Ninapenda kupitia hapa niweze kuzungumzia mtafaruku uliopo Chuo kikuu cha DSM. Mkuu wa chuo Prof Mkandara aliwasimamisha wanafunzi 25 hapo chuo akiwemwo waziri mkuu na mpaka sasa wanafunzi wote...
Posted Date::4/23/2008
Mbunge aliambia Bunge viongozi waadilifu serikalini ni Dk Shein, Pinda
Na Muhibu Said, Dodoma
SIKU moja baada Mbunge wa Vunjo), Aloyce Kimaro (CCM), kumtuhumu Rais...
- Mwenyekiti Kamati ya Richmond akatiwa maji (Gazeti la Majira)
Na Rehema Mwakasese
KAMPUNI ya Huduma ya Maji Safi na Maji Taka (DAWASCO) imemkatia maji aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge...
Pinda azua balaa Mwanza
SAKATA LA UWANJA WA NYAMAGANA
na Deus Bugaywa, Mwanza
Tanzania Daima~Sauti ya Watu
HATUA ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuunga mkono mabadiliko ya matumizi ya...
Rais Kikwete hatahudhuria Mei mosi
na khamis mkotya
RAIS Jakaya Kikwete, hatakuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha sherehe za Mei mosi zitakazofanyika kitaifa mkoani Iringa.
Mwaliko wa...
Habari ambazo zinaingia mida hii kutoka Dar zinasema kuwa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Posta baada ya kukutana leo imeamua kuwatimua wakurugenzi wake watatu kwa kile kinachoaminika ni...
Wanafunzi wachoma moto shule ya Kibiti
na hamisa maganga
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Kibiti iliyopo Mkoa wa Pwani, wameichoma moto shule hiyo na kusababisha uharibifu mkubwa wa...
Ndugu Wana JF,
Napenda kuleta mbele yenu hoja hii ya vyama vya kisiasa vilivyoanzishwa kufuatia mfumo wa vyama vingi uruhusiwe mwaka kikatiba nchini TZ mwaka 1992.
Hivi kweli vyama vyetu...
I wrote this piece almost 2 years ago. It still holds its value the only thing I would have added was Ufisadi.
Lakini I am sticking to the core theme, Taifa being Lost in Transition, hence...
Niliwahi kusikia kwamba Kigoda alipokuwa Waziri katika sirikali ya Mkapa alikuwa akipita nchi mbali mbali za magharibi kutafuta makampuni ya uchimbaji wa dhahabu yaingie mkataba na yeye na Mkapa...
Mtu - Jakaya Mrisho Kikwete
Rafiki zake:
- Marehemu Ditopile Ukiwaona Mzuzuri (alijiuzulu baada ya kutuhumiwa mauaji)
- Edward Lowassa (alijiuzulu kutuhumiwa matumizi mabaya ya cheo)
-...
Waungwana, hawa wabunge wa CCM wanaonyesha upumbavu wao wa hali ya juu na kutaka kuwatumia lawama watendaji wa TANESCO ambao hawahusiki kabisa na matatizo ya shirika hilo.
Uendeshaji wa TANESCO...
Member of Parliament demand audit findings on four companies
By Damas Kanyabwoya, Dodoma
THE CITIZEN
MPs yesterday asked the Government to explain why audit reports on three controversial...
JAMANI WATANZANIA NINATAKA KUJUA HUYO NDIO BEN WA KIWIRA NA WA KWENYE BBC 1997 NI MMOJA? SOMA ZAIDI NA WEWE ULINGANISHE
Source http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/monitoring/29741.stm
Excerpt...
JAMANI HIZI HELA ZILIFANYA KAZI ZAKE AU ZIKO MIFUKONI MWA MAFISADI?
Source http://news.bbc.co.uk/1/hi/business/1535800.stm
Monday, 10 September, 2001, 15:53 GMT 16:53 UK...
Habari zinazoingia mida hii zinasema kuwa aliyekuwa waziri wa Nishati na Madini na mbia mkubwa wa Mgodi wa Kiwira Bw. Daniel Yona amejitokeza na hatimaye kuzungumzia madai kuwa yeye pamoja na Rais...
Bob Mkandara, ni mtu ambaye amejikwamua kiubunifu na kujijenga kiuchumi. Ni juhudi zake mwenyewe na kutokukata tamaa au kutafuta njia nyepesi na rahisi kujipatia pesa kukimu maisha yake ndiko...
Hii habari hapa chini toka Raiamwema ni uwongo mtupu. Mwandishi ameshindwa hata kutambua jambo rahisi la kujua kwamba Dr. Mwakyembe sio mjumbe wa NEC ya CCM.
Acheni kuutumia mkoa wa Mbeya...
Wazalendo mimi binafsi naamini huu ni wakati
Katika chuo kikuu cha Dar es saaam,Baada ya uchaguzi wa wanachuo kuaanza ilionekana kuna mgombea alie chaguliwa tayari na viongozi sijui ni wakinanani...
Wazalendo mimi binafsi nadhani sasa ni WAKATI.
Katika chuo kikuu cha Dar es saaam,Baada ya uchaguzi wa wanachuo kuaanza ilionekana kuna mgombea aliyechaguliwa tayari na viongozi,sijui ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.