Naomba kujua pesa za kuendesha vyama zinatoka wapi??
Ni kwanini Vyama visiwe na miradi yake ili kuviwezesha kuwa na kipato na kujiendesha kama Marehemu SUKITA?
Naomba msaada wadau...
kaka vyama siku hizi ni biashara kwa hiyo matajiri wanawekeza, siku chama kikikomaa kama CCM ndio waliowekeza wanavuna vizuri na kuwaachia watoto wao na wajukuu chama kama kampuni yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.