Mkimbizi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2008
- 222
- 34
Naona kama kitu hiki kinakuja na kinaniumiza sana moyo wangu maana hatuwezi kuendelea kamwe. Kuna watu wanaleta siasa hizi sa dini(mmeona na gazeti fulani lilivyosema leo),,,,,,
Kwa minajili hii CCM haitatoka kamwe!!! Na wataongoza maana misikitini wanasema CUF, makanisani(ukweli sijasikia wakipigia debe chochote) lakini kuna upepo wa CHADEMA sasa tutafika kweli..,,,
Tuungane jamani, usipende CUF eti sababu ni Muislam au CHADEMA sababu mkristo. Pembenua points, ona uozo uliopo sasa na angalia mikakati ya kutoa uozo huo. Otherwise hii mijamaa itashinda tena kwa more than 70% trust me!!!!!
Wanatugawa na tunagawanyika... STOP THIS!!!!!!
Kwa minajili hii CCM haitatoka kamwe!!! Na wataongoza maana misikitini wanasema CUF, makanisani(ukweli sijasikia wakipigia debe chochote) lakini kuna upepo wa CHADEMA sasa tutafika kweli..,,,
Tuungane jamani, usipende CUF eti sababu ni Muislam au CHADEMA sababu mkristo. Pembenua points, ona uozo uliopo sasa na angalia mikakati ya kutoa uozo huo. Otherwise hii mijamaa itashinda tena kwa more than 70% trust me!!!!!
Wanatugawa na tunagawanyika... STOP THIS!!!!!!