Mkapa Makerere Alumni 2009 Speech

Jul 10, 2009
31
0
Habari za mda wanajamii,nimeikuta hii article nikaona kwa wale wenye interest yaweza kuwa intresting
 

Attachments

  • Mkapa Makerere Alumni 2009 Speech.pdf
    191 KB · Views: 320
Ingebidi Mkapa atoe decree kabla ya speech "Thou shalt not sleep in long presidential speech"... Nimeisoma yote, 18 pages. Tuache utani jamani, Mkapa is a genius kwenye speech zake, haswa za kiingereza. His intellect and oratory come second only to the great JK Nyerere. Pia alikuwa na authority kweli akiwa Rais, hata akihutubia mikutano ya kimataifa au kuwa interviewed na CNN, BBC, etc anakufanya uwe proud to be a Tanzanian. Tatizo biashara Ikulu, Kiwira, illegal contract extension ya mkataba wa TICTS na madudu mengine yataendelea kumsakama daima. Otherwise, Mkapa was a damn good president!
 
Ingebidi Mkapa atoe decree kabla ya speech "Thou shalt not sleep in long presidential speech"... Nimeisoma yote, 18 pages. Tuache utani jamani, Mkapa is a genius kwenye speech zake, haswa za kiingereza. His intellect and oratory come second only to the great JK Nyerere. Pia alikuwa na authority kweli akiwa Rais, hata akihutubia mikutano ya kimataifa au kuwa interviewed na CNN, BBC, etc anakufanya uwe proud to be a Tanzanian. Tatizo biashara Ikulu, Kiwira, illegal contract extension ya mkataba wa TICTS na madudu mengine yataendelea kumsakama daima. Otherwise, Mkapa was a damn good president!

Miafrika bana...eti Mkapa is a genius kwenye speech. Hiyo maana yake nini sasa? Unajua maana ya genius wewe? Mbona Kiingereza anachotumia ni cha kawaida tu. Tatizo Miafrika hamjazoea kuona mambo ya exellence ndio maana mnakuwa mnashangaa shangaa na kumwaga misifa ovyo ovyo
 
Miafrika bana...eti Mkapa is a genius kwenye speech. Hiyo maana yake nini sasa? Unajua maana ya genius wewe? Mbona Kiingereza anachotumia ni cha kawaida tu. Tatizo Miafrika hamjazoea kuona mambo ya exellence ndio maana mnakuwa mnashangaa shangaa na kumwaga misifa ovyo ovyo

Juli:

Kula tano. Vitu alivyoandika hapo, huku viwanja mwanafunzi yoyote wa digrii ya kwanza anaandika kwenye projects zake.
 
Juli:

Kula tano. Vitu alivyoandika hapo, huku viwanja mwanafunzi yoyote wa digrii ya kwanza anaandika kwenye projects zake.

Digrii ya kwanza nini....ma valedictorians wa high school wanatoa spichi kama hizo kwenye mahafali yao....oh wait....what is a valedictorian? Lol
 
Miafrika bana...eti Mkapa is a genius kwenye speech. Hiyo maana yake nini sasa? Unajua maana ya genius wewe? Mbona Kiingereza anachotumia ni cha kawaida tu. Tatizo Miafrika hamjazoea kuona mambo ya exellence ndio maana mnakuwa mnashangaa shangaa na kumwaga misifa ovyo ovyo


Kwa hiyo kusudi mtu awe genius inabidi atumie kiingereza cha ajabu ....kweli Miafrika mawazo yao yamepumbazwa na milow self- esteem yao.
 
Digrii ya kwanza nini....ma valedictorians wa high school wanatoa spichi kama hizo kwenye mahafali yao....oh wait....what is a valedictorian? Lol


Kwi kwi kwi. Si unajua tena Miafrika. Afu Mkapa ame-major kwenye communication, hivyo ni sawa na kumsifu Sir Isaac Newton au Pierre de Fermat kuwa amekokotoa simultaneous equation elegantly.
 
mkapa ana BA in English kutoka huko Makerere...
enewei---

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=GtlUygL_KWI[/ame]
 
We unaweza au ushawahi kumsifia mtu?? maana sijawahi kukuona umemsifia yeyote na tena inakuaga tabu anaposifiwa mtu lazma uponde..??
 
Watanzania bwana , tutaendelea kuwa masikini mpaka infiniti ; yaani baada ya kuchambua content ya hiyo speech tunachambua style ! Kweli Miafrika inafikiria kinyume nyume.
 
Watanzania bwana , tutaendelea kuwa masikini mpaka infiniti ; yaani baada ya kuchambua content ya hiyo speech tunachambua style ! Kweli Miafrika inafikiria kinyume nyume.

Rufiji:

Matatizo hayapo kwenye style wala content. Matatizo aliyoandika yanajulikana kwa zaidi ya miaka 100 sasa.

Tumeshajenga utamaduni wa kuzungumza mambo kwa lugha za kuvutia kwenye mikutano na semina. Lakini tumaliza vikao tunakwenda kinyume au tunasahau kabisa tulisema nini.
 
Mkitaka kunitupia mawe sawa, lakini kwa viwango vyangu speech ya mkapa ilikuwa nzuri na yenye mambo mengi ambayo jamii yetu - Tanzania, EA, Africa - tukiyajadili na kupanga sera nzuri juu yake yanaweza kutusaidia.
 
akilia zake nyingi ni for evil deeds, uwizi, ujeuri, corruption etc..so akiweza kuandika vizuri inasaidia nini? lol..tina unajipendekeza bila aibu.
 
At the risk of being branded superfluos, Mkapa kaleta neno jipya katika kiingereza, intrastructure.Man of letters, whither proofreaders?

As much as the speech is overflowing with intellectualism, I couldn't resist thinking Mkapa is reading too many chain-forwarded emails for his own good. What with the oft-repeated suspiciously chain email lookalike dialogues, what is he trying to be, a Tanzanian George Benard Shaw?

Haughty superciliousness aside ...

In pointing out this laundry list of haunting challenges without providing proportionately punctuated ideas to address the said challenges, Mkapa is not detailed, he is giving general recommendations, a task which a myriad of bureaucratic ombudsmen could have done far better.Because of that, he is hardly demonstrating leadership. A panel of the student government could have tabled an equal or even better strategy, and if they can't then Makerere degrees are not worth the papers they are printed on.

Hakuna alichosema ambacho Nyerere hajasema.Makerere ingeweza kabisa kuonyesha mkanda wa speech ya Nyerere na kuondokana na speaking fee aliyowachaji, kama hata anajiheshimu enough kuwachaji.

Mkapa ana ji contradict kwa kujaribu kutoa solutions mbuzi, halafu mwisho, as if anajua kwamba solutions zake ni mediocre, anasema hajaja kutoa solutions ila ku provoke debate.

Pia hana hata haya kuongelea good governance wakati anagubikwa na accusations kibao za corruption.

With an ex president like this, no wonder we are where we are.
 
Well researched speech flows well but does he talk the talk and walk the walk?mmhh
 
Back
Top Bottom