Waungwana
Leo nimesema hebu nitembelee hii tovuti ya hiki chama kinachoitwa majina lukuki. Orodha fupi ni kama ifuatavyo:
1. Chama Cha Majambazi - CCM
2. Chama Cha Mafisadi - CCM
3. Chukua Chako...
Na Maggid Mjengwa,
Jana jioni jamaa mmoja wa Idara ya intelijensia ( Tanzania) aliniuliza swali la kizushi ; E bwana nataka kuifahamu Jiografia ya hapa, hivi wewe unakaa nyumba A au B...
Tanzania kama zilivyonchi zingine, imekuwa ikiwakilishwa na mabalozi nchi za nje. Wote tumeshuhudia mabalozi wakiteuliwa, vijana kwa wazee, waliopitisha umri wa kustaafu na walio na damu changa...
JULAI 14 mwaka huu aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Kishapu na msemaji mkuu wa kilichokuwa Chama cha Jamii (CCJ), Fred Mpendazoe, alijiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Mbali na...
:crying:Ikiwa ni mwitikio wa wito wa kukataa rushwa uliorushwa na Asasi ya Agenda Participation 2000 kwenye ITV, Channel 5 na East Africa Radio, Wananchi wengi wa jimbo la Igunga wamepiga simu na...
wakuu,
nimekuwa mfuatiliaji wa karibu sana wa kipindi cha vichekesho almaarufu ze komedy.
huyu jamaa anayejiita bepari la kihaya,(kila sehemu yake ya kujidai inapafika), hakosi kumtaja abdul...
Hivi hii inakaaje? Dr. Slaa ukipata muda hebu pitia hapa na utupe maelezo zaidi. Pia watu kama Zitto, na wanasiasa wengine mliopo hapa JF. Ninashindwa kuelewa kama CCM ambacho ni CHAMA, inakuwaje...
Chama cha Mapinduzi-CCM kimesema mwanachama yeyote wa chama hicho aliyeshindwa katika uteuzi wa wagombea ubunge na udiwani anayeona ni vizuri akahamia chama kingine cha siasa, anaruhusiwa kufanya...
Miaka ya karibuni kumeibuka watanzania na hususani viongozi wetu kujinadi kwa PHD zao. Inaelezwa kwamba baadhi yao wana PHD feki maana zinapatikana kutoka vyuo ambavyo havitambulikani kitaaluma...
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Muttamwega Mgahywa, anadaiwa kutapeli Sh 18,829,500 za watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro.
Mgahywa anadaiwa...
AG responds in anti-JK petition
Tuesday, 17 August 2010
By Bernard James
The Attorney General has asked the High Court to dismiss a petition seeking to disqualify President Jakaya...
Boniface Meena
BAADA ya kukosa ridhaa ya kugombdea ubunge kwa tiketi ya CCM kutyokana na chekeche la mwisho la halmashauri kuu ya chama hicho, waliokuwa wagombea ubunge na wanachama waandamizi...
Nimekuwa mara nyingi nasoma na kusikia watu mbalimbali wakisema kitu ambacho sikubaliani nacho labada mnijulishe vinginevyo kuwa "CCM imetutawala miaka 49 ama CCM imetutawala toka UHURU hadi...
NAWAHABARISHA WAKEREKETWA WA CCM KUWA CCM SI MALI YOA ILA NI MALI YA MAKAMBA NA MSEKWA.HAWA WAHESHIMIWA WAMETOA KAULI ZINAZODHIHIRISHA HAYA.
MFANO MSEKWA ALITOA RUHUSA KWA "WANACCM WALIOSHINDWA...
Jamani wanajamvi tangu nchi yetu Tanzania ipate uhuru ni maraisi wanne sasa tunao kuna mengi ya kujiuliza nini tumepata na nini tumekosa katika ngwe zote nne za marais wetu,sina kumbukumbu nzuri...
Hii ni tanzania ninayoitamani, nchi imara ambayo watu wake wanajali uwezo wa mtu wa kuongoza Dr. Slaa. Mashehe watamke Dr Slaa ni chaguo la Mungu wamuunge mkono.
Moja ya hotuba zilizovuta hisia za watu wengi nchini mwaka huu ni ile iliyotolewa na mheshimiwa rais tarehe 3 mei. Hotuba ile mpaka sasa bado inajadiliwa mitaani na wengine wameanza kuitumia kwa...