Tunachagua bora kiongozi au kiongozi bora

Tunachagua bora kiongozi au kiongozi bora

SOKETI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2010
Posts
206
Reaction score
50
Katika kipindi hiki kigumu cha kuwachagua viongozi watakao tuwakilisha na kuwasilisha wawazo yetu na matatizo yanayotukabili katika Bunge letu tukufu la jamuuri ya muungano wa Tanzania yatubidi watanzania;
kuepuka kumchagua kiongozi kutokana na dini au kabila
-rushwa
-kufaamiana
 
Safari hii tutachagua rais kutokana na uwezo wake nasio sura yake!! Watoto nyumbani hawali sura ya rais, wanakula ugali mezani ebo!!
 
Kwa awamu kadhaa za nyuma tumekuwa tukichagua bora kiongozi lakina sasa tutachagua kiongozi bora
 
Back
Top Bottom