lukenza
Senior Member
- Apr 11, 2010
- 120
- 8
Kwa wazalendo wote waliona uchungu na nchi hii
Ndugu zangu muda wa mananeno umeisha sasa inatakiwa vitendo
wazo langu ni kuwa Tuwaombe Chadema waanzishe ule mtindo ambao umezoeleka
siku hizi wa kutoa mchango kwa kutuma SMS kwenda number fulani mimi nikakuwa
kati ya watakaochanga Jamani Ndugu zangu kuleta mabadiliko kama haya
tunayoyategemea inatakiwa kujitoa kwa hali na mali ikiwezekana hata kutoa uhai wako kwa ajili ya kizazi cha Baadaye
Ndugu zangu muda wa mananeno umeisha sasa inatakiwa vitendo
wazo langu ni kuwa Tuwaombe Chadema waanzishe ule mtindo ambao umezoeleka
siku hizi wa kutoa mchango kwa kutuma SMS kwenda number fulani mimi nikakuwa
kati ya watakaochanga Jamani Ndugu zangu kuleta mabadiliko kama haya
tunayoyategemea inatakiwa kujitoa kwa hali na mali ikiwezekana hata kutoa uhai wako kwa ajili ya kizazi cha Baadaye