Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Sijui ni lini uchaguzi Mkuu wa Chadema utafanyika japo nakumbuka ulikuwa ufanyike katikati ya mwaka huu. Kwa vile muda uliobakia kuelekea uchaguzi mkuu wa 2010 ni kama mwaka mmoja na nusu tu, je...
0 Reactions
155 Replies
15K Views
Serikali yateua RPC Tarime, Rorya Thursday, 09 July 2009 04:39 Na John Daniel, Dodoma SIKU chache baada ya Waziri Mkuu Bw. Pinda...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ole wao wapinzani mwaka 2010 • Mambo ya Ndani Kuajiri askari wapya 7,000 kukabili vurugu za uchaguzi na Salehe Mohamed, Dodoma SERIKALI inatarajia kuajiri askari 7,000 pamoja na kununua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kikwete aelemewa Mwandishi wa Raia Mwema Julai 8, 2009 Wasaidizi waelezwa kumsusia kazi Serikali yaendeshwa 'kizima moto' KUNA maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya kuwa mfumo wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
JKT ilianzisha na Israel na hata sasa wanafufua JKT kwa kuwashirikisha. Mzee Madela wa madilu point yako katika thread ya Ubalozi wa israel imenikumbusha kitu muhimu sana kuhusu jeshi la...
1 Reactions
185 Replies
25K Views
Gazeti huru la upingaji ufisadi Nchini sasa inaonekana linazama hasa baada ya siku hizi silisikii katika kipindi cha magazeti kama Vile Leo Redio I , Redio Free na hata Zenj fM, lakn hata ile...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
ZAIDI ya wanafunzi 1,800 wa shule za misingi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, wanatumia mawe, magogo na mifuko ya plastiki maarufu kama ‘rambo’ kama viti vya kukalia wawapo madarasani kutokana na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna taarifa nimepata sasa hivi toka kwa mdau mmoja yupo Bandarini Dar es Salaam anadai kuna shehena ya mabomu imenaswa bandarini hapo. Kama kuna waandishi wa habari (Clouds FM wamesharipoti...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Katika kipindi cha bunge naibu waziri wa mambo ya ndani amewataka wabunge wawe makini wanapozungumza mambo yanayowahusu askari wetu watafute forum ambazo zitakuwa na usiri na si kama bunge ambalo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie wadau,nimeambiwa kuwa huenda hadhi ya nchi yetu imeshuka kwa kiwango kikubwa kutokana na kuendelea kutumia Noti ambazo bado zina majina na saini za akina Basil Mramba na Daudi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nadhani sasa Cuf imeshakufa tz bara, nasema hivi baada ya chaguzi ndogo zilizopita kule birahamulo na Busanda kumwagwa Vibaya. kule Busanda mgombea wake kupata aibu ya ushindi na kule Burahumulo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi hawa wakuu hawana kazi ya kufanya mpaka wawe wasindikizaji wa Vasco Da Gama (JK) kila akitimua? Hata kwenda Zambia lazima wadamkie airport? Hivi hawana kazi za kufanya? Rais Jakaya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Matokeo yasiyo rasmi ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Biharamulo Magharibi yameanza kutoka na kubandikwa ubaoni yakionyesha mgombea wa Chadema, Dr. Antony Mbassa, anaongoza vituo vya mijini. Taarifa...
0 Reactions
762 Replies
70K Views
Chuo Kikuu kipya cha Afya kujengwa Dar Na Jackson Odoyo RAIS Jakaya Kikwete ametangaza azma ya serikali kujenga Chuo Kikuu cha Afya jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Wananchi jana katika...
0 Reactions
51 Replies
9K Views
Katika kuhakikisha upinzani unajidhaiti vyema mkoani KAGERA kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka 2010, kazi imeanza rasmi kuusaka mwamba wa Karagwe kujiunga na ...... Shukrani kwa Wajumbe wa Kaskazini...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi nafikiri kuna mambo mengine lazima tuangalie mzizi wake maana tunaweza tukawa tunaumiza vichwa kumbe sababu ya msingi hatuijadili. Kiukweli kwa ninavyofahamu mimi ELIMU ndio ufunguo wa...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
SaskTel pulls out of TTCL deal Canada-based SaskTel International, which was appointed to oversee the operations of national PTO Tanzania Telecommunication Company Limited (TTCL) in a...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wapendwa leo hii ...nimefurahi sana kuona wabunge wa CCM wanasimamisha budjet ya wizara ya miundo mbinu kana kwamba ni sinema ya alinacha....nimewiwa leo hii kusema yaliyotokea kwa waziri...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tunajua kwamba wabunge wa Tanzania wanapewa pesa nyingi za walala hoi. Tunajua pia kwamba baraza la mawaziri wa TZ nikubwa hata kuzipita nchi za ulimwengu wa kwanza, ambalo ufanisi wake ni kama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
”Kila Mzanzibari mwenye haki, ahakikishe anajiandikisha kwenye Daftari!” • Akagua shughuli za Chama, kuhamasisha Daftari • Aonya rafu za CCM, ZEC na Afisi ya Vitambulisho • Amwambia Kikwete...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Back
Top Bottom