Kamati ya Ulinzi na usalama wilaya na Mkoa ina mamlaka ya kisheria kugawa ardhi?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
876
4,101
Je, sheria ya ardhi kuna Sehemu inamtaka mkuu wa Mkoa au Wilaya na kamati zao za ulinzi na usalama wana mamlaka yakumilikisha watu ardhi?

Je, kuna mjumbe wa kamati hizi ambaye ni mtaalam wa ardhi? Je, sheria inatamka kwamba migogoro ya ardhi itatatuliwa na hizo kamati za ulinzi na usalama au baadhi ya viongozi wanajipa madaraka wasiyokuwa nayo kisheria?

Tujadili
 
Je, sheria ya ardhi kuna Sehemu inamtaka mkuu wa Mkoa au Wilaya na kamati zao za ulinzi na usalama wana mamlaka yakumilikisha watu ardhi?

Je, kuna mjumbe wa kamati hizi ambaye ni mtaalam wa ardhi? Je, sheria inatamka kwamba migogoro ya ardhi itatatuliwa na hizo kamati za ulinzi na usalama au baadhi ya viongozi wanajipa madaraka wasiyokuwa nayo kisheria?

Tujadili
Kuna yule mpuuzi wa Mwanza akaenda kuzuia ujenzi wa gorofa na wakati kiwanja kinahati na kibali cha ujenzi amepewa na watu wake wa jiji! eti yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa.
 
Je, kuna mjumbe wa kamati hizi ambaye ni mtaalam wa ardhi? Je, sheria inatamka kwamba migogoro ya ardhi itatatuliwa na hizo kamati za ulinzi na usalama au baadhi ya viongozi wanajipa madaraka wasiyokuwa nayo kisheria?
Hayo ndiyo matatizo ya duplication of responsibilities, hivi vyeo vya DC vifutwe
 
Back
Top Bottom