Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,809
- 218,464
Upo Msemo wa kiswahili unasema hivi, Nanukuu " kizuri kula na nduguzo" mwisho wa kunukuu.
Ukisikiliza Hotuba ya Freeman Mbowe , aliyoitoa kwenye ile siku ya Wazee ya kidunia iliyofanyika Zanzibar juzi , ile iliyoandaliwa na Bazecha, basi haraka sana utagundua kwamba uongozi ni Karama halisi anayoitoa Mungu Mwenyewe kwa Wanadamu aliowachagua mwenyewe , kama hukuchaguliwa kuwa kiongozi na Mungu achana na uongozi.
Kwa hotuba ile nathibitisha hadharani kwamba Mbowe amewekwa Wakfu na Mungu kuwa kiongozi.
Timu yangu ya IT inajitahidi kuwawekea Video ili wenyewe msikie na kupima.
bagamoyo
Ukisikiliza Hotuba ya Freeman Mbowe , aliyoitoa kwenye ile siku ya Wazee ya kidunia iliyofanyika Zanzibar juzi , ile iliyoandaliwa na Bazecha, basi haraka sana utagundua kwamba uongozi ni Karama halisi anayoitoa Mungu Mwenyewe kwa Wanadamu aliowachagua mwenyewe , kama hukuchaguliwa kuwa kiongozi na Mungu achana na uongozi.
Kwa hotuba ile nathibitisha hadharani kwamba Mbowe amewekwa Wakfu na Mungu kuwa kiongozi.
Timu yangu ya IT inajitahidi kuwawekea Video ili wenyewe msikie na kupima.
bagamoyo