Kitendo cha viongozi wa serikali kubadili miswada iliyopitishwa na bunge kimetushtua sana lakini kikubwa ninachokiona ni serikali kulipuuza bunge, je cha kujiuliza ni Bunge lina nafasi gani katika kuisimamia serikali, au ni jumba lililojengwa kwa ajili ya maigizo na kuchukua posho tuu, nadhani ni wakati wa wabunge kugoma kuburuzwa na serikali kwani wao ndio wawakilishi wa jamii,
SITTA kama umeshindwa kusimamia serikali ng'atuka
SITTA kama umeshindwa kusimamia serikali ng'atuka