Jamini, Nadhani tuchukue hatuwa tusije kupata gharama za kumtibu rais kwa kodi badala ya kupata huduma toka kwake. Hili naomba tulipe uwezo wa kipekee kabla kampeni azijashika kasi. WAPIMWE FULL BLOOD PICTURE, NEUROLOGICAL IMPAIREMENT AND GENERAL PHYSICAL FITNESS. Na majibu yawekwe hadharani.
Ninadhani hiki kitakuwa cha maana zaidi kabla hatujapoteze muda wetu kupiga kura.
Tuchangie na tuweke mkakakti kwa vyama vya haki za binadamu kuandaa maandamano.
Ninadhani hiki kitakuwa cha maana zaidi kabla hatujapoteze muda wetu kupiga kura.
Tuchangie na tuweke mkakakti kwa vyama vya haki za binadamu kuandaa maandamano.