Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,017
- 12,306
Ni hatari sana kuishi kwenye taifa la kipumbavu linalo ona uongozi ni kubadilishana vijiti kati ya wakristo na waislam.
Kwamba akianza muislam basi afuate mkristo, akianza mkristo basi afuate muislam.
Mbaya zaidi wananchi wenyewe walivyo wapumbavu wanaona ni jambo la kufurahisha kila dini baada mihula kuisha huanza kufurahi kuwa zamu yao imefika kutoa kiongozi.
Nchi za kipumbavu kama za namna hii zilizojaza wananchi na watawala matahira hazitaweza kupiga hatua yoyote ya kimaendeleo zaidi ya kuendelea kukumbatia umasikini na ujinga kwa sababu zimejaza watu wajinga na wapumbavu.
Taifa la kijinga linalo ona uongozi ni kufurahisha wakristo na waislam pekee na sio kuleta maendeleo ni taifa lililo filisika akili na limejaza matahira sio wananchi wala watawala.
Kwamba akianza muislam basi afuate mkristo, akianza mkristo basi afuate muislam.
Mbaya zaidi wananchi wenyewe walivyo wapumbavu wanaona ni jambo la kufurahisha kila dini baada mihula kuisha huanza kufurahi kuwa zamu yao imefika kutoa kiongozi.
Nchi za kipumbavu kama za namna hii zilizojaza wananchi na watawala matahira hazitaweza kupiga hatua yoyote ya kimaendeleo zaidi ya kuendelea kukumbatia umasikini na ujinga kwa sababu zimejaza watu wajinga na wapumbavu.
Taifa la kijinga linalo ona uongozi ni kufurahisha wakristo na waislam pekee na sio kuleta maendeleo ni taifa lililo filisika akili na limejaza matahira sio wananchi wala watawala.