Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Siku nyingi sana najaribu kutafuta hotuba za mwalimu zile zilizokuwa zinatolewa kwenye ujumbe wa leo RTD enzi zake kwenye media yoyote Audio CD, cassetes, DVD etc. Ninapenda sana kusikiliza hizi...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Recently, Tanzanian government has become very close to Iranian government to the point of entering a military cooperation treaty. And for sometime there had been a growing and sustained...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Wakati nchi inapambana na vitendo viovu ukiwemo ufisadi na rushwa tunategemea taasisi zetu hasa za elimu ya chuo kikuu kuwa mstari wa mbele kukemea uovu huo na kuonesha mfano wa kuigwa na...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Swahiba mwingine wa Zitto ajitoa ChademaNa Tumsifu Sanga SWAHIBA mwingine wa Zitto Kabwe, ambaye naibu katibu mkuu wa Chadema, ametangaza kujitoa kwenye chama hicho na kujiunga ma chama cha Sauti...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Allowance culture drains tax payers` cash - Mbatia By Rodgers Luhwago 27th December 2009 NCCR- Mageuzi National Chairman James Mbatia NCCR- Mageuzi National Chairman James Mbatia has...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Closed
Uchaguzi wa chipukizi CCM Taifa Unao tarajiwa kufanyika tarehee 29 Dec 2009 Kitaifa mkoani morogoro umethibitisha kuwa famiia ya JK imejipanga kurithishana madaraka ya Nchi ya hii tofauti na...
0 Reactions
64 Replies
9K Views
Vuai alisema Rais Jakaya Kikwete, alitoa wazo na changamoto ya dhana nzima ya kuanzishwa kwa mazungumzo ya muafaka na hajashindwa kusimamia dhamira hiyo. "Nia ya kuwepo kwa mazungumzo ya kuleta...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kila wakati nasoma maoni ya baadhi ya watu wakidai eti Rais Kikwete ni kiongozi mzuri mwenye nia njema ya kuwaletea maendeleo wananchi wake lakini "anaangushwa tu na watendaji wake ambao...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tutumaini iko siku tutafika?Hivi wachina wanaopewa tenda Tanzania hata barabara wanashindwa kutengeneza ndo hawa wanaotengeneza hizi Traini? Kwa nini utendaji wa mchina akiwa Tanzania na akiwa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba, hakukosea kuwafananisha wanasiasa wa vyama vya upinzani na paka. Kauli hiyo...
0 Reactions
59 Replies
5K Views
Our record still stands; well ahead of the pack of inefficient, corrupt, self-serving, mediocre and absolutely incompetent leadership! over a year and a half later the government wakes up from its...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi jamani REDET ipo kwa madhumuni gani hivi wanaweza kujisifu ati wanafanya kazi kiuadilifu au ni mradi wa CCM. Hizi tafiti wanazofanya sasa zimejeuka kuwa word of mouths kwanini wasiingie...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari za mda wanajamii,nimeikuta hii article nikaona kwa wale wenye interest yaweza kuwa intresting
1 Reactions
49 Replies
6K Views
MBUNGE wa Rombo, Basil Mramba, amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Barabara (TANROADS) mkoani Kilimanjaro. Mramba ambaye amepata kuwa Waziri wa Fedha wakati wa Serikali...
0 Reactions
71 Replies
8K Views
( Hii nimeinasa kule Michuzi blog, imepambisha mjadala. Kuna mwenye sehemu ya kwanza atumwagie humu ukumbini!) HOJA YA HAJA Mwibaji na watwana, mlifi ni...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
NANI ATAKUWA RAIS MUOKOZI WA TANZANIA??? Ni lazima atoke upinzani Mwana-CCM yoyote hafai, hata akitoka mbinguni Bila ya upinzani kuungana, mengine yote ni ndoto ya mchana Wakati...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Haya tusubiri hiyo bei na cost zingine iwe za uendeshaji au za conversion from heavy fuel to gas kulinganisha na kununua Mpya. Sijui watatupa au itakuwa siri maana mikataba kama hii huwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
CUF IKISHINDA 2010, ZNZ KUWA PEPONI TENA! ZNZ kurejea kuwa The Capital of East Africa Union Bridge kuimarisha Muungano zaidi Muandishi wa Wagagagigikoko aliefuatana na Jean...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
MFANYABIASHARA maarufu nchini Jaffar Sabodo amehoji matumizi katika taasisi ya Mwalimu Nyerere na kuitaka itoe mchanganuo wa Sh1bilioni alizoichangia taasisi hiyo mwaka jana. Katika tangazo lake...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ujasiri wa Maalim Seif wa kwenda hadharani na kuwapa taarifa nzito wanachama na wapenzi wa CUF, juu ya kumtambua Rais Karume ilibidi upongezwe na Taasisi zote kuu na watanzania wote kwa jumla...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Back
Top Bottom