Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Kesho kwenye viwanja vya Jangwani Jijini DSM kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara wa Dr.Slaa kwa ajili ya kuhitimisha zoezi la kuzunguka mikoa yote ya Tanzania kwa ajili ya kuomba kudhaminiwa na wananchi.
walioko DSM mnakaribishwa kwenye mapokezi kwenye uwanja wa ndege wa JK Nyerere kuanzia saa nne kamili asubuhi na baada ya hapo kutakuwa na msafara wa kuelekea kwenye viwanja vya Jangwani ..
Tuende wote tukamuunge mkono , kwa wale walioko DSM lets show that we are with him.
walioko DSM mnakaribishwa kwenye mapokezi kwenye uwanja wa ndege wa JK Nyerere kuanzia saa nne kamili asubuhi na baada ya hapo kutakuwa na msafara wa kuelekea kwenye viwanja vya Jangwani ..
Tuende wote tukamuunge mkono , kwa wale walioko DSM lets show that we are with him.