Chuo Kikuu kipya cha Afya kujengwa Dar
Na Jackson Odoyo
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza azma ya serikali kujenga Chuo Kikuu cha Afya jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Wananchi jana katika Viwanja vya Ukumbi wa Karimjee wakati wa kuzindua Mpango kabambe wa kuboresha huduma ya afya nchini, alisema Chuo hicho, kitaongeza idadi ya wataalamu wa afya nchini.
Alisema mpango huo, lazima uende sambamba na mikakati thabiti ya kuboresha huduma hiyo nchini.
"Maandalizi ya ujenzi wa Chuo Kikuu katika maeneo ya Mloganzira jijini Dar es Salaam
yamekamilika na kitaanza hivi karibuni ili kuongeza idadi ya Madaktari. "Hivi sasa tunatoa madaktari 200 kwa mwaka, baada ya kuanzishwa kwa chuo hicho tutajitahidi angalu tufikie idadi ya madaktari 1,000 kwa mwaka,"alisema Rais Kikwete
wadau, hii mloganzira iko pande zipi hapa dar
Na Jackson Odoyo
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza azma ya serikali kujenga Chuo Kikuu cha Afya jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Wananchi jana katika Viwanja vya Ukumbi wa Karimjee wakati wa kuzindua Mpango kabambe wa kuboresha huduma ya afya nchini, alisema Chuo hicho, kitaongeza idadi ya wataalamu wa afya nchini.
Alisema mpango huo, lazima uende sambamba na mikakati thabiti ya kuboresha huduma hiyo nchini.
"Maandalizi ya ujenzi wa Chuo Kikuu katika maeneo ya Mloganzira jijini Dar es Salaam
yamekamilika na kitaanza hivi karibuni ili kuongeza idadi ya Madaktari. "Hivi sasa tunatoa madaktari 200 kwa mwaka, baada ya kuanzishwa kwa chuo hicho tutajitahidi angalu tufikie idadi ya madaktari 1,000 kwa mwaka,"alisema Rais Kikwete
wadau, hii mloganzira iko pande zipi hapa dar