Tunajua kwamba wabunge wa Tanzania wanapewa pesa nyingi za walala hoi.
Tunajua pia kwamba baraza la mawaziri wa TZ nikubwa hata kuzipita nchi za ulimwengu wa kwanza, ambalo ufanisi wake ni kama zero.
Tunajua pia kwamba wapo wabunge wengi TZ wanaolipwa mamilioni ya pesa bila hata kuyajali majimbo yao kimaendeleo.
Tunajua pia kwamba wabunge wa TZ wana makaazi zaidi ya mawili, yote haya yanalipiwa kutokana na pesa za walala hoi.
Sasa hiki kitendo chakubeba familia zao nakuziingiza bungeni, waTZ tunaelekea wapi?
Waziri mzima na heshima zako unaaza kuwanadi watoto wako bungeni, mke wako, na wanakwaya wako.
Bunge sasa limekua kama hall la harusi,
Nini maana ya Bunge takatifu?
Oops nimesahau kuhusu bunge linalohudhuriwa na mafisadi, wazee wa vijisenti, wazee wa mikataba feki na wavunja sheria za nchi.
Mwisho naishukuru TBC kuionyesha aibu hii hadharani.
Na nchi nyingine zinaona Utanzania halisi.
Tunajua pia kwamba baraza la mawaziri wa TZ nikubwa hata kuzipita nchi za ulimwengu wa kwanza, ambalo ufanisi wake ni kama zero.
Tunajua pia kwamba wapo wabunge wengi TZ wanaolipwa mamilioni ya pesa bila hata kuyajali majimbo yao kimaendeleo.
Tunajua pia kwamba wabunge wa TZ wana makaazi zaidi ya mawili, yote haya yanalipiwa kutokana na pesa za walala hoi.
Sasa hiki kitendo chakubeba familia zao nakuziingiza bungeni, waTZ tunaelekea wapi?
Waziri mzima na heshima zako unaaza kuwanadi watoto wako bungeni, mke wako, na wanakwaya wako.
Bunge sasa limekua kama hall la harusi,
Nini maana ya Bunge takatifu?
Oops nimesahau kuhusu bunge linalohudhuriwa na mafisadi, wazee wa vijisenti, wazee wa mikataba feki na wavunja sheria za nchi.
Mwisho naishukuru TBC kuionyesha aibu hii hadharani.
Na nchi nyingine zinaona Utanzania halisi.