Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna hii taarifa ktk gazeti la leo la New Vision ambayo nimeikuta kule Bongo Pix kuwa wabongo wanasajiriwa na Al Shabaab kuiangusha serikali ya Somalia. Je kuna ukweli wowote? Serikali yasemaje...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Jamaa huyu wa Falme za Kiarabu ameigeuza Loliondo kuwa sehemu ya nchi yake. Naamini kuwa hii ni kukiuka Ibara ya 28 ya Katiba ya nchi yetu kuhusu ukamilifu na umiliki wa nchi yetu. Je si kosa la...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Makamba awatukana wanaoshauri Kikwete asigombee 2010Rais Kikwete kongamano la Nyerere limemweka katika lawama za kutokuwa na maamuzi na kuwa asipendekezwe kugombea awamu ya pili.Na Leon Bahati...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wote wamesimama kwenye mvua, moja atishia kumlowesha mwenziye ! Wote wanaogelea kwenye tope, moja adai aliyechafuka labda mwenziye ! Wote wamtumikia bwana moja, hakuna wa kumsaliti mwenziye ...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Sijui ni nini lakini kama wkipata facilities naona litakuwa gereza linaloongoza kwakutoa ma grads Sijui Governor wa lile Gereza ni nani lakini I'm curious kujua what exactly anachokifanya mle...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Below is a paragraph from a passage by Desiderius Erasmus (ca.1466-1536). The Passage is called "Education and the Christian Prince". I believe the paragraph has a strong message to our current...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hawa ni wachukuaji, si wawekezaji Jenerali Ulimwengu Raia Mwema Disemba 2, 2009 KWAMBA sekta muhimu kama kilimo inaweza kusahaulika, watawala wakaiweka kando, na bado wakaendelea kuwa watawala...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu nimeona nirudi tena Jamvini kuuliza swali hili. Mimi ni mtanzania kwa kuzaliwa na naipenda nchi yangu, swali ni hivi tumekuwa tukisikia kuwa Nchi mbali mbali na baadhi ya nchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hivi wizara hii kwa nini iko kwenye spotlight namna hii?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Bilal Abdul-Aziz The National Electoral Commission (NEC) announced yesterday it would spend nearly 70bn/- in updating the Permanent Voters’ Register (PVR) and additional 64bn/- in organizing the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jana Rais kaondoka JA aka the YARD kuwaona ma BREDRINS na nadhani keshafika TRINI...aka TRINIDAD & TOBEGO aka T&T ...KWENYE MKUTANO WA Commonwealth...BI MKUBWA aka LIZ of Windor naye keshaingia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
2009-12-02 09:34:00 By Mkinga Mkinga and Beatus Kagashe THE CITIZEN Tanzania is sending one of the largest delegations to the Copenhagen Summit on Climate Change this week despite growing...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nilikua najiuliza, Rais wetu anavyotembelea nchi mbalimbali bila kupumzika si atachoka sana na kuanguka huko???
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Wakuu, Katika pita pita yangu mitaani jana niliibukia kwenye kundi la watu wakibalizi yanayojiri ndani ya vyama vya upinzani. Mjadala ulitawaliwa na matukio ya wanachama wa CHADEMA kukimbilia...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wednesday December 02, 2009 Daily News ORTON KIISHWEKO, 2nd December 2009 @ 03:52 Leaders facing graft charges told to resign VARIOUS speakers at a state of the nation forum in Dar es...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rais mstaafu Benjamin Mkapa. Rais mstaafu Benjamin Mkapa, amesema yote yanayosemwa juu yake, anamwachia Mungu. Alitoa kauli hiyo jana jioni, kabla ya kufunguliwa kwa...
0 Reactions
216 Replies
19K Views
Habari zilizotufikia sasa hivi zinasema kuna majambazi 6 wameuwawa katika mapambano na askari huko buharamuro , majambazi hao walikutwa na silaha kadhaa za kivita inasemekana walikuwa wanajiandaa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kumbe kweli lisemwalo lipo, kama halipo linakuja. Nini madhara ya tamko hili kwa wafanyakazi wa kampuni hizo? Watanzania wengi sio wasomaji wazuri, je wakienda kiundani zaidi wana uhakika...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Hivi kambi ya upinzani imekumbwa na nini? maana viongozi wanaotegemewa kuipeleka puta CCM mwakani katika kinyanganyilo cha urais, wote wanatarajiwa kugombea ubunge. Viongozi hao ni mwenyekiti wa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
jamni wana JF tubadilishane mawazo, nnimeona kama vyuo vikuu 2 specifically SUA na Mzumbe kufundishwa na Proffessors wazee kabisa hadi wanatia huruma darasani wakati vijana waliograduate na...
0 Reactions
0 Replies
978 Views
Back
Top Bottom