakutoa tamko mwaka 1992 wakati Serikali imefanya uamuzi against matakwa ya watu wengi waliotaka tubaki kwenye mfumo wa chama kimoja? Tena kwa takwimu kabisa?
Unajua kwanini walitaka kubaki kwenye Chama kimoja! Eniwei Tanzania enzi hizo haukuwa na wasomi wengi hasa katika elimu ya uraia na waliamini sana kwamba kama itatokea Kukawa nna vyama vingi hasa vyama vya mageuzi (Kama Walivyoviita enzi hizo) Zitaleta Uvunjifu wa Amani na kutatokea Vita kwani Kutakuwa na ubishani kati ya vyam na vyama (KWA HYO LILIKUWA NI MATTER OF FEAR NA ELIMU TU) So ilibdi kuelimishwa kwa kupitisha ili wauone mfumo mzima unavyofanya kazi na KWA TAARIFA WALIUPENDA NA ndio maana uliamuliwaa kuwa mfumo wa uchaguzi mwaka 95' kama unayo elimu ya uraia lakini
 
Mods 🙏🙏 rekebisha heading Ina ukakasi, simu imebadili alichoandika mwandishi!!
 

View: https://youtu.be/R1zyTINo6kQ

Rafiki yetu Lord Denning ameuliza maswali kadhaa kuhusu tamko la TEC kwenye uzi unaopatikana HAPA. Nasi kwa hapa chini tumeamua kumjibu point counter point.

1. Lord Denning ameuliza: Wanadai Serikali iachane na Mkataba wa Bandari kwa sababu wananchi wamegawanyika kuhusu mkataba huo. Je, ni jambo lipi nchi hii limewahi kukubaliwa na asilimia 100 ya wananchi wote? Kwenye Mfumo wa vyama vingi, Mbona asilimia kubwa ya Wananchi walikataa mfumo huo ila Serikali wakauunga mkono? Je kwa nini hawakutoa tamko kipindi hicho kutaka nchi iendelee kuwa ya Chama kimoja? Kwa tamko lao walilosema maamuzi ya wananchi yaheshimiwe basi wanataka Serikali ifute maamuzi yake ya kuruhusu mfumo wa vyama vingi na turudi kwenye mfumo wa Chama kimoja?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wote wakiwemo vichaa) ni sauti ya Mungu." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

2. Lord Denning ameuliza: Kwenye tamko lao TEC wanadai Mihimili ya dola iheshimiwe. Juzi Mahakama Kuu wametoa maamuzi ya kutupilia mbali maombi ya watu walioshtaki mkataba wa Bandari. Sasa kwa nini wanataka mihimili ya dola iheshimiwe na wao hawataki kuheshimu maamuzi ya Mahakama? Kama Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, hasa ibara ya 107A, inasema Mahakama ndio Mhimili wa mwisho katika kutoa haki sasa kwa nini hawaheshimu maamuzi ya Mahakama halafu wanatoa tamko kusema Mihimili ya dola iheshimiwe?

Jawabu: Walichosema TEC ni kwamba Bunge na Mahakama ni mihimili inayofanya kazi chini ya shinikizo la Ikulu. Rais amekuwa mfalme anayedhalilisha Bunge na Mahakama. Uhuni uliofanywa na Bunge wakati wa kuidhinisha mkataba wa bandari ni uthibitisho. Hukummu ya Kesi ya Mahakama Kuu Mbeya ni ushahidi tosha. "Ukipinga mkataba wa bandari unampinga Mama," ndio kaulibiu iliyo ushahidi tosha.

3. Lord Denning ameuliza: Wao TEC ya Wakristo wanavyotoa tamko kutaka Serikali iachane na mkataba wa bandari; kesho BAKWATA ya Waislamu wanaweza kutoa tamko; na Kesho kutwa Mabuda wanaweza kutoa tamko. Je, wanataka Serikali imsikilize nani katika suala la mkataba wa Bandari?

Jawabu: Kaulimbiu ya tamko la TEC ni "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu wote)." Hawajasema kwamba "Sauti ya watu (wengi wenye akili timamu) ni sauti ya Mungu (wa watu ambao ni Wakristo)." Kanuni ya "mental reservation" iko kazini hapa pia. Tulia sindano ikuingie.

4. Lord Denning ameuliza: Kwa hali hii tukiaamini kwamba ilikuwa sawa kwa mapadre wa kanisa katoliki waliohamasisha mauaji ya kimbari Rwanda kushitakiwa tutakuwa tuekosea?

Jawabu: Ni kichaa pekee anayeweza kuamini na kukubali hoja ya Lord Denning ifuatayo: Baadhi ya mapadre katoliki walihamasisha mauaji huko Rwanda. MMapadre Katoliki ni Wakristo. Kwa hiyo, Wakristo wote sio waadilifu.

Kwa ufupi, TEC wamekataa Watanzania kuendelea kusokomezwa chini ya utumwa wa wawekezaji wa kigeni, na hasa Waarabu wa Dubai ambao ni makuwadi wa ukoloni wa kilowezi!

Dawati la Mama Amon,
"Sumbawanga Town"
Sumbawanga.

View attachment 2720874

Ni Afadhali usishauriwe kuliko kushauriwa na watumishi wa Mungu ukawapuuza.

Pole Maembe!!!
 
Back
Top Bottom