Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,334
- 3,893
Wakuu wa JF nawauliza, hivi inawezekanaje mgombea urais kupitia ccm kupita kwenye vigingi vya mizengwe ndani ya vikao vya chama kama kamati kuu, halmashauri kuu, na mkutano mkuu bila sapoti ya mafisadi kwa sasa? Kwa maoni yangu ili upambane na ufisadi ukiwa raisi ni lazima ujiunge na mafisadi kwanza wakupitishe...kisha unaanza kuwamaliza. mwacheni jk awe kama hivyo. To fight with a devil you must be a devil..