Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Dk. Slaa abeba makombora 20 • CCM nao waandaa mamluki kummaliza na Waandishi wetu MGOMBEA urais kupitia Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, ameandaa makombora...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Imeandikwa na Tumaini Msowoya, Iringa na Brandy Nelson, Mbeya Mwananchi August 3, 2010 MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema, Willibrod Slaa jana aliendelea kuvuta watu wengi kwenye mikutano yake...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Shibuda ambaye alijitoa kuwania kiti cha urais hivi karibuni kumpisha Rais Kikwete, anadaiwa kuwa katika wakati mgumu wa kuamua hatima yake kisiasa kutokana na matokeo ya kura za maoni na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Courtesy of GLOBAL PUBLISHERS Siandiki uchochezi huu kwa sababu mjomba wangu kashindwa kura za maoni ndani ya CCM, naamini familia yetu haitateseka kwani alichochuma akiwa mbunge aliniambia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ushindi mwembambaa alioupata hadi sasa aliyekuwa mbunge wa Ukonga, Makongoro Mahanga kwenye kura za maoni katika Jimbo jipya la Segerea umepingwa na wagombea wote 11 wa jimbo hilo. Inasemekana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
this is the high season in which a massive exodus of politicians happens, its in this reason that i am starting this special thread to enlighten the general population and discuss politicians...
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Najua tupo 2010 na hata uchaguzi wa mwaka huu hauja isha. Najua bado watu wapo katika hali ya furaha na matumaini mapya kusikia Mh. Slaa ana gombea uraisi. Najua wengi wetu tuna tamani muda uwe...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Muda mfupi nimetoka kwenye mkutano wa Dr. peter W. Slaa hapa Iringa. Kaongea mengi sana. Lililonigusa ni sana ni hilo neno '' yeye kasema hataki kura zenu, mimi nazitaka'' Sijui nyinyi mnasemaje?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau mimi natamani makombati ya CHADEMA hasa wakati huu wa mapambano. Je, wanaweza shona na kuniuzia? Wana-CHADEMA tafadhalini shoneni mengi watu tutinge vitani...kumbuka yanaamsha morali ya...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
. 1.Wajumbe 2.Rachel Mashishanga 3.Freddy Mpendazoe. Aliyekuwa Mbunge wa Kishapu CCM na baadae kukihama chama...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Na Makumba Mwemezi - Majira RAIS Jakaya Kikwete amewekewa pingamizi kortini kugombea urais mwaka huu kwa madai ya matumizi mabaya ya madaraka na ufujaji wa fedha za umma katika safari zake za...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Written by GODFREY KAMBENGA Wednesday, 4 August 2010 The Tanzanian government will spend over US$66.67 million to conduct the forthcoming national population census scheduled for August...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nilizaliwa kabla Tanganyika haijapata uhuru. Nilikuwa na akili zangu na kutambua vizuri siku Tanzania ilipopata uhuru. Niliouona muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Niliona kuanzishwa kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hawa watu wana mizaha sana, lakini kwanini hotuba za Kikwete hazina nguvu wala msisimko kama zile za Mwalimu? Hata kiutendaji Nyerere alimzidi sana Kikwete. Je kulikoni kwenye kambi ya Kikwete?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Si wabunge wote nawaongelea hapa, Mbunge kama Sleeliii, Kimaro na wengine, natamani wajiunge na kambi ya Dr.slaa. kwanini wasikaribishwe?...na, nimefurahi sana kwa malecela na bakari mwampachu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani kwanini Makamba na JK walimtaja sana Dr Slaa ktk hotuba zao jana?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimeguswa sana na mwanasiasa huyu jinsi ambavyo anahangaikia maslahi ya wana wa nchi hii. Hivi ndugu Mtikila ni wa wapi kwa maana ya mkoa wilaya, kipindi fulani nilisikia anatokea Ludewa ni kweli...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A South African court has sentenced former national police commissioner Jackie Selebi to 15 years in jail for corruption. Selebi, a former president of Interpol, was convicted in July of...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Je hatuoni umuhimu wa Kuwa na ThinkTank za aina mbalimbali nchini kote, au katika kila fani ya maisha yetu? ThinkTank hizo zingeweza kuiamusha au kuishtua serikali yoyote iliyoko madarakani, kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hongereni sana kwa kazi kubwa mnayofanya ya kuikomboa nchi yetu. Kama Mtanzania naomba, PAMOJA NA MAMBO MENGINE, mniruhusu kupendekeza yafuatayo ili yawasaidie katika kutimiza ndoto ya kushinda...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…