OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Uchaguzi wa chipukizi CCM Taifa Unao tarajiwa kufanyika tarehee 29 Dec 2009 Kitaifa mkoani morogoro umethibitisha kuwa famiia ya JK imejipanga kurithishana madaraka ya Nchi ya hii tofauti na Marais waliomtangulia.
Mtoto mdogo wa Kikwete Mwenye Miaka 8 Anagombea uenyekiti wa chipukizi Taifa, Tayari amewaita makatibu wa mikoa na wilaya wa umoja wa vijana nchi Nzima na kuwaeleza Dhamira yake ya kugombea Uenyekiti wa chipukizi Taifa Zoezi ili lilisimamiwa na uongozi wa UVCCM taifa.
Tukio hii linazidi kututisha sisi watoto wa wakulima ikizingatiwa Baba yake ni Mwenyekiti wa CCM Taifa na ni RAIS wa Tanzania, Mama yake (Salma Kikwete) ni Mjumbe wa mkutano mkuu kupitia wilaya wa lindi, fIrsrt Born wa Kikwete Ridhwan ni mjumbe wa mkutano mkuu CCM Taifa , na vilevile ni mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa pia ni mjumbe wa kamati ya utekelezaji UVCCM Taifa, Kaka wawili wa mkulu ni wajumbe wa mkutano mkuu CCM Taifa kupitia Bagamoyo wacha mbali wanafamilia ambao ni wateule wake ktk Nafasi mbalimbali ndani ya chama na serikali eg KAWAMBWA etc.
Je na mimi mkulima wa huku kilombero mtoto wangu ataweza kushindana na mtoto anaeishi ikulu kwa kodi zetu? Dhana ya fursa sawa kwa wote itatimia au mama Ana Mkapa aliondoka nayo nyumba number 1 mtaa wa magogoni?
Mtoto mdogo wa Kikwete Mwenye Miaka 8 Anagombea uenyekiti wa chipukizi Taifa, Tayari amewaita makatibu wa mikoa na wilaya wa umoja wa vijana nchi Nzima na kuwaeleza Dhamira yake ya kugombea Uenyekiti wa chipukizi Taifa Zoezi ili lilisimamiwa na uongozi wa UVCCM taifa.
Tukio hii linazidi kututisha sisi watoto wa wakulima ikizingatiwa Baba yake ni Mwenyekiti wa CCM Taifa na ni RAIS wa Tanzania, Mama yake (Salma Kikwete) ni Mjumbe wa mkutano mkuu kupitia wilaya wa lindi, fIrsrt Born wa Kikwete Ridhwan ni mjumbe wa mkutano mkuu CCM Taifa , na vilevile ni mjumbe wa Baraza kuu UVCCM Taifa pia ni mjumbe wa kamati ya utekelezaji UVCCM Taifa, Kaka wawili wa mkulu ni wajumbe wa mkutano mkuu CCM Taifa kupitia Bagamoyo wacha mbali wanafamilia ambao ni wateule wake ktk Nafasi mbalimbali ndani ya chama na serikali eg KAWAMBWA etc.
Je na mimi mkulima wa huku kilombero mtoto wangu ataweza kushindana na mtoto anaeishi ikulu kwa kodi zetu? Dhana ya fursa sawa kwa wote itatimia au mama Ana Mkapa aliondoka nayo nyumba number 1 mtaa wa magogoni?