Komamanga
JF-Expert Member
- May 2, 2009
- 221
- 17
Mimi nafikiri kuna mambo mengine lazima tuangalie mzizi wake maana tunaweza tukawa tunaumiza vichwa kumbe sababu ya msingi hatuijadili.
Kiukweli kwa ninavyofahamu mimi ELIMU ndio ufunguo wa Maisha, Elimu ndio Kitovu cha Maendeleo, Elimu ndio chachu ya Maisha endelevu etc Kwa maana hiyo basi nafikiri sasa hivi ni wakati mzuri sana kujaribu kuangalia hadhi ya watu ambao tunawachagua na uwezo wao wa kuhoji mambo na masuala yote ya msingi ambayo yanaendeshwa na kupitishwa kwenye Bunge letu tukufu.
Nilikuwa najaribu kuhoji siku za karibuni kulikuwa na Wabunge wanatoa kauli tata na wengine wakitoa kauli ambazo zimefungua wananchi macho na zimekuwa chachu kwa mabadiliko japo kwa uduchu.
Nimejaribu kupitia tovuti ya Bunge na kugundua kwamba Kama Elimu ni kipimo cha maendeleo katika nchi basi Tanzania Kamweeeee na nathubutu kusema Kamweeeeeeeee maendeleo ambayo tunayaona kwa wenzetu ama kuyatamani kuwa nayo hayatatokea kama wataendelea kuwepo watu Vilaza ndio nasema Vilaza.
Kuna mtu katoka B.com akaruka mpk PhD, why??????Kwanini??????? Au ndio utaratibu wa elimu ya zamani, TUSIDANGANYANE BANAA
Please hembu tujaribu kuingia kwenye website ya Bunge tuone kuna wengine hata Elimu za msingi hazijawekwa sasa sijui wanahofia Uraia ama Aibu wanayoijua wao
Gonga hii mjionee Parliament of Tanzania
NOTE: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI
Kiukweli kwa ninavyofahamu mimi ELIMU ndio ufunguo wa Maisha, Elimu ndio Kitovu cha Maendeleo, Elimu ndio chachu ya Maisha endelevu etc Kwa maana hiyo basi nafikiri sasa hivi ni wakati mzuri sana kujaribu kuangalia hadhi ya watu ambao tunawachagua na uwezo wao wa kuhoji mambo na masuala yote ya msingi ambayo yanaendeshwa na kupitishwa kwenye Bunge letu tukufu.
Nilikuwa najaribu kuhoji siku za karibuni kulikuwa na Wabunge wanatoa kauli tata na wengine wakitoa kauli ambazo zimefungua wananchi macho na zimekuwa chachu kwa mabadiliko japo kwa uduchu.
Nimejaribu kupitia tovuti ya Bunge na kugundua kwamba Kama Elimu ni kipimo cha maendeleo katika nchi basi Tanzania Kamweeeee na nathubutu kusema Kamweeeeeeeee maendeleo ambayo tunayaona kwa wenzetu ama kuyatamani kuwa nayo hayatatokea kama wataendelea kuwepo watu Vilaza ndio nasema Vilaza.
Kuna mtu katoka B.com akaruka mpk PhD, why??????Kwanini??????? Au ndio utaratibu wa elimu ya zamani, TUSIDANGANYANE BANAA
PLEASE, LET SAY NO TO THESE VILAZA HATUSAIDI
Please hembu tujaribu kuingia kwenye website ya Bunge tuone kuna wengine hata Elimu za msingi hazijawekwa sasa sijui wanahofia Uraia ama Aibu wanayoijua wao
Gonga hii mjionee Parliament of Tanzania
NOTE: HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI