Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,442
- 113,452
Matokeo yasiyo rasmi ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Biharamulo Magharibi yameanza kutoka na kubandikwa ubaoni yakionyesha mgombea wa Chadema, Dr. Antony Mbassa, anaongoza vituo vya mijini. Taarifa zikieleza pia Chadema inaongoza na vijijini.
Turn out ni ndogo chini ya 40%. Matokeo yote yatapatikana by saa hizi baada ya saa 2 usiku zoezi la kuhesabu vituo vyote limekamilika ila data ndio hazijaletwa.
Mpaka sasa matokeo ya vituo 10 mjini, Chadema imeshinda vituo 9 na kutoka sare ma CCM kituo kimoja.
Kwa vijijini, matokeo ya vituo 7, Chadema imeongoza vituo vitano, CCM viwili.
miongoni mwa vitano vya Chedema, viwili ni ngome imara za CCM, zimesambaratishwa.
Turn out ni ndogo chini ya 40%. Matokeo yote yatapatikana by saa hizi baada ya saa 2 usiku zoezi la kuhesabu vituo vyote limekamilika ila data ndio hazijaletwa.
Mpaka sasa matokeo ya vituo 10 mjini, Chadema imeshinda vituo 9 na kutoka sare ma CCM kituo kimoja.
Kwa vijijini, matokeo ya vituo 7, Chadema imeongoza vituo vitano, CCM viwili.
miongoni mwa vitano vya Chedema, viwili ni ngome imara za CCM, zimesambaratishwa.
Last edited by a moderator: