NCCR Mageuzi wataka siku ya uhuru wa Zanzibar
Fidelis Butahe
CHAMA cha NCCR-Mageuzi, kimeibuka na hoja mpya ya kutaka kutambuliwa kwa siku ya uhuru wa Zanzibar ,kama ilivyo kwa siku ya uhuru...
Bunge lakwamisha kesi ya Chenge
Dar Leo Alhamisi Juni 11 2009
Na Rehema Maigala, Kinondoni
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni leo imelazimika kuahirisha kesi inayomkabili Waziri wa zamani...
Wakuu wa JF nawauliza, hivi inawezekanaje mgombea urais kupitia ccm kupita kwenye vigingi vya mizengwe ndani ya vikao vya chama kama kamati kuu, halmashauri kuu, na mkutano mkuu bila sapoti ya...
Ninasikiliza documentary on BBC WORLD SERVICE kuhusu BRAND CUBA and its very facinating jinsi hawa jamaa wanavyofanya kazi
Najua wengi wetu wakati wa ukombozi wa nchi za Africa in 1980's tunajua...
Mikoa minane kuingia kwenye mgawo wa umeme kuanzia Jumapili
Na Boniface Meena
SHIRIKA la umeme nchini(Tanesco), limeeleza kuwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tanga, Arusha, Kilimanjaro, Singida...
Baada ya heka heka kubwa na vurugu za hapa na pale zikiambatana na mipasho kibao kwenye vyombo vyetu ya habari( sio udaku) japo kwa sasa naanza kupata wakati mgumu kutofautisha vipi ni vyombo vya...
Raisi Obama amemteua Alfonso Lenhardt mwanajeshi mstaafu aliestaafu mwaka 1990 akiwa Meja Jenerali kuwa balozi wa Marekani nchini Tanzania...
Katika uteuzi huo unaoanza mwezi Julai 01 Rais...
Date::6/13/2009
Serikali isiyapuuze madai ya wahadhiri
Mwananchi
KUNA fununu kwamba, wahadhiri na wafanyakazi wa vyuo vikuu vya umma nchini, wanajianda kuitisha mgomo kwa ajili ya...
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Bi. Sophia Simba, amesema suala la kufikishwa mahakamani watuhumiwa wa Richmond bado lina utata kwani kampuni hiyo haikulipwa hata senti tano.
Kauli...
• Zacheleweshwa benki Dar zisivuruge kura Dpdoma
• Ni fedha za kifisadi katika uchaguzi wa Wazazi
Na waandishi wetu Dar na Dodoma
Raia Mwema Juni 10 – Juni 16, 2009
MAMILIONI...
Ni kipindi cha maandalizi ya kupitisha bajeti ya serikali kwa mwaka 2009/2010. Pilika pilika zimeanza ambapo Wizara na Mikoa zitatakiwa kupeleka makisio yao kwa ajili ya mapitio kabla Kamati za...
Retired President of the Pan-African Parliament (PAP) Getrude Mongela said yesterday that the five years she had served in the African body had proved to the world that Tanzanian women were...
Dear Presidents/Prime ministers,
On behalf of the poor people of Africa, I send you this protest letter. We are angry. Yes we the people are very angry. We have endured your ill conceived, hash...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
VIONGOZI WA DINI TUSAIDIENI KUPAMBANA NA RUSHWA, UFISADI - PINDA
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini nchini waweke mkazo katika...
Hivi Karibuni Serikali ilipata Pesa toka benki ya Dunia kwa ajili ya Kuboresha vyuo vikuu mbalimbali Nchini Tanzania, Lakini hata hivyo pesa zimepelekwa kwenye Vyuo vya Umma tuu, Yaani vyuo vya...
Itakua vipi uongozi wa nchi yetu mwaka 2015 ingekua na muonekano huu
Rais:Edward Ngoyaye Lowassa
Waziri Mkuu: "Rostam" "Aziz"
Waziri wa Fedha: Andrew Chenge-yeye ana vijisenti hawezi...
Hello members,
We will perform a 1-3hrs system maintenance tonight (around 2200 East African Times). This' a critical system maintenance and hopefully you'll be patient during this maintenance...
Katika moja ya hotuba za Mwalimu J.K.Nyerere aliwahi kusema Urais ni Mzigo na hivyo si kitu cha kukimbilia.Pia alisema Ikulu hakuna biashara yoyote.Lakini siku hizi Urais unatafutwa kwa mbinu...
Kuna taarifa kwamba ofisi za DECI zilizopo Mabibo, Dar es Salaam, zimevamiwa na watu waliofika na magari na kurusha mawe.
Wakati hayo yakitokea, viongozi wote wa DECI walikuwa wameitwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.