Kidudu Mtu
Member
- Nov 7, 2009
- 64
- 0
Kila wakati nasoma maoni ya baadhi ya watu wakidai eti Rais Kikwete ni kiongozi mzuri mwenye nia njema ya kuwaletea maendeleo wananchi wake lakini "anaangushwa tu na watendaji wake ambao hawatekelezi yake anayoyataka Rais huyo".
Je ni sahihi kuelekeza lawama kwa watendaji walio chini ya Rais Kikwete au lawama zote zinapaswa kubebwa na Rais Kikwete kama mtendaji mkuu?
Je ni sahihi kuelekeza lawama kwa watendaji walio chini ya Rais Kikwete au lawama zote zinapaswa kubebwa na Rais Kikwete kama mtendaji mkuu?