FisadiNyangumi
Member
- May 4, 2009
- 34
- 1
Raisi Obama amemteua Alfonso Lenhardt mwanajeshi mstaafu aliestaafu mwaka 1990 akiwa Meja Jenerali kuwa balozi wa Marekani nchini Tanzania...
Katika uteuzi huo unaoanza mwezi Julai 01 Rais Obama anaamini bwana Alfonso atasaidia katika kuleta uhusiano mwema kati ya Tanzania na Marekani....
Katika uteuzi huo unaoanza mwezi Julai 01 Rais Obama anaamini bwana Alfonso atasaidia katika kuleta uhusiano mwema kati ya Tanzania na Marekani....
Last edited by a moderator: